Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Kutokana na Kuongoza Kampeni Arumeru Mzee Mkapa ameonesha kuchanganyikiwa kwa kutumia muda wake Mwingi kujibu Makombora yanayorushwa kutoka CHADEMA ametumia muda wake Mwingi sana kujitetea katika tuhuma za Ufisadi na kuasisi Ufisadi Papa ikiwemo tuhuma za Uporaji Ardhi,Akihutubia katika viwanja vya Patandi Arumeru Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Msigwa ameendelea kurusha Makombora kwa Serikali ya CCM kuwa ndio chanzo cha maisha Magumu kwa Watanzania hasa wanapopandisha Bei ya Bidhaa ili kuhudumia Marais wastaafu kama Mkapa waliofikisha Nchi hapa ilipo.
Nikiripoti kutoka Tengeru ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa jamii forums
Hongeya Mgosi,
Utupe vibwagizo zaidi kutoka huko Arumeru.