Smile Digital Stationery
JF-Expert Member
- May 5, 2024
- 202
- 317
Sio rahisi,Vipi akiongeza halafu wote wamnyime!
Sio rahisi,Vipi akiongeza halafu wote wamnyime!
Mudu yupiMudi
Ndio, nasikia Wakristo hawaruhusiwi. Wao wanaruhusu mke mmoja na hakuna kuachana hadi kifoHv huwa kuna dini inakataa wake 2??
MtumeMudu yupi
Thibitisha hapa utume wakeMtume
Duh nimetumia kila njia aseme tatizo nnKuna jamaa yangu wa karibu sana alikutana na hali kama hii; jamaa akaona isiwe jau. akavuta mchepuko kaupangishia nyimba ikawa kila akitoka kwenye mishe zake anapita kwa mchepuko maisha yanaendelea. mkewe alikuwa na sababu kama za huyo wa mleta uzi. kuchepuka alikuwa hawezi maana kuna geti kali na house girl hana . hii hali huwatokea sasa sijui shida iko wapi. basi siku moja wife wa jamaa akaamua kufunguka kuhusu jamaa jamaa nae akajieleza ushauri ulikuwa wakamuone daktari.
فَانكِحُوا مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاءِ مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ ۖWaliambiwa na nani?
Mambo mengine freshIwapo anafanya yote kasoro ngono tu, basi unahitaji mambo machache tu.
Ila kama hafanyi na majukumu mengine basi pana sehemu kubwa ya kufanya.
Nasubiri ufafanuzi zaidi.
Surat an nisaa 4,3 ,umejuaje sio hadithi tu za kutungwa?فَانكِحُوا مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاءِ مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ ۖ
Mkuu hebu twende kwa Higgy kule poriniNdio maana muliambiwa muoe wanne, huwez kosa kwa wote.
ongeza mke weweHabari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.
Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.
Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.
Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.
Naombeni ushauri wakuu nifanyaje
Unahangaikia Nini tafuta mchepuko ULIO tulia then UWE UNA UPONEA MKUU...OOHHHabari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.
Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.
Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.
Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.
Naombeni ushauri wakuu nifanyaje
Komaa kutafuta njia mbadala ya uzazi wa mpango vidonge sijui sindano, vijiti ni janga katika ndoa wanaume wengi wanalaumu wake ila chanzo cha tatizo ni ni matumizi ya njia za uzazi sa mpango mwanamke anakosa kabisa ham ya kujamiana
Sikufundishi Tena kama hata hii hujui!Habari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.
Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.
Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.
Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.
Naombeni ushauri wakuu nifanyaje