Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

haya tena bomu lingine hilo, wakati la chenge bado moto wake unaunguza watanzania, mkapa na yona nao wamelifumua jingine...
 
Sheria ya Tanzania inafanya kazi kwa maajabu ya kutisha sana, it functions and works perfectly at catching small fish only, anyway lets see what happens next, kilio chetu ni kuwa Mkapa,Yona & Co. washtakiwe kwa style ile ile ya Kasusura, Hivi sheria inasemaje kwa Rais na Mawaziri wastaafu? wanayo immunity yeyote au ni uoga wa Manumba,Mwema na Hosea?? Help me guyz
 
Kimara nimepata nyeti kuna force nzito behind inamsimamia so hakuna madhara.Wana sema sasa ukweli baada ya kumwaga unga.Kimaro endelea hadi JK ajue kwamba hata CCM mnaweza kusema despite ibara gani.Kuna Mgombea binafsi unaweza pia kuingia Bungeni kwa ticket hiyo .

Mkuu leta nyeti, au mkuu wa kaya ameamua kupitia mlango wa nyuma kuwaumbua washikaji wake, sisi tunasubiri cha msingi ni kuwa atleast imengia kwenye kumbukumbu za bunge kuwa raisi msitaafu ni mwizi wa mali za umma.
 
Hii nchi imeliwa sana and this only a fraction of whats out there.Na ndio maana wanajisahau na kuita bilioni ni vijisenti.Mkapa,wakati wa Mwinyi alikuwa ni frustrated minister.Ni kama vile hasira zake za wakati huo kaja kuzimalizia kwa wananchi...sasa kumbe ndio kwanza kajizidishia frustrations.Kuporomoka kwa Chenge ni disaster kwa Mkapa,na Chenge ndio mmoja ya wale ambao waliokuwepo serikalini waliokua wanamtetea yeye Mkapa na kuhakikisha kuwa hatasumbuliwa.Sasa it seems kuwa the noose is getting tighter by the day for him na wenzake.Kiukweli,sasa hivi i think they dont even know what will happen to them.Wanasubiria tu
 
Sheria ya Tanzania inafanya kazi kwa maajabu ya kutisha sana, it functions and works perfectly at catching small fish only, anyway lets see what happens next, kilio chetu ni kuwa Mkapa,Yona & Co. washtakiwe kwa style ile ile ya Kasusura, Hivi sheria inasemaje kwa Rais na Mawaziri wastaafu? wanayo immunity yeyote au ni uoga wa Manumba,Mwema na Hosea?? Help me guyz

Hawa wanaona kama wana hati miliki ya nchi hii, utawashitaki wakati hawakuiba hila walichukua chao mapema, wamejenga mtandao mkubwa sana wa kifisadi kiasi kwamba hata ukimua kama wewe leo ukaenda mahakamani utaishia kukatishwa tamaa tu.
 
Watz, naomba tusiogope kupigania maslai yetu. Mkapa ni mtu hatari kwasababu ana wafuasi wengi nyuma yake aliowapata kwenye network yake ya ufisadi alipokuwa kwenye uongozi. wanalindana na watapigana kwa pamoja si rahisi kusalitiana. lakini sisi tukisimama kidete, tutawasambaratisha tu. HATA KABLA ya yule mbunge kuongea hivyo bungeni, tayari wananchi walishakuwa wanaelewa. hili jambo lilishasambaa sana mtaani hata watu wa kawaida walikuwa wanalifahamu. hata mkapa mwenyewe na Yona walikuwa wanafahamu kuwa dili zao zote zimejulikana. ndo maana hajawai hata kufumbua ule mdomo wake kuchangia chochote kile kuhusu selikali toka aage uraisi. Na ndio maana, muda ule wa uchaguzi wa wana ccm, alikuwa anajaribu sana kumtaka Dr.Kigoda liwe chaguo lake ili aje amlinde, lakini JK alikuwa ngangari nae na network yake alikuwa hayuko tayari kushindwa, hadi maji ya shingo kwa mkapa na JK akawa nominated.

