Mke ananipa unyumba kwa tabu sana

Mke ananipa unyumba kwa tabu sana

Bado nitazidi kukushukuru Mama E wangu. Na please usinichoke. Bila kujitambua hapa duniani ni mateso tupu hata uwe na pesa na madaraka zaidi ya Putin. Sijui nitakupa zawadi gani mshikaji wangu kwa kunifungulia code hii muhimu maishani!

➡️➡️➡️ Mkeo ana ishu ndogo tu ya kisaikolojia. Hana mwanaume mwingine na wala ha-cheat. Ungekuwa unajitambua ungeitatua mara moja tu; na yeye mwenyewe ndo angekuwa anakuinamia na kukumeng'enyulia mtako ili umle. Sad!
 
Huenda ni kweli hana hamu kabisa ya Tendo au Hiyo huduma kuna mahala anaipata wanawake niwasiri sana usijiaminishe kuwa ni mwaminifu.
Kama hana hamu ya Tendo, hii changamoto inatibika tu vizuri.
 
Bado nitazidi kukushukuru Mama E wangu. Na please usinichoke. Bila kujitambua hapa duniani ni mateso tupu hata uwe na pesa na madaraka zaidi ya Putin. Sijui nitakupa zawadi gani mshikaji wangu kwa kunifungulia code hii muhimu maishani!

➡️➡️➡️ Mkeo ana ishu ndogo tu ya kisaikolojia. Hana mwanaume mwingine na wala ha-cheat. Ungekuwa unajitambua ungeitatua mara moja tu; na yeye mwenyewe ndo angekuwa anakuinamia na kukumeng'enyulia mtako ili umle. Sad!
😄😄😄😄 Ila humu
 
Labda anatumia uzaz wa mpango wa kalenda ongea naye taratibu ujue nin shida ukiwa unalazimisha inakua Sasa sio
Pia wanawake Kuna vijiwe vya mtaan kuogopa kubebesha mimba huku unalea pia labda Hana elimu ya uzaz wa mpango sababu ni nyingi ila ongea naye
 
Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.
Yaani umejiridhisha siyo msaliti halafu umtaliki kisa mbususu, kwani ni yeye pekee anayo?!!

Mkataa pema pabaya panamuita.
Bado hujasema, ngoja umtaliki then uangukie mikononi mwa kicheche, "chawote" ndo utajua hujui
 
Habari zenu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza. Mimi na huyu mke wangu tupo kwenye ndoa kwa miaka mitatu sasa.

Mwanzo kipindi tunaingia kwenye ndoa alikuwa ananipa haki yangu tena kwa ushirikiano mkubwa sana. Tatizo lilianza alipobeba ujauzito. Miezi ya mwanzo ya ujauzito hadi kufikia miezi saba tulikuwa tukishiriki vizuri tu. Ujauzito ulipofikisha miezi saba, tulipumzika hadi alipojifungua, na mtoto kutimiza miezi mitatu, nikaanza kudai. Zikaanza sababu mara mtoto bado mdogo mara naumia.

Nikaendelea kuvumilia nikadhani shida itaisha. Mtoto amefikisha mwaka ndo tatizo likazidi Ili nipate lazima nilazimishe sana, na wakati mwingine tukifanya hatoi ushirikiano kabisa. Nikaamuliza shida. Nini anasema hakuna tatizo; alikuwa anatumia sindano za kuzuia ujauzito Nikajua ndo sababu, nikamwambia aache.

Bado haikuwa solution. Nimewaambia ndugu zake kadhaa wamemsema, ikiwemo shangazi zake, lakini wapi? Nimejaribu kuchunguza mno kama anacheat, sioni huo uwezekano kwani yeye ni mama wa nyumbani anashinda home tu. Nafikiria kumtaliki, namuonea huruma mwanangu sana kuishi bila malezi ya wazazi.

Naombeni ushauri wakuu nifanyaje
Kampime Ugongwa wa Thyroid , na afanye Hormonal profile
 
Ana shida ya kisaikolohia, badili mazingira, mchukue nenda bae mbalii hata vacation, toka kwenye hayo mazingira

Jadililini kama wapenzi, haya mazingira yatamfanya afunguke
Unajua haya maisha ni mafupi sana, ukianza ku focus na matatizo ya mtu mwengine kwanza kabisa yatakutoa mchezoni, then stress zitakuandama na lastly Furaha pia itapotea.

Kama unaona is worth it, then go ahead be that nice guy but trust me yeye angekuwa wewe basi mpaka sasa unaugulia maumivu ya kuachwa.

Kuvumilia matatizo ya mtu mwengine sio sifa while yakikukuta wewe kila mtu anapita njia yake, You'll ask yourself why me?

It's because you're weak! and weak people don't last long 😎
 
Pole wanamla, unaweza usiamini ila tumepita hapo, ni ngumu sana kutumikia mabwna wawili...
 
Hajapata mshindani huyo, wake dizaini hii dawa yao ni kutafutiwa washindani washike adabu
 
Back
Top Bottom