Mke ana Hernia usawa wa kitovu pembeni ameambiwa operation

Mke ana Hernia usawa wa kitovu pembeni ameambiwa operation

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Mke alikuwa na maumivu usawa wa tumbo pembe tangu akiwa mjamzito, baadae akajifungua mtoto anamwaka na miez4

Baada yakujifungua Hadi Sasa mtoto ana 1.4yrs Hali ya maumivu mkalii usawa wa pembeni kidgo nakitovu na juu anakua anaumia halafu panavimba

Hali ikitokea anakaa katika maumivu nauvimbe masaa3 anapaka mafuta ya nazi panapoa na uvimbe kusinyaa

Sasa hii Hali imemtokea mara zaidi ya 7 katika mwaka

Majuzi likizo alikuwa Dar wakati anataka kutoka kurudi mkoani Hali ikamrudia, ikabid aende Muhimbili akaonana na Dkt. Colman, akaandikiwa ultrasound majibu yakawa ana hernia kuwa misuli imetanuka, akaandikiwa operation bahati mbaya jioni Yale akawa ana safari ya kurudi

Sasa karudi mkoani Hali imejirudia

Nauliza wakuu mkoani wanaweza fanya operation za tumbo kama hivo kwa kina mama wenye hernia? Au ndo mpaka Muhimbili

Je, operation yake huwa ikoje ya hernia kwa kina mama?
 
Mke alikua na maumivu usawa wa tumbo pembe tangu akiwa mjamzito,baadae akajifungua mtoto anamwaka na miez4,baada yakujifungua Hadi Sasa mtoto ana 1.4yrs Hali ya maumivu mkalii usawa wa pembeni kidgo nakitovu na juu a,anakua anaumiaa alafu panavimba Hali ikitokea anakaa katika maumivu nauvimbe masaa3 anapaka mafuta yanazi panapoa nauvimbe kusinyaa,,
Sasa hii Hali imemtokea mara zaid ya 7 katika mwaka
Majuzi likizo alikua dar wakat anataka kutoka kurud mkoani Hali ikamrudia,ikabid aende muhimbili akaonana nadr colman ,akaandikiwa ultrasound majibu yakawa anahernia kuwa misuli imetanuka,akaandikiwa operation bahat mbaya jioni Yale akawa anasafar ya kurud
Sasa karud mkoani Hali imejirudia nauliza wakuu mkoani wanaweza fanya operation zatumbo kama hivo kwa kina mama wenye hernia? Au ndo mpaka muhimbili
Naje operation yake huwa ikoje ya hernia kwa kina mama
Mkoa gani mkuu?
 
Sasa daktari amepata,na ameshampa maelekezo,na hapo alipopewa maelekezo ni hospital means atapatiwa matibabu bila shida.

Tatizo lipo wapi sasa hadu unakuja kuuliza tena kama mikoani kuna huduma?
 
Sasa daktari amepata,na ameshampa maelekezo,na hapo alipopewa maelekezo ni hospital means atapatiwa matibabu bila shida.

Tatizo lipo wapi sasa hadu unakuja kuuliza tena kama mikoani kuna huduma?
Mkuu alipewa maelekezo muhimbili bahati mbaya jioni Yale akawa nasafari,daktar akamwambia utafanyiwa ata siku nyingine we nenda,Sasa karud mkoani kaka wiki tatu hali imejirudia tena
 
Ushaambiwa ana hernia bado umekuja jf au unataka afanyiwe operation humu humu mwenzetu una mahaba na jf
Nimekuja humu kujua je kwa hospital za mkoani wanaweza kufanya operation za hernia kwa kina mama
 
Mke alikuwa na maumivu usawa wa tumbo pembe tangu akiwa mjamzito, baadae akajifungua mtoto anamwaka na miez4

Baada yakujifungua Hadi Sasa mtoto ana 1.4yrs Hali ya maumivu mkalii usawa wa pembeni kidgo nakitovu na juu anakua anaumia halafu panavimba

Hali ikitokea anakaa katika maumivu nauvimbe masaa3 anapaka mafuta ya nazi panapoa na uvimbe kusinyaa

Sasa hii Hali imemtokea mara zaidi ya 7 katika mwaka

Majuzi likizo alikuwa Dar wakati anataka kutoka kurudi mkoani Hali ikamrudia, ikabid aende Muhimbili akaonana na Dkt. Colman, akaandikiwa ultrasound majibu yakawa ana hernia kuwa misuli imetanuka, akaandikiwa operation bahati mbaya jioni Yale akawa ana safari ya kurudi

Sasa karudi mkoani Hali imejirudia

Nauliza wakuu mkoani wanaweza fanya operation za tumbo kama hivo kwa kina mama wenye hernia? Au ndo mpaka Muhimbili

Je, operation yake huwa ikoje ya hernia kwa kina mama?
Bosi usikubali kumfanyia mkeo operation nje jiji la Dar es Salaam. Hiyo issue kama walioona Muhimbili arudi hapo hapo
 
Mkuu alipewa maelekezo muhimbili bahati mbaya jioni Yale akawa nasafari,daktar akamwambia utafanyiwa ata siku nyingine we nenda,Sasa karud mkoani kaka wiki tatu hali imejirudia tena
Sasa hapo jambo la busara ni kupata pesa mkatie tiketi aidha ya ndege au kama ni basi basi arejee haraka afanyiwe upasuaji wa haraka.
 
Bosi usikubali kumfanyia mkeo operation nje jiji la Dar es Salaam. Hiyo issue kama walioona Muhimbili arudi hapo hapo
Mgonjwa alivoingia tu kwa Dr living colman kumuangalia tu tumbo akamwambia we unahernia hii ndo kwenda kwenye kipimo ikaja majibu hivo hivo
 
Nimekuja humu kujua je kwa hospital za mkoani wanaweza kufanya operation za hernia kwa kina mama
Mrejeshe tu Dar and why ulimharakisha kurejea huko mkoani wakati angeweza fanyiwa upasuaji huku huku Dar, nimeshindwa kuelewa why ulikubali arudi tena huko?
 
Kama ni Tabora, kuna kitete hospital hapo njia ya kwenda kwa mkuu wa mkoa, kuna malolo hospital kule chini station train , au unaweza mpeleka Bugando hospital pale huduma zao ni zuri sana kwa Sasa.
 
Kama ni Tabora, kuna kitete hospital hapo njia ya kwenda kwa mkuu wa mkoa, kuna malolo hospital kule chini station train , au unaweza mpeleka Bugando hospital pale huduma zao ni zuri sana kwa Sasa.
Kwakitete mmmh
 
Back
Top Bottom