JK anamlinda Mkapa. ndo maana aliwaambia watz tusimseme toka mwanzoooo? kwanini tusimseme? wakati amekuwa mbadhilifu?, HATA YULE MBUNGE alikuwa anajitoa muhanga tu kuongea vile. tunamshukuru sana kwa hili na sisi watz na wana JF naomba tuungane nae tupambane naye na tumlinde. Mkapa lazima anyang'anywe ule mradi wa kiwira, ili usimfaidishe yeye peke yake, uwafaidishe watz.

Ni mtu wa aina gani hata kama anafanya biashara kubwa nchi za wenzetu huko, ana weza kuwa analipwa milion zaidi ya miamoja kwa siku sijui mwezi sijui wiki? toka tanesco? yaani hela zote hizo ziende kwenye account ya mkapa kwasababu gani? kama kila mtu anakuwa na minajiri ya kuingia ikulu ili akachume, sisi ambao hatuna hata wazo la kufanikiwa kuingia ikulu tuko upande gani? this is not fair.

Tunatakiwa tupambe moto humu, na lazima tu watz watakuja kuandamana ili mkapa akamatwe. Na hizo hela anaziweka account gani? au anatumia majina ya watu wengine? kuna haja ya siku kuwachunguza watu wote wenye hela nyingi nje na ndani ya tz, kwasababu haya maviongozi, yanaweza yakawa yanatumia watu wengine kuweka hela kwenye account zao ili majina yao yasionekane. si mnajua tena ni sawa tu na wahindi wanavyofanya?wanachukua hela za vigogo, wanaweka kwa majina yao na wanafanya mabiashara makubwa, kumbe si za kwao. tusi we are blinded kwamba biashara ni za wahindi kumbe ni wa vigogo. hawa wahindi wanapata wapi mitaji mikubwa namna hiyo? unajua kuwa wahindi wa tz ni matajiri kuliko wahindi wa India?duh!
 
Kuna mtu alisema wacha waende butiama na wakifanya utani wataona madhara yake na ndio yanaanza kuonekana.

Cha msingi hapa ni kuongeza pressure kubwa mpaka mafisadi waondoke wenyewe na pia kiwira irudishe serikalini mara moja.
 
Kimara nimepata nyeti kuna force nzito behind inamsimamia so hakuna madhara.Wana sema sasa ukweli baada ya kumwaga unga.Kimaro endelea hadi JK ajue kwamba hata CCM mnaweza kusema despite ibara gani.Kuna Mgombea binafsi unaweza pia kuingia Bungeni kwa ticket hiyo .

Mkapa kushtakiwa tusimlaumu JK, kwa sababu yeye kama mrithi wa Mkapa hawezi tu kuamka na kusema 'hey Mwema, Hosea mkamate Mkapa mumpeleke mahakamani'!

Lakini tukipata fununu kwamba JK anaingilia harakati za kumtendea haki Mkapa.... hapo tumlaumu na yeye. Kumshtaki ex-president (japo kimsingi hapa anazungumzwa Mkapa kama Mkapa) inahitaji mambo mengi yakiwemo ya kikatiba.

Bungeni ni mahali muafaka kuanza kumtafutia BWM haki zake za kisheria.... tafadhali wabunge wengine jiungeni katika hili.
 
Mkapa kushtakiwa tusimlaumu JK, kwa sababu yeye kama mrithi wa Mkapa hawezi tu kuamka na kusema 'hey Mwema, Hosea mkamate Mkapa mumpeleke mahakamani'!

Lakini tukipata fununu kwamba JK anaingilia harakati za kumtendea haki Mkapa.... hapo tumlaumu na yeye. Kumshtaki ex-president (japo kimsingi hapa anazungumzwa Mkapa kama Mkapa) inahitaji mambo mengi yakiwemo ya kikatiba.

Bungeni ni mahali muafaka kuanza kumtafutia BWM haki zake za kisheria.... tafadhali wabunge wengine jiungeni katika hili.

Nina habari nzito kabisa na hapa nashanagaa kama JK anaweza kuachia Chenge ashitakiwe .Dot zinaanzia na radar na mikataba mingine .JK hakosi kwenye mikataba kama IPTL na mingine .Ukimshitaji Chenge means next ni BWM na hapa wataanza kutajana na JK hataruka kiunzi .Hapa watu wameamua kusema kwa uwazi kama Kimaro kwa nguvu fulani hivi lakini JK atawachekesha na kusema kaonyesha uungwana na kuondoka .Hii haitoshi na JK ataimaliza kwa style hii .
 
CCM siku zake zinahesabika, muamini msiamini, watanzania wanaanza kuelewa, siku yaja ccm watakapozomewa hoko kijijini wanapojivunia, wanasahau kuwa ule msingi Mwl aliouweka umeanza kumomonyoka,ccm wanatufanya watakavyo, wanatugeuza watakavyo, ila Mola yupo. Haiwezekani Mkapa akawa analipwa mamilioni yetu kila siku tena kwa miaka ishirini, jamani tufanyeje? twende wapi? kila kukicha maisha juu, hasa sisi walala hoi hatusemi, Mungu ni kwanini tuibiwe na ndugu zetu hawa?
 
mnakumbuka ni mbunge gani aliongoza hoja ya kukataa muswada wa TANESCO usijadiliwe kwenye Kamati hadi wapate nafasi ya kusikiliza ripoti ya Richmond na ikawa ndio mwanzo wa domino effect...?

Mkuu Mwanakijiji, hili swali lako bado halijajibiwa jibu ni Mhe. Aloyce Kimaro. Ninampongeza mheshimiwa huyu, hakika wananchi wa Vunjo wametupatia mwakilishi. Wabunge wa CCM wanatakiwa kusoma nyakati hiki ni kipindi cha kupambana na ufisadi hakuna atakaye wafisadi kama ilivyokuwa huko nyuma.

"Hata hivyo mara baada ya kutoa ufafanuzi huo Mbunge wa Vunjo (CCM), Aloyce Kimaro alisimama na kuomba tena muongozo wa mwenyekiti na kutaka semina hiyo isimamishe mpaka pale Bunge litakapopata ripoti ya kamati ya Richmond na kuijadili ndipo mikataba hiyo ifikishwe Bungeni na kwamba yeye mwenyewe hana imani na wizara hiyo pamoja na watendaji wake."
Source: http://www.jambonetwork.com/blog/?p=5067
 
Nina habari nzito kabisa na hapa nashanagaa kama JK anaweza kuachia Chenge ashitakiwe .Dot zinaanzia na radar na mikataba mingine .JK hakosi kwenye mikataba kama IPTL na mingine .Ukimshitaji Chenge means next ni BWM na hapa wataanza kutajana na JK hataruka kiunzi .Hapa watu wameamua kusema kwa uwazi kama Kimaro kwa nguvu fulani hivi lakini JK atawachekesha na kusema kaonyesha uungwana na kuondoka .Hii haitoshi na JK ataimaliza kwa style hii .

Sio Chenge tu, hivi tangu kina Lowassa, Karamagi na Msabaha wajiuzulu wameshachukuliwa hatua yeyote ile, au kujiuzulu ndio hatua ya mwisho katika uwajibikaji? sishangai CCM kuwa chama cha mafisadi kwani wote ndio wanakumbatiwa huko. Chama gani hakiwawajibishi wanachama wake..kila siku kuteteana na kulindana tuu. Mmeimaliza nchi yetu kwa maslahi yenu binafsi mweeee, yaani nimeshachoka kabisa na nchi hii. Ndio maana watu wanaamua kujilipua ughaibuni kwa mambo kama haya.
 
Alisema viongozi hao hawaonyeshi mfano mzuri kwa mawaziri wa sasa, wizara hiyo na viongozi wengine waliopo madarakani na akahoji kwa nini hawachukuliwi hatua za kisheria.

``Hawa vijana wataiga mfano gani,`` alihoji Bw. Kimaro.
Wizara ya Nishati na Madini inaongozwa na Waziri William Ngeleja na Naibu wake Bw. Adam Malima ambao ni vijana.

``Malima kule kwake ana gesi, sasa naye aunde kampuni? ``aliendelea kuhoji na kuongeza, ``ifike mahala tuseme sasa inatosha``.

Maneno mazito kwa kweli. Mkapa na wenzie wameset bad precedent.

Wamemong'onyoa maadili kwa taifa hili kwa hali ya kutisha.

