EmeraldEme
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 116
- 20
Mheshimiwa Ben hapo alichemka maana hakuna siku huyo Vincent ashasimama akasema yeye ni mtoto wa Julius K Nyerere, na wote tunalifahamu. Na wananchi tunachohitaji ni sera za maana basi na sio nani kazaliwa na nani, angestick kny point za kuwajengea jina and not saying otherwise. Nimemshangaa Ben.