Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Samahani wadau, niko nje ya mada!

Hivi ni kweli Mwigulu Nchemba ana mradi wa kuhakikisha Mabango yote barabarani nchi nzima yana andikwa yeye? Liwe bango la Twiga Cement, Coca Cola, nk hasa vituo vya dala dala!
Hii nchi kweli imefikia kubaya kiasi hiki? Mtu mmoja tu anatuchafulia vituo vya kusubiria magari!!

Make kila mkoa : Chagua Mwigulu Nchemba; Sokoine wa Pili, nk.
Afu mwandiko unashabiana kila mahala! Ina maana kuna mtu tiyari kapewa hii Zabuni? Ni mkoa baada ya Mkoa?

Hii kitu hata mm nimeiona aisee!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmh Mimi najua huyu jamaa ni mzuri ila hawa jamaa watakubali apenye?

WAKAUBALI MARA NGAPI?
Mfumo anaoutumia na nguvu alizonazo ndani na nje ya CHAMA CHA MAPINDUZI unawalazimisha Chikwete na wenzake kusema YES kwa HON.EDWARD NGOYAI LOWASSA.
WAPENDE WASIPENDE EDDO NDIO MPEPERUSHA BENDERA YA CCM ZAIDI YA HAPO INAKULA KWAO.
 
Lowassa auze zile nyumba alizomnunulia fredi kule London kwanza halafu ndio achukue fomu ya kugombea urais.
 
WAKAUBALI MARA NGAPI?
Mfumo anaoutumia na nguvu alizonazo ndani na nje ya CHAMA CHA MAPINDUZI unawalazimisha Chikwete na wenzake kusema YES kwa HON.EDWARD NGOYAI LOWASSA.
WAPENDE WASIPENDE EDDO NDIO MPEPERUSHA BENDERA YA CCM ZAIDI YA HAPO INAKULA KWAO.
FaizaFoxy alikuwa anasema Chadema haiwezi kumfukuza Zitto, na ikithjubutu haitabaki salama.unaonaje kuhusu hili?. je na CDM nao itakula kwao?
Manake wamemtimua ZZK ambaye inadaiwa yupo na Lowassa
 
Last edited by a moderator:
Nipo tofauti na wewe kabisa watu wanaomzuia lowaza asichukue nchi ni mafisadi wenye network kubwa sana katika hii nchi ya kufuja hela za watanzania.
Na hili linakuja ninahamini watatumia hadi mataifa ya nje yenye maslai na utoroshaji wa mali ya watanzania kumzuia lowasa asigombee urahisi

Ninahamini utasikia anaibuka kiongozi mmoja ndani ya CCM na kumzushia kuwa si mtanzania
Hadi uchaguzi yutasikia mengi sanaaa

Hela ya Mzee itakutesa sana, ukwei waujua mwizi au fisadi hawezi kuingia ikulu kama rais labda kama anaena yuko chini ya ulinzi
 
FaizaFoxy alikuwa anasema Chadema haiwezi kumfukuza Zitto, na ikithjubutu haitabaki salama.unaonaje kuhusu hili?. je na CDM nao itakula kwao?
Manake wamemtimua ZZK ambaye inadaiwa yupo na Lowassa

Huyu iwe declared kuwa anatumia makalio yake kufikiria, alisema rais hawwezi kumfukuzwa tibaijuika kwa kupewa hela tu, mara muhongo hatoki, mara AG hawezi kuachia kwa Escrow, mara ZZK hawezi kufukuzwa CDM yote yakawa uongo, ni aibu kuwa naye ni mtanzania japo kichwa cha panzi kabisaaaaa
 
Huyu iwe declared kuwa anatumia makalio yake kufikiria, alisema rais hawwezi kumfukuzwa tibaijuika kwa kupewa hela tu, mara muhongo hatoki, mara AG hawezi kuachia kwa Escrow, mara ZZK hawezi kufukuzwa CDM yote yakawa uongo, ni aibu kuwa naye ni mtanzania japo kichwa cha panzi kabisaaaaa

Ha ha ha...huwa si mkweli kabisa huyu..
 
Lowassa auze zile nyumba alizomnunulia fredi kule London kwanza halafu ndio achukue fomu ya kugombea urais.

Sheer propaganda. Avoid being on heat all the time, it is dangerous and you might not become pregnant. This may lead you too to do away with an entire generation.
 
FaizaFoxy alikuwa anasema Chadema haiwezi kumfukuza Zitto, na ikithjubutu haitabaki salama.unaonaje kuhusu hili?. je na CDM nao itakula kwao?
Manake wamemtimua ZZK ambaye inadaiwa yupo na Lowassa

Hayo ni makando kando mengine tu,Siwezi kumsemea Zito maana hata UMRI wake haumruhusu awe Mgombea URAIS kwa sasa.
Kuwalinganisha akina Zito, Muhongo na LOWASSA ni sawa na kufanya ulinganifu wa VICHUGUU NA MLIMA KILIMANJARO.

EDDO kaanza maandalizi ya kuingia IKULU siku mingi,NA HAYA NDIO MAJIRA YAKE HASA YAKUINGIA MAGOGONI.

Kama bado huamini subiri utashuhudia LIVE BILA CHENGA,LAIGWANAN LOWASSA AKIAPISHWA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom