Mke ananipa unyumba kwa tabu sana

Mke ananipa unyumba kwa tabu sana

Habari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.

Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.

Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.

Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.

Naombeni ushauri wakuu nifanyaje
Usijejaribu kuonja kwingine utakachokikuta huko hutaacha hadi waingia kaburini

Vumilia tu usimtake kwa muda atarudi kwenye hali yake ya kawaida hasa akiwa na uhakika mtoto amekua na anahitaji wa pili utajibwedea tena
 
haha 😀
sawa kiongozi sikupingi ngoja nikuache ukaze fuvu.
ukitafuta ubaya wa mtu utaupata ukitaka kutafuta uzuri wa mtu pia utaupata ila wewe umeegemea sana negative, kwahio story zenye negative znakuvutia sana, hilo ni tatizo la kisaikolojia na litakufanya uone watu wote wabaya, wapo wanawake wanaopigwa matukio pia, wapo waliodanganywa same way kwa wanaume! ukiigemea sana kwenye mbaya uavuna hayo hayo mabaya
 
ukitafuta ubaya wa mtu utaupata ukitaka kutafuta uzuri wa mtu pia utaupata ila wewe umeegemea sana negative, kwahio story zenye negative znakuvutia sana, hilo ni tatizo la kisaikolojia na litakufanya uone watu wote wabaya, wapo wanawake wanaopigwa matukio pia, wapo waliodanganywa same way kwa wanaume! ukiigemea sana kwenye mbaya uavuna hayo hayo mabaya
Bwashe aya bana unahisi sina mwanamke au familia sio, unaweza kufata kila jambo ambalo litastawisha mahusiano, ukazingatia kila kigezo, ukampa kila anachotaka, ukamridhisha lakini akiamua jambo lake huwezi kuzuia, she will do it anyway, na hata sisi wanaume kama tuna jambo letu hata mwanamke afanyeje kama tumeamua we will do it anyway.

Mwanadamu sio mtu wa kumwamini sana, hata katika hadithi za kiimani pamoja na kufanyiwa miujiza, kuponywa, kuahidiwa makubwa, watu walimuua Yesu.

Ishu sio mwongozo ishu ni mwanadamu akiamua jambo kaamua hata umfanyie nini, ngoja nikuache!
 
Habari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.

Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.

Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.

Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.

Naombeni ushauri wakuu nifanyaje
Usimtaliki,ongea nae kwa upole na heshima atakueleza shida aliyonayo,ni lazima ana matatizo yanayomsumbua,ni wazi kuwa ana shida ya kisaikilojia au kuna shida upande wako ila hana unavu au ujasiri wa kukuambia,msingi wa yote ni kuongea wewe na yeye
 
Back
Top Bottom