mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,449
mmmh wanaume wa siku hizi mna mambo!! yaani hata hilo kwenu ni tatizo??
sawa mimi sioni kama kukaa mbele kwenye gari au nyumba kwangu ni ishu kiviiiiiiiiile japo sijataka kuuliza kama angekua mamayangu na yeye angefkiriwa kukaa mbele au nyuma na je kaka baba yako mzazi angekuepo ungewaweka wote mbele au ungechagua mmoja wa kukaa nae mbele!!
Ila kama mamamkwe anapenda kukaa mbele ntamwachia kwa roho nyeupeeeeee ili mradi tu na nyumbani asitake kutawala chumba changu-aishie hapohapo kwenye kiti cha gari isije ikiwa hatua ya kunivurugia starehe
sawa mimi sioni kama kukaa mbele kwenye gari au nyumba kwangu ni ishu kiviiiiiiiiile japo sijataka kuuliza kama angekua mamayangu na yeye angefkiriwa kukaa mbele au nyuma na je kaka baba yako mzazi angekuepo ungewaweka wote mbele au ungechagua mmoja wa kukaa nae mbele!!
Ila kama mamamkwe anapenda kukaa mbele ntamwachia kwa roho nyeupeeeeee ili mradi tu na nyumbani asitake kutawala chumba changu-aishie hapohapo kwenye kiti cha gari isije ikiwa hatua ya kunivurugia starehe