Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Sheer propaganda. Avoid being on heat all the time, it is dangerous and you might not become pregnant. This may lead you too to do away with an entire generation.
Wewe dada unapenda sana kumtetea huyu sijui mna mahusiano gani.
 
Tumjadili James Mbatia.binafsi mimi namuona anafaa kubeba bendera ya Ukawa kwa sasa.

Njia za kumpata Mgombea Urais kwa UKAWA zinaendeshwa kimya kimya kwa sasa haziko wazi ndivyo walivyooona inapendeza kwao.

Lakini mambo ndani ya CCM hata kama viongozi waandamizi wa CHAMA CHA MAPINDUZI wanajaribu kuzima moto wa MAKADA wao,ukweli umethihiri mwendo kasi wa kuwania Urais ndani ya chama hiki kikongwe Nchini na Afrika kwa ujumla UMENOGA.

Kuongeza MBATIA kwenye kinyang'anyiro hiki cha ndani ya chama ni kutoka NJE YA MADA ILIOPO.

Ila ijulikane ndani ya upande (A) CCM aliyewazidi mbinu na hata kuonekana kukubalika ndani na nje ya chama mpaka kesho ANABAKIA KUWA MH.EDWARD NGOYAI LOWASSA.
 
Wakati vuguvugu la kuwasafirisha,kuwaandalia matamko ya kumsifu na kuwalipa baadhi ya makundi mbalimbali ya kijamii likijadiliwa ndani ya chama kwa hatua za kinidhamu,hali ya marafiki wa EL imekuja na mbinu mpya za kutafuta ushawishi wa nguvu ya pesa ndani ya chama.

Wajumbe wa NEC kutoka mikoa yote ya kanda ya Ziwa wamemiminika Dsm,kwa udhamini na ufadhili wa EL ili kutafuta uungwaji mkono kuelekea Octoba.Wajumbe hao wa NEC walianza kuwasili Dsm toka juzi usiku,wakipokewa na kuwekwa ktk hotel tofautitofauti ndani ya jiji..huku gharama za malazi,chakula,nauli na posho zikiwa chini ya EL.

Wajumbe hao kutoka ktk mikoa ya Mwanza,Geita,Simiyu,Shinyanga,Musoma na Kagera ujio wao umechagizwa na posho ya milioni tano kwa kila mtu,Na kikao kinaendelea naTeam EL ili kutafuta ushawishi kwa wajumbe wa kanda ya ziwa.

Hali hii ya kuanza kuwasafirisha wajumbe kimyakimya na kwa makundi inakuja baada ya ile mbinu ya kuwatafuta watu wa makundi mbalimbali ndani ya nchi kuzuiwa na chama.Lafu hii ya kukiuka kanuni za chama kwa kuwasafirisha na kuwalipa kiasi kikubwa cha pesa wajumbe ni aina mpya ya mbinu ya Team EL baada ya ile ya kwanza kushitukiwa.

Kuelekea uchaguzi Mkuu,EL ameonekana kutumia kiasi kikubwa sana cha pesa ktk kulazimisha ushindi wa kuteuliwa na chama chake kuipeperusha bendera katikati ya vyama vingine vya upinzani hususani UKAWA.

Matumizi haya ya kiasi kikubwa cha pesa si tu ni tishio ndani ya chama chake na kwa mustakabali wa demokrasia safi,bali ni utamaduni unaotaka kupandikizwa ktk siasa za nchi hii kuwapata viongozi nje ya misingi ya uadilifu,nidhamu na uzalendo wa kweli.

Chanzo cha Taarifa hii ni mmoja kati ya wajumbe wa NEC walio ndani ya kikao hicho kinachoendelea sasa Kati ya Team EL,wapambe wake na wajumbe hao
Ora Et Labora
 
Huyu Fisadi anamwaga noti bila kuchoka, Nchi hii Rushwa tupu.
 
Tangu mwanzo wa sentensi hadi mwaisho, inaonyesha mwandishi ni muongo na hii hi habari ya kupikwa. Hakika mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa huyu EL ndo rais mwenya matunda tamu kwa ajili ya taiafa hili. Huyu ndio pekee, ambae jina lake linawatisha wasioitakia maendeleo tanzania ndani ya ccm and ne yake.
 
Sasa hapo si ndiyo maandalizi ya kufisadi zaidi akiingia Ikulu ili kufidia pesa alizopoteza kwa kugawa takirima? Say no to Fisadi.
 
