Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Baada ya CCM kucheka na nyani muda mrefu bila kumchukulia hatua yoyote wanakoelekea sasa ni kuvuna mabua.
 
Namkataa Lowasa na kazi zake zote, anasa za Richmond na Tamaa ya Urais
 
Namkataa Lowasa na kazi zake zote, anasa za Richmond na Tamaa ya Urais
Akihubiri siku ya Pasaka katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililopo Mwenge, katika Jiji la Dar-Es-Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe alisema kwamba, inajulikana wazi kwamba Lowassa amekuwa anautaka Urais kwa udi na uvumba kwa miaka mingi, hata mwaka 1995 alijitosa hadharani kuuwania lakini Nyerere akasema Lowasa ni Mwizi, akatolewa , sasa anapodai kwamba hivi sasa kuna makundi yanayokwenda kwake kumshawishi agombee Urais, kana kwamba yeye hataki Urais, anakuwa anamdanganya nani?
 
KING KOBRA :-MKUU unashida gani mbona umechanganya sana mambo. LITUMIE NENO LA MUNGU KWA HALALI.
 
Haya tumekusikia umetushawishi, nenda kachukue posho yako kwa Bashe.

Hunijui nami sikujui mbona wanitusi wakati Hata huyo Bashe sijawahi onana naye uso kwa uso.

Acha matusi ya rejareja, kama Lowassa anakubalika wivu wa nini?

Jitahidi nanyi kujipanga na mtu wenu ili mfanye vizuri kama Team Lowassa.
 
Wasipokubali apenye atapenyezwa alafu watashangaa huyoo upande wa pili wa mto. watabaki midomo wazi. CCM hawana mwingine zaidi yake na upinzani kama upo nao mashaka tupu. Na huo ukawa subiri, watakavyo paraganyika skadiri sikuzinavyokaribia
 
Hahahaaaaaa eti mvi labda! Mie nilijua mzuri kwakuwa amaamuzi magumu
 
Viva la Edwardos ngoiyahi lowassai la nextaa Tanzanie presidaa mayo Godaa blesso yaaa plus la team lowassai
 
Ole wao CCM wakate jina la Lowassa ... maana hata yeye mwenye anakiri kuwa hawezi kuzuia mafuriko kwa mkono ...

ccm wanaogopa kumfukuza lowasa au mwizi yeyote kwa ccm ni ngumu mana 99.9%ni mafisadi
 
Mm nashangaa sana unapo sema lowassa anamaamuzi magumu wakati sijawahi kumuona hata siku moja bungeni akitetea hoja kwa nguvu zake zote ili tuone kweli anamapenzi na hii nchi alikua anaenda bungeni kama ameenda bar kunywa pombe
 
Hivi mbona Lowassa hazungumzii jinsi atakavyopambana na ufisadi? Masuala ya ufisadi naona anayapotezea kabisa!
 
Akihubiri siku ya Pasaka katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililopo Mwenge, katika Jiji la Dar-Es-Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe alisema kwamba, inajulikana wazi kwamba Lowassa amekuwa anautaka Urais kwa udi na uvumba kwa miaka mingi, hata mwaka 1995 alijitosa hadharani kuuwania lakini Nyerere akasema Lowasa ni Mwizi, akatolewa , sasa anapodai kwamba hivi sasa kuna makundi yanayokwenda kwake kumshawishi agombee Urais, kana kwamba yeye hataki Urais, anakuwa anamdanganya nani?

Usijifiche nyuma ya mgogo wa ASKOFU KAKOBE hio haitakusaidia chochote,Jitahidi kuja wewe mwenyewe labda ndio utseleweka.

Unakumbuka 1995?
BISHOP KAKOBE ALITABIRI MREMA ATAKUWA RAIS WA NCHI YETU TANZANIA?

Unamwona Mrema wa leo alivyochoka mbaya?

Sio kila analolisema MTUMISHI WA MUNGU WA MUNGU,basi ndio kimetoka kwa BWANA GOD moja kwa moja kuna wakati mwingine ni UTASHI WAKE NA WENGINE NI MASLAHI YAO TU ndio yanawafanya waongee hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom