atoke hapa! Angefanya kazi yake mambo mengine wala yasingefika hapa. Anataka tumsifie kwa uwanja wa mpira?
Its pity kati ya yote mema aliyo yafanya Mkapa watu wameona uwanja mpya wa taifa tu!
Huu ni upofu usio yumkinika lakini si shangai hilo kwani hao wanaodai hayo wapo Detroit kwenye comfort zone zao.
Wataonaje barabara za viwango vya lami, vituo vya afya, maboresho ya maslahi serikalini (zamani watu walikimbia kufanya kazi serikalini siku hizi kila mtu anataka) maboresho ya vitendea kazi serikalini magari, samani nk. Miradi mikubwa ya kama daraja la Mkapa, mradi wa maji kutoka ziwa Victoria Shinyanga, uchumi kuimarika. Inflation to go down to single digit, mipango ya MMES, TASAF, MKUKUTA, MKURABITA nk if you know them.
Na mengine kadhaa wa kadhaa lakini ma pundit wa JF wameona uwanja wa taifa tu loo shame on you! Mkapa atabaki kuwa miongoni if not onlgoingy the best President taifa letu limepata kuwa nae.
Kwani dogo hilo?
Ni kubwa kiasi chake lakini usisahau amefanya machache mazuri na mengi mabaya, Sidhani kama kuna Rais ambaye amejinyakulia utajiri mkubwa kwa njia zisizo halali kama yeye. Nchi kaiuza mpaka kamaliza kila kitu, mikataba mibovu yote kaingia yeye, halafu unatetea eti dogo hilo? Nyie ndio wanafiki wenyewe. Asimame na kipaza sauti atuombe radhi watanzania kwa kuiuza nchi yetu ndio amgeukie Mungu. Hana lolote nafikiri dhamira yake inamsuta. Hivi ndo tunavyoviita viini macho.
Masatu mimi siko Ulaya wala Marekani niko hapa hapa Bongo kwa hiyo huwezi kuni-fool kwa namna yoyote I know each and everything happening in this Bongo land.
Unajua maana ya unafiki ama unapayuka tu?Ni kubwa kiasi chake lakini usisahau amefanya machache mazuri na mengi mabaya, Sidhani kama kuna Rais ambaye amejinyakulia utajiri mkubwa kwa njia zisizo halali kama yeye. Nchi kaiuza mpaka kamaliza kila kitu, mikataba mibovu yote kaingia yeye, halafu unatetea eti dogo hilo? Nyie ndio wanafiki wenyewe. Asimame na kipaza sauti atuombe radhi watanzania kwa kuiuza nchi yetu ndio amgeukie Mungu. Hana lolote nafikiri dhamira yake inamsuta. Hivi ndo tunavyoviita viini macho.
Hapa Mkapa anahusika vipi? weka sawa....-
Uongozi bora ni pamoja na wewe unayeongoza kua kioo kwa unaowaongoza, Mkapa amepoteza a very important opportunity ya kulirudisha hili taifa kwenye nidhamu ya uongozi, kama huamini tizama uongozi aliotuachia, huu utamsuta mpaka anaingia kaburini hata aseme nini kujaribu kujitakasa huu uongozi wa sasa ni yeye aliyetuletea, tatizo letu Tanzania sio anything ila ni viongozi wabovu tu! na Mkapa bares 100% responsibility for it! na hasa this national misery we are in sasa hivi!
Respect.
FMEs!
- One of this days wananchi wa taifa hili tutakuja kugundua exactly what was nafasi ya Mkapa, katika historia ya taifa hili kiuongozi na hasa maadili. Mwalimu was a leader ingawa alikuwa na mapungufu kwenye technicalities za what to do na uchumi, pamoja na sheria lakini bado he was a greatest leader kwa maana ya kwamba aliweza kuishi kwa kufuata maneno yake mwenyewe mbele ya wananchi wake, matendo yake hayakutofautiana hata kwa an inch na tabia zake na hasa maisha yake binafsi kama rais na binadam, hiyo ni skill muhimu sana kwa kiongozi wa watu wowote wale, iwe dini au siasa.
- Baada ya kugundua makosa yake katika uchaguzi wa Mwinyi, Mwalimu aliamua kufanya marekebisho kwa kutegemea Mkapa, angelirudisha taifa kwenye maadili yake aliyoyaweka akiwa kiongozi, Mwalimu alijua kwamba technically kuna ambayo hayawezekaniki kwa mfano ya uchumi, lakini aliamini kwamba with nidhamu ya uongozi mengine yote yatakuwa contained na kueleweka na wanachi, kwa sababu pamoja na hali mbaya ya uchumi wa dunia bado viongozi wanaoongoza wakiweza kuishi maisha yanayokaribiana na wananchi, wananchi hawatakuwa kinyongo nao, wataelewa kama tulivyokuwa tukielewa under Mwalimu, kwamba sawa hali ni mbaya duniani na maisha yetu wananchi na ya viongozi hayapitani sana kwa hiyo we are in a good shape as a nation.
- Lakini the minute alipoingia tu huyu Mkapa akaanza taratibu kum-betray Mwalimu, na hatimaye sisi wananchi wote wa hili taifa, kwa mara ya kwanza tukaaanza kujionea masikini wamejaa mabara barani hasa kwenye traffic lights, unafikiri kwa nini wale masikini wanafanya vile ni kwa sababu wanajua kuwa wenye njaaa ni wao tu sio wananchi wote, na ndio maana walianzia pale Salender Bridge, maana walijua pale ndio mahali pa kuwaomba hela viongozi wetu wanapokuwa njiani kwenda kazini ni lazima wapitie pale ndio ikasambaa kila kona sasa ya jiji.
- Uongozi bora ni pamoja na wewe unayeongoza kua kioo kwa unaowaongoza, Mkapa amepoteza a very important opportunity ya kulirudisha hili taifa kwenye nidhamu ya uongozi, kama huamini tizama uongozi aliotuachia, huu utamsuta mpaka anaingia kaburini hata aseme nini kujaribu kujitakasa huu uongozi wa sasa ni yeye aliyetuletea, tatizo letu Tanzania sio anything ila ni viongozi wabovu tu! na Mkapa bares 100% responsibility for it! na hasa this national misery we are in sasa hivi!
Respect.
FMEs!
Usichoelewa hapo ni nini? Mbona mimi nimeelewa?Hapa Mkapa anahusika vipi? weka sawa....
Zakumi,Ndugu Mkapa:
Njoo kwetu uibe kuku tu na baadaye uone kama utapewa nafasi ya kumwachia Mungu.
Mvina,Mkapa amefanya mema mengi kuliko haya mabaya yanayobeba vichwa vya habari kila leo.Mi cyo mwana ccm ila huyu jamaa hata akigombea kesho nitampa kura yangu hakuna mwingine ndani ccm ninayeweza kumpigia kura yangu.