Wakati vuguvugu la kuwasafirisha,kuwaandalia matamko ya kumsifu na kuwalipa baadhi ya makundi mbalimbali ya kijamii likijadiliwa ndani ya chama kwa hatua za kinidhamu,hali ya marafiki wa EL imekuja na mbinu mpya za kutafuta ushawishi wa nguvu ya pesa ndani ya chama.


Wajumbe wa NEC kutoka mikoa yote ya kanda ya Ziwa wamemiminika Dsm,kwa udhamini na ufadhili wa EL ili kutafuta uungwaji mkono kuelekea Octoba.Wajumbe hao wa NEC walianza kuwasili Dsm toka juzi usiku,wakipokewa na kuwekwa ktk hotel tofautitofauti ndani ya jiji..huku gharama za malazi,chakula,nauli na posho zikiwa chini ya EL.
Wajumbe hao kutoka ktk mikoa ya Mwanza,Geita,Simiyu,Shinyanga,Musoma na Kagera ujio wao umechagizwa na posho ya milioni tano kwa kila mtu,Na kikao kinaendelea na EL ili kutafuta ushawishi kwa wajumbe wa kanda ya ziwa.

Hali hii ya kuanza kuwasafirisha wajumbe kimyakimya na kwa makundi inakuja baada ya ile mbinu ya kuwatafuta watu wa makundi mbalimbali ndani ya nchi kuzuiwa na chama.Lafu hii ya kukiuka kanuni za chama kwa kuwasafirisha na kuwalipa kiasi kikubwa cha pesa wajumbe ni aina mpya ya mbinu ya Team EL baada ya ile ya kwanza kushitukiwa.
Kuelekea uchaguzi Mkuu,EL ameonekana kutumia kiasi kikubwa sana cha pesa ktk kulazimisha ushindi wa kuteuliwa na chama chake kuipeperusha bendera katikati ya vyama vingine vya upinzani hususani UKAWA.
Matumizi haya ya kiasi kikubwa cha pesa si tu ni tishio ndani ya chama chake na kwa mustakabali wa demokrasia safi,bali ni utamaduni unaotaka kupandikizwa ktk siasa za nchi hii kuwapata viongozi nje ya misingi ya uadilifu,nidhamu na uzalendo wa kweli.
Chanzo cha Taarifa hii ni mmoja kati ya wajumbe wa NEC walio ndani ya kikao hicho kinachoendelea sasa Kati ya EL,wapambe wake na wajumbe hao
Ora Et Labora

Chipoteka uwe muwazi uache unafiki.kwa sababu kama unakumbuka mwaka 2005 jk alifanyaje kipindi anausaka urais? Na pia suala la namna hiyo ni kawaida kwa ccm na hiyo wao huiita takrima
 
Tangu mwanzo wa sentensi hadi mwaisho, inaonyesha mwandishi ni muongo na hii hi habari ya kupikwa. Hakika mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa huyu EL ndo rais mwenya matunda tamu kwa ajili ya taiafa hili. Huyu ndio pekee, ambae jina lake linawatisha wasioitakia maendeleo tanzania ndani ya ccm and ne yake.
Wenzako wamesimamisha kikao kwa muda kutafuta mvujishaji taarifa halafu we unasema uzushi....Tulia,njia zenu mwaka huu zitajulikana tu
 
Tabia ya Rushwa Tanzania inakomazwa na CCM kwa 100%.
Kuna kuna mwanachama wenu anahusishwa na matendo ya Rushwa kwanini msichukulie hatua.
Yaani anagawa Milioni Tano na bado mnashangilia.
Mtapata shida nchi hii kama hawa ndio waongoza Nchi.
Ipo siku kuna Mapinduzi yatafanyika Rushwa imekithiri hasa kwenye siasa.
 
Ulitakaamwage uppupu mpwaaa??kajipangaq nanyie jipangeni. Bilalowasaa nchi aitawaliki 2015
Siwapendi watu wa namna yako, maana mnanufaika na Rushwa wakati wengi wanaumia.
Tunawasubilia Majukwaani tuwaponde mawe. Lowasa na wenzake wamekithiri kwa Rushwa.
 
Kama hii habari ni ya kweli basi kuna watu wana raha jamani?Milioni 5 kwa siku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom