Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,153
Mimi sijawahi kuona mke akimpigia kampeni mume kwa nguvu hii
Hawa mali walizotuibia wazazi wao zinatosha sana,........thou uchaguzi huu kwangu nauchukulia kama kipimo cha akili za Wadanganyika zimefikia level gani! kuwapa ulaji zaidi wawili ni kujitukana wenyewe hao watakaowapigia kura.