Mke ajinyonga hadi kufa baada ya mumewe kuuawa kwa risasi MO29

Mke ajinyonga hadi kufa baada ya mumewe kuuawa kwa risasi MO29

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Mwanamke mmoja aishie nyasaka jijini Mwanza amekutwa kajinyonga kutokana na msongo wa mawazo baada ya kumpoteza mumewe ambaye alipigwa risasi tarehe 29 October na kufariki.

Mwanamke huyo ameacha watoto wanne bado wadogo wanahitaji malezi ya wazazi wao lakini wazazi wao hawapo tena dunia.

R.I.P KWA WOTE WALIPOTEZA MAISHA YAO ILI WATU WACHACHE WAJINUFAISHE NA HII NCHI.
 
Mwanamke mmoja aishie nyasaka jijini Mwanza amekutwa kajinyonga kutokana na msongo wa mawazo baada ya kumpoteza mumewe ambaye alipigwa risasi tarehe 29 October na kufariki.

Mwanamke huyo ameacha watoto wanne bado wadogo wanahitaji malezi ya wazazi wao lakini wazazi wao hawapo tena dunia.

R.I.P KWA WOTE WALIPOTEZA MAISHA YAO ILI WATU WACHACHE WAJINUFAISHE NA HII NCHI.
Inasikitisha sana.
 
Hii inaenda kuwa kama ile ya Tunisia jamaa aliyejitia kiberiti ikapelekea Arab spring iliyoanguaha serikali nyingi za kiarabu. Inaangusha gvt ya Tz hii ishu ikitrend.
 
unajua serikali inapoona waliouwawa kama hawana thamani yoyote na badala yake vitu vilivyoharibiwa vimepewa uzito ujue kwamba wananchi wanaona kama serikali haiwajali. Hila Watanzania wajue tunaongozwa kijeshi. CCM viongozi wao wa juu ni wanajeshi - usalama, jeshi, polisi etc. Ndo maana rais aliapishwa jeshini na sherehe ilikuwa inaongozwa na wanajeshi.
 
Mwanamke mmoja aishie nyasaka jijini Mwanza amekutwa kajinyonga kutokana na msongo wa mawazo baada ya kumpoteza mumewe ambaye alipigwa risasi tarehe 29 October na kufariki.

Mwanamke huyo ameacha watoto wanne bado wadogo wanahitaji malezi ya wazazi wao lakini wazazi wao hawapo tena dunia.

R.I.P KWA WOTE WALIPOTEZA MAISHA YAO ILI WATU WACHACHE WAJINUFAISHE NA HII NCHI.
Nahisi kuna visa vingi sana vya aina hii vinavyotokana na matokeo ya Oktoba 29 ila haviripotiwi, kuna mengi sana yaliyosababishwa na yale mauaji ya kikatili.

Mungu awapumzishe mahali pema, nawaonea huruma watoto ambao tayari wameshapoteza dira ya maisha!
 
Nahisi kuna visa vingi sana vya aina hii vinavyotokana na matokeo ya Oktoba 29 ila haviripotiwi, kuna mengi sana yaliyosababishwa na yale mauaji ya kikatili.

Mungu awapumzishe mahali pema, nawaonea huruma watoto ambao tayari wameshapoteza dira ya maisha!
Polisi wameminya vyombo vya habari, ata mwananchi wa kawaida anatishwa asiripoti chochote wanazika kimyakimya
 
Inaumiza sana hizi takataka kuna siku mwisho wao utafika. Ngoja niendele kunywa na hizi stress za hii serikali haramu
 
Nahisi kuna visa vingi sana vya aina hii vinavyotokana na matokeo ya Oktoba 29 ila haviripotiwi, kuna mengi sana yaliyosababishwa na yale mauaji ya kikatili.

Mungu awapumzishe mahali pema, nawaonea huruma watoto ambao tayari wameshapoteza dira ya maisha!
Wapo waliojiua mume na mke baada ya mtoto wao waliompata kwa ivf kupigwa risasi dirishani na hawa mashetani.
 
Back
Top Bottom