vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Jana nimebahatika kusikiliza sehemu ya Hotuba ya Mheshimiwa Benjamin Mkapa Katika Uzinduzi wa Kampeni za CCM arumeru.
Moja ya mambo aliyofafanua ni habari za yeye kutoa masharti kabla ya kuzindua kampeni hizo na habari za yeye kuhusishwa na ufisadi wa Ardhi Arumeru.
Kwa mujibu wa bwana mkapa hizi habari ziliandikwa na wapinzani kwenye mitandao yao.
Wanajamvi mnaweza kunisaidia link ya huu mtandao wa wapinzani? Mimi ni mpinzani damu damu lakini nasikitika sijawahi kupata bahati ya ku access huo mtandao wa wapinzani.
Natanguliza shukrani.
Vivy.
Moja ya mambo aliyofafanua ni habari za yeye kutoa masharti kabla ya kuzindua kampeni hizo na habari za yeye kuhusishwa na ufisadi wa Ardhi Arumeru.
Kwa mujibu wa bwana mkapa hizi habari ziliandikwa na wapinzani kwenye mitandao yao.
Wanajamvi mnaweza kunisaidia link ya huu mtandao wa wapinzani? Mimi ni mpinzani damu damu lakini nasikitika sijawahi kupata bahati ya ku access huo mtandao wa wapinzani.
Natanguliza shukrani.
Vivy.