Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Kuna watu wanamuogopa sana Lowassa...ole wenu atakapo kabidhiwa nchi hapo October ...
 
Naungana na watetezi wa Edward Ngoyayi Lowassa....ninyi mnaomchafua ni sawa na wale Makuhani ambao Yesu aliwajibu tu kwa kuwauliza, ni nani aliyemsafi kati yenu basi awe kwa kumtupia jiwe huyu Mwanamke! Msijivike uhayani....hamuoni kwa uchafu wa kampeni zenu dhidi yake CCM ikisinyaaa?
 
Tangu mwanzo wa sentensi hadi mwaisho, inaonyesha mwandishi ni muongo na hii hi habari ya kupikwa. Hakika mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Hii ni dalili ya wazi kabisa kuwa huyu EL ndo rais mwenya matunda tamu kwa ajili ya taiafa hili. Huyu ndio pekee, ambae jina lake linawatisha wasioitakia maendeleo tanzania ndani ya ccm and ne yake.

Na wewe umepiga hizo m5???. Maana unatetea bila aibu. Hivi huyo fisadi amesharudi kupima damu huko ujerumani??
 
hii habari haina ukweli wowote habari hii imeletwa baada ya watu wa membe siri zao kuvuja kuwa walikua wanawasubili wajumbe kutoka kanda ya ziwa wafanye kikao nazani kuna uzi ulianzishwa humu sasa watu wa membe ndio wanajibu mapigo kuwachafua watu wa lowasa.lowasa hana pesa za kugawa hovyo hivi angeishafilisika
 
hii habari haina ukweli wowote habari hii imeletwa baada ya watu wa membe siri zao kuvuja kuwa walikua wanawasubili wajumbe kutoka kanda ya ziwa wafanye kikao nazani kuna uzi ulianzishwa humu sasa watu wa membe ndio wanajibu mapigo kuwachafua watu wa lowasa.lowasa hana pesa za kugawa hovyo hivi angeishafilisika
Daah! Hii hatari sana
 
Daah! Hii hatari sana

ndio hivyo mkuu mzee anapigwa vita sana ila watu anaopambana nao ni wepesi sana kuna vitu nna vijua siwezi kuviandika hapa ila lowasa ndio next president mkuu
 
cha mlevi huliwa na mgema, kuleni wala hamkumuomba ila msimchague kwa kuwa hafai anatoa mlungula ili iweje
 
Mmmh, hivi vita gani inapigwana bila kuandaliwa. We unataka Team El ikae tuu iwatazame nyinyi mnaojifanya wasafi mwendeleze harakati zao chafu za kuwachafua wengine ili walitewe Urais kwenye sahani,,,...mtasubiri sana. EL kaza buti safari ya matumaini imekaribia mwisho...Viva EL
 
holla....Lowasa.....wanunue hadi wale mavuvuzella watakaokupiga vichwa majukwaani.
 
Lowasa mnunue na Nape na Kinana na Membe na Pinda
 
on the way lowasa dalili za kuwa rais hizo mtapiga majungu ila kwa sasa hali n tete kwa siku usiposikia jina la lowasa n shidaa haaahahahahaaa mwaka huu hamlali kwa hali hii lowasa piga kazi usiangalie ya watu mwaka mnao huuu n majanga tuuu mwanzo mwisho huuu hakuna kulala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom