SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,432
- 23,753
- Thread starter
- #121
Yap. Ndipo nilipomalizia.Sorry,out of topic.umewahi kusoma saut mkuu..
☆Steve
Yap. Ndipo nilipomalizia.Sorry,out of topic.umewahi kusoma saut mkuu..
Sio simu tu hasa sisi mwenye hizi za butorn tunateseka zaidi.Kuquote uzi mzima kwa neno moja, unawatesa wanaotumia simu. Tuwe wastaarabu mzee.
☆Steve
Kwakweli asee. Unataman hata umpige mtu ngumi kwa huu ufala!Sio simu tu hasa sisi mwenye hizi za butorn tunateseka zaidi.
Nini kinachokutesaKuquote uzi mzima kwa neno moja, unawatesa wanaotumia simu. Tuwe wastaarabu mzee.
☆Steve
Alafu anauliza anatutesaje?Sio simu tu hasa sisi mwenye hizi za butorn tunateseka zaidi.
Kweli kabisa mkuu. U nailed it!Mkuu SteveMollel watu wanaulizia wanajua inaendelea
Hapo ndiyo tujue kwamba duniani si kila jambo huwa linaishia vizuri kama movies zituaminishavyo. Si kila adui huishia kuuawa ama kukamatwa. Si kila mwenye nia njema hufanikiwa
- Amini nakwambia
Tokea 1935?wenzetu huwa hawakai na kitu kifuani. ipo siku itafahamika.
Tokea 1935?
☆Steve
Ila haki itakuwa haijatendeka tu. Hilo limeshapita na halina mbadala. Obviously, kwa swala la umri, wahusika hawa wote watakuwa marehemu sasa ama wazee kupitiliza.ndiyo. ipo siku mtu atafunguka na familia ya 'Owen' watapata haki yao.
naamini kuna mtu japo alikuwa mdogo sana miaka hiyo 1930s, anajuwa kuhusu what happened. huyo au kizazi chake ipo siku atafunguka. kama ipo ipo tu.Ila haki itakuwa haijatendeka tu. Hilo limeshapita na halina mbadala. Obviously, kwa swala la umri, wahusika hawa wote watakuwa marehemu sasa ama wazee kupitiliza.
Justice delayed is justice denied.
☆Steve
Si kila jambo laishia hivyo mkuu.naamini kuna mtu japo alikuwa mdogo sana miaka hiyo 1930s, anajuwa kuhusu what happened. huyo au kizazi chake ipo siku atafunguka. kama ipo ipo tu.
Ooh,ushaua..safi kjna..Yap. Ndipo nilipomalizia.
☆Steve
Hahaha asante mkuu. Salamu zimefika kabisa japo nina vitumaswali kifuani.Ooh,ushaua..safi kjna..
Story zako bigup n respect kwa uandishi unaeleweka mubashara..
Msalmi3 na vai...
Mkuu Mussolin its jus a matter of time. FBI wameshindwa kesi nyingi tu, nikipata wasaa nitakuwa nazishusha hapa moja baada ya moja, kama vile mlivyoliona swala la Cooper kwa The bold namna hawa watu pia walivyoachwa vibaya mno kiakili.Mkasa mzuri, FBI wameshindwaje?
Ah ah vimezee tu mkuu..Hahaha asante mkuu. Salamu zimefika kabisa japo nina vitumaswali kifuani.
☆Steve
Hahhaha haya bana. Usijali, Amigo. Tupo pamoja.Ah ah vimezee tu mkuu..
Inaitwa kachumbar style, inanogesha mada ya kesi kdgoo