Sasa katika suala hili nani kashikilia mpini Rites au Serekali? Kama ni serekali kwanini wasivunje mkataba na kutoa hiyo hela ya maafa tukajua Moja?
Hiyo ingeleta economic sense, na Social sense.
Kuhusu kufikiria Big, mimi ninafikiria plan ya 5 years na kuendelea siyo hiyo ya siku moja. Juzi juzi tu hapa treni ilikuwa inaanzia Dodoma, je serekali hawakuona tatizo kwa usafiri kwa hao watu wa Tabora kigoma, shy, Mza.
Mbona waliacha hali hiyo kwa muda mrefu?
au ndio katika kutafuta justification ya kuwaingiza RITEs.
Na unavyo inject money lazima uangalia baadae itakuwaje, sio una inject money kwenye pipa lilotoboka, unless wewe ni kichaa.
Everything have it's limit au wewe huna hili neno LIMIT na Assesssment of the situation.
August, angalia hapa:
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11723
Hilo lilikuwa linaitwa "Pre-planned Move" Mkulu.......
Mods.... Hii nadhani ingesogezwa kule kwenye nanihiii (http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11723)