kama sielewi hii lugha vilee,ngoja ntafte miwani
hetidhe dada wetu mwathu
kama sielewi hii lugha vilee,ngoja ntafte miwani
Naomba kujua hasa kwa vijana wa ufipa hivi ni kweli msimamo wa babu Slaa na chama chenu uko palepale kwamba mkishika dola mtaruhusu utengenezaja wa gongo kisheria????
cc yeriko & ben-saa12 jioni
hetidhe dada wetu mwathu
Wewe ni --------. Akili yako inazunguukia kwenye chungu and it is growing in a centripetal way.Karagwe kuna watoto wakali sana huenda ndo huwa anawafuata
Wivu Wa kike
karagwe kuna watoto wakali sana huenda ndo huwa anawafuata
Naomba kujua hasa kwa vijana wa ufipa hivi ni kweli msimamo wa babu Slaa na chama chenu uko palepale kwamba mkishika dola mtaruhusu utengenezaja wa gongo kisheria????
cc yeriko & ben-saa12 jioni
Tarehe 26 Desemba Mkapa alikuwa Karagwe na alisali kanisa la St George mjini Kayanga. Alhamisi kuu hii amesali kanisa hilo hilo. Na mwezi wa saba mwaka jana alikuwa Karagwe ikiaminika kwamba alikwenda kwenye msiba wa rafiki yake Balozi Ruhinda. Kwa ujmla tangu aondoke madarakani ameenda Karagwe mara nyingi sana.
Kuna uvumi ambao haujawahi kukanushwa kwamba wakati wa utawala wake alijibinafisisha kiwanda cha Kagera Sugar na kwamba anamiliki zaidi ya hekta elfu 40 za mashamba ya miwa. Na kwamba alipokuwa rais aliwahi kuchelewa kuhutubia mkutano wa hadhara Karagwe kwamba alikuwa na kikao cha kamati ya ulinzi na usalama kilichofanyika Kagera Sugar, kumbe alikuwa anakagua mashamba yake.
Hivi tunavyoongea yupo Karagwe amelala KDRDP anapopendelea kulala. Hutoka pale kusalimia kwa Balozi Ruhinda na marehemu Balozi Tibandebage. Maswali ni mengi kuliko majibu, Mkapa huwa anatafuta nini Karagwe?
Watanzania tunamambo ya ajabu sana. Kwani KARAGWE inatofauti gani na Dar? mbona mimi hupenda kwenda Morogoro kutembelea marafiki zangu? na nikiwa huko J2 lazima niende kusali, kwanini kufuatiliana kwenye mambo binafsi? tabia hii tutaiacha lini?
Kwani kagera hai~hitaji wageni? Na wawekezaji?we tanzanian, we are free karibu uwekeze songea!
wivu wa ki uke wenza
kwan nimekwambia wewe au mtoa madaMwenye wivu wa ki uke mwenza ni ww ambaye unapenda kufuatilia maisha binafsi ya watu. Mzee wa watu BEN MKAPA ameshastaafu anaamua kutembelea marafiki zake watu mnaanza kumfuatilia mara amelala Hotel fulani yote hayo ya nini? kama siyo ujinga ni nini? "Instead of discussing issues, we're discussing about people" tuache majungu. Wewe unadhani watu wakianza kukufuatilia maisha yako binafsi utafurahia? mnafiki mkubwa.....