Tetesi: EuroWagon Kuishtaki TRC Kwa Kuivunjia Mkataba wa Kuleta Vichwa Na Mabahewa ya Treni ya SGR. Je Nchi Kuingia Hasara ya Kulipa Mabilioni Mengine?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,060
49,744
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa. Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

View: https://www.instagram.com/p/C2fLTiVIdG5/?igsh=MWV4ZnI1eDVuNTljYg==

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

View: https://www.instagram.com/p/C2ekP3utaJF/?igsh=NGgwZTFzMmJjdXV1

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.
 
Laana ya mwenge kamwe haitotuacha salama, Tutalala kwa huzuni kama Mungu alivyoahidi katika Isaya 50:11

Isaya 50:11 BHN
Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge, tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ni hiki: Nyinyi mtalala chini na mateso makali.

Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
 
Ipo hivi ndugu Mtanganyika.

Kuvunjwa kwa mkataba wowote lazima wanasheria wanakuwa wamepitia vipengere na kuangalia faida na hasara.

Ila sasa tatizo linakuja hapa; wao wanaangalia uoande wao nje na serikali I mean 10per endapo mkataba utavunjwa, kama mtu mmoja aliwahi kusema wanaenda kuongea na kampuni iliyo kwenye mkataba wafanye makusudi kuchelewesha needs ili kufikia lengo kama hili uliloandika.

Kumbuka late Pres. JPM aliwahi kulisema jambo kama hili kwa kuwaambia hao wanasheria wa serikali juu ya mikataba wanayoingia, "why serikali huwa inashindwa tu? "
 
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa.Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.
Hili lililetwa humu kitambo, tuliisha malizana nao SI KWELI - Mabehewa 30 na vichwa 2 vya treni za SGR mali ya TRC kupigwa mnada nchini Ujerumani

Ila pia niliwahi kuuliza Watanzania tutajifunza kwa makosa hadi lini? Hivi TRC hawa wanaoshindwa vitu vidogo hivi wataweza ku-run SGR yetu effectively & efficiently?

Tukapongeza TRC kwa mabehewa mapya Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!
P
 
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa.Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.
Mikataba huwa inaandaliwa na mzabuni wao kazi yao huwa ni kusaini na kuchukua 10%. Over
 
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa.Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.
Nani alivunja mkataba
 
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa.Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.
Sumu ya Jiwe inaendelea kulitafuna taifa n akutuzidishia makali ya maisha.
 
Back
Top Bottom