Madhara yake kwa kweli ni makubwa na itachukua muda na nguvu zilizoambatana na dhamira ile kuweza kubadili mind-set ya vijana ambao ndiyo taifa la kesho; kitu ambacho mafisadi hawakuangalia.
 
Kimara nimepata nyeti kuna force nzito behind inamsimamia so hakuna madhara.Wana sema sasa ukweli baada ya kumwaga unga.Kimaro endelea hadi JK ajue kwamba hata CCM mnaweza kusema despite ibara gani.Kuna Mgombea binafsi unaweza pia kuingia Bungeni kwa ticket hiyo .

Lunyungu,
Mie nakwambia na leo naomba uniquote,kama ni kweli Kimario kapewa nguvu na watu fulani amseme Mkapa,na kama kweli katumwa na watu kuja kuyasemea haya,na kwa kuwa ametumwa na kina Mamvi ili kuweza kujisafisha,nakuhakikishia hili jambo litakigawa Chama,usidhani Mkapa hana watu wake..Na leo au kesho ataitwa katika kamati ya Maaadili kuhojiwa.nitawapa Feed-back kuhusu hili..

Lowassa anatumia watu hawa kujisafisha na hii ni moja ya mipango yao,walitaka kumuanika kwa kumgeuka Muungwana ila walishindwa kwa kuwa Mku wa kaya ameweka watu wake na ndugu zake wa karibu kila kina na anajua jinsi ya kuwamaliza watu na rafiki zake ambao ni hatari kwake yeye.

Mkapa alipotoa pale state house aliondoka na alikwenda kutengeneza Extranet yake ambayo ina watu anao waamini sana na huwa inatumika kujua ni kina nani wanataka kuwahujumu.ni mtandao hatari zaidi ya JF and is beeing controlled by senior Experts and they are paid good as you cant imagine.

HITIMISHO
1.Kumgusa Mkapa kwanza ni kukigawa Chama,Je CCM wako Tayari kukigawa Chama kwa Kumsafisha MAMVI?

2.Pili hakuna shahidi wowote kwamba Mkapa anahusika katika mambo hayo,Go and find everything in BRELA,the guy was bright and he was bririant inthese Deals.
3Tatu kama Mkapa akiguswa basi hakuna mtu atakayebaki hadi Mkuu wa kaya naye atadondoka tu?He is Ready to be one term president?or kukigawa Chama??hell no..

Mkapa is untouchable,ongeleeni jambo lingine tu..simtetei ila habari ndiyo hiyo.
 
ni aibu! sasa Mkapa tumfanyeje na utaratibu wetu, tuliojipangia wa kuwahifadhi maraisi wastaafu?
 
Lunyungu,
Mie nakwambia na leo naomba uniquote,kama ni kweli Kimario kapewa nguvu na watu fulani amseme Mkapa,na kama kweli katumwa na watu kuja kuyasemea haya,na kwa kuwa ametumwa na kina Mamvi ili kuweza kujisafisha,nakuhakikishia hili jambo litakigawa Chama,usidhani Mkapa hana watu wake..Na leo au kesho ataitwa katika kamati ya Maaadili kuhojiwa.nitawapa Feed-back kuhusu hili..
HITIMISHO
1.Kumgusa Mkapa kwanza ni kukigawa Chama,Je CCM wako Tayari kukigawa Chama kwa Kumsafisha MAMVI?

2.Pili hakuna shahidi wowote kwamba Mkapa anahusika katika mambo hayo,Go and find everything in BRELA,the guy was bright and he was bririant inthese Deals.
3Tatu kama Mkapa akiguswa basi hakuna mtu atakayebaki hadi Mkuu wa kaya naye atadondoka tu?He is Ready to be one term president?or kukigawa Chama??hell no..

Mkapa is untouchable,ongeleeni jambo lingine tu..simtetei ila habari ndiyo hiyo.

Mimi nilisema huyu Bwana Kimaro, lazima leo wamuite wamuulize amepta wapi gut za kusema aliyoyasema na kama anajua kuna ibara ya 15:1, those CCM will never change bado wanafikiri tupo mfumo wa chama kimoja.
 
