Najiuliza hivi mwanamke ili asijione hapewi mambo kwa wiki anahitaji mechi ngapi?
Maana kazi nifanyayo inanila muda na muda mwingine nalala saa nane usiku.
Sasa najiuliza nitakapo oa mwanamke atakuwa anahitaji kupewa mambo kila baada ya muda gani kwa wastani?
Mkuu kwa week mara 3..Sema msosi uwe mzuri na mazoezi na hicho kitambi punguza