Nafikiri SaSA baada ya CHenge sasa Mkapa ataongea. HIvi nani alisema ukimaliza urais unakuwa bubu?.

Mbona Mzee Mwinyi kila kukicha anaongea?.

Kwani kuna mtu alimlazimisha kuwa FISADI?

Nafikiri Yonah hana kinga hivyo akakamatwe mara moja.
 
Lunyungu,
Mie nakwambia na leo naomba uniquote,kama ni kweli Kimario kapewa nguvu na watu fulani amseme Mkapa,na kama kweli katumwa na watu kuja kuyasemea haya,na kwa kuwa ametumwa na kina Mamvi ili kuweza kujisafisha,nakuhakikishia hili jambo litakigawa Chama,usidhani Mkapa hana watu wake..Na leo au kesho ataitwa katika kamati ya Maaadili kuhojiwa.nitawapa Feed-back kuhusu hili..

Lowassa anatumia watu hawa kujisafisha na hii ni moja ya mipango yao,walitaka kumuanika kwa kumgeuka Muungwana ila walishindwa kwa kuwa Mku wa kaya ameweka watu wake na ndugu zake wa karibu kila kina na anajua jinsi ya kuwamaliza watu na rafiki zake ambao ni hatari kwake yeye.

Mkapa alipotoa pale state house aliondoka na alikwenda kutengeneza Extranet yake ambayo ina watu anao waamini sana na huwa inatumika kujua ni kina nani wanataka kuwahujumu.ni mtandao hatari zaidi ya JF and is beeing controlled by senior Experts and they are paid good as you cant imagine.

HITIMISHO
1.Kumgusa Mkapa kwanza ni kukigawa Chama,Je CCM wako Tayari kukigawa Chama kwa Kumsafisha MAMVI?

2.Pili hakuna shahidi wowote kwamba Mkapa anahusika katika mambo hayo,Go and find everything in BRELA,the guy was bright and he was bririant inthese Deals.
3Tatu kama Mkapa akiguswa basi hakuna mtu atakayebaki hadi Mkuu wa kaya naye atadondoka tu?He is Ready to be one term president?or kukigawa Chama??hell no..

Mkapa is untouchable,ongeleeni jambo lingine tu..simtetei ila habari ndiyo hiyo.



Gembe kwa uzito nyeti ambazo zinanifikia nakueleza kwamba nyuma ya Kimaro kuna Sumaye ambaye he still hold grudges agains Mkapa kwa kushindwa kumpa support wakati wa kutafuta Rais .Nakupa kidogo urudi ukajiulize why nimesema haya .Next kwa swala hili baada ya Chenge ni Mwandosya .Radar ya Mkapa ni Mwandosya , Chenge na wengine .Makundi yako na yako tayari kumalizana .Watu hawasemi ila wanatenda na hakuna wa kumgusa Kimaro sasa kwa Taarifa kesha mwaga mboga anangoja wazoe.Spika akimwita kaisha maaba dawa yake iko jikoni .
 
Gembe kwa uzito nyeti ambazo zinanifikia nakueleza kwamba nyuma ya Kimaro kuna Sumaye ambaye he still hold grudges agains Mkapa kwa kushindwa kumpa support wakati wa kutafuta Rais .Nakupa kidogo urudi ukajiulize why nimesema haya .Next kwa swala hili baada ya Chenge ni Mwandosya .Radar ya Mkapa ni Mwandosya , Chenge na wengine .Makundi yako na yako tayari kumalizana .Watu hawasemi ila wanatenda na hakuna wa kumgusa Kimaro sasa kwa Taarifa kesha mwaga mboga anangoja wazoe.Spika akimwita kaisha maaba dawa yake iko jikoni .

My foot,Lunyungu i know something important than you know about sumaye and Ben.Trust me,which i cant even dare say right here at this time unless otherwise when i decide.
 
My foot,Lunyungu i know something important than you know about sumaye and Ben.Trust me,which i cant even dare say right here at this time unless otherwise when i decide.

Sawa Gembe nakubaliana nawe mkuu .Ukiwa tayari sema ama nieleze kwa PM niwe kwenye page moja na wewe .At least nimesha ninacho kijua .
 
Back
Top Bottom