Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Wakati mwingine tukubali ukweli kuwa Lowassa anakubalika sana !
sorry sir..
huyu mtu unaesema anakubalika naomba uniambie ANAKUBALIKA WAPI NA WANAOMKUBALI NI AKINA NANI???
nikupe angalizo tuu, kama mnajidanganya kuwa ccm haiwezi kufanya maamuzi magumu, basi jiweke tayari kushuhudia huyu kiumbe wenu akipigwa chini na bado atakosa ubavu wa hata kulalamika au wazo la kuhama chama. kinachofanyika hadi sasa ni kujenga mazingira ya kumfanya azidi kufanya makosa ya wazi na dhahiri ila wakija kumchinja iwe ni rahisi tu kwa kumkabidhi kisu yeye mwenyewe ili ajichinje
 
Lowasa n bonge la mtendaji Wa kazi na nchi ikiwa chini yake tutaendelea kirahisi sana
 
sorry sir..
huyu mtu unaesema anakubalika naomba uniambie ANAKUBALIKA WAPI NA WANAOMKUBALI NI AKINA NANI???
nikupe angalizo tuu, kama mnajidanganya kuwa ccm haiwezi kufanya maamuzi magumu, basi jiweke tayari kushuhudia huyu kiumbe wenu akipigwa chini na bado atakosa ubavu wa hata kulalamika au wazo la kuhama chama. kinachofanyika hadi sasa ni kujenga mazingira ya kumfanya azidi kufanya makosa ya wazi na dhahiri ila wakija kumchinja iwe ni rahisi tu kwa kumkabidhi kisu yeye mwenyewe ili ajichinje


Tuambie kosa alilolifanya kwenye chama zaidi ya mbinu za kijasusi zonazofanywa na watawala waliojipanga kuendelea kukaa na kubebana wakiwa kwenye madaraka.

Subiri kipenga kipulizwe utaona kila mahali atakapopita Lowasa kupata wazamini atakavyokaribishwa.

Lowasa mpaka sasa ana zaidi ya wadhamini milioni nane nchi nzima. Hakuna mtu mwenye hata robo ya hao wadhamini wa mh. Lowasa mtumishi wa Mungu na Wakili wa mali mwenye hekima .
 
Yaani lowasa akiwa rais wa tz naenda tarime nkalime viazi,mnacheza na taifa letu nyie
 
Mambo ya kiroho hayana mashiko kwenye maswala kama haya.
 
Mambo ya kiroho hayana mashiko kwenye maswala kama haya.



Kwani wanaapa kwa nani ?
Na wanasema nani awasaidie?
Kwa nini wasitumie vitabu vya commerce kuapa?
Falme zote zenye kiburi mbele za Mwenyezi Mungu zilianguka na hata CCM itaanguka kama itaendelea kupuuza watu wanaotoa sadaka kwenye makanisa na misikiti na kuiita sadaka zinazotolewa kwa kazi ya Mungu kuwa ni Rushwa.

Muambie Mungu akupe macho uone uhusiano kati ya utawala na Mungu.
 

Amin amin nawaambie enyi masadukayo na mafarisayo, hukumu yenu ni kali kuliko maana mmekuwa mkisema mema midomoni mwenu na kutenda dhambi kuu mikononi mwenu, mmewatenga wajane na masikini wa tanzania,mmewatoza kodi isiyo halali, kwani mmekuwa mkila na kunywa msivyo panda, naaam, hakika kilio chao hao muwanyanyasao kimefika katika kiti cha enzi cha muumba wao, naye ghahabu ya uso wake iikaribu kuwawakia walio litukana jina lake MUNGU kwa kuwakebehi na kuwadhalilisha walio upande wake MUNGU, tazama, mkono wake utakupiga na kukuvua nguo mbele yao ulio watesa! hutakufa ili upate muda wakuabika miaka ishirini na mitano juu ya nchi ya tanzania na kokote utakapo kwenda katika uso wa dunia hii! Ole wako ewe uliyejichukulia mamlaka ya kiudhalimu, hakika uzao wako hautasalimika na mkono wa MUNGU,Adhabu yako haitajificha ili wanadamu wapate kulitukuza jina la MUNGU.
 
Yaani lowasa akiwa rais wa tz naenda tarime nkalime viazi,mnacheza na taifa letu nyie

Unachelewa bure kaka wahi tuu Tarime maana kwa maandalizi na kibalivalichonacho LOWASSA kwa WATANZANIA wengi mie naona tayari imekwisha kuwa LOWASSA NI RAIS WA JMT.
So wee chapa lapa tu.
 
Mambo ya kiroho hayana mashiko kwenye maswala kama haya.

Tatizo kubwa ni uelewa mdogo juu ya MUNGU NA BIBLIA,Mara mingine hata hao waisomao shida kubwa ni kuitafasiri na kulitumia lile NENO kwa HALALI.
Ukisoma kitabu cha DANIEL choote utagundua baadhi ya WATUMISHI WA MUNGU walishika nyadhifa za juu katika Taifa husika.

Mfano:-DANIEL,SHADRACK,MESHAKI NA ABEDNEGO -WAKUU WA WILAYA KATIKA NCHI YA KIGENI.
 
Samahani wadau, niko nje ya mada!

Hivi ni kweli Mwigulu Nchemba ana mradi wa kuhakikisha Mabango yote barabarani nchi nzima yana andikwa yeye? Liwe bango la Twiga Cement, Coca Cola, nk hasa vituo vya dala dala!
Hii nchi kweli imefikia kubaya kiasi hiki? Mtu mmoja tu anatuchafulia vituo vya kusubiria magari!!

Make kila mkoa : Chagua Mwigulu Nchemba; Sokoine wa Pili, nk.
Afu mwandiko unashabiana kila mahala! Ina maana kuna mtu tiyari kapewa hii Zabuni? Ni mkoa baada ya Mkoa?
 
Last edited by a moderator:
Mkakati Lowassa unasomba mpaka na huyo Mwingulu Nchemba anaingia TEAM LOWASSA.
 
Samahani wadau, niko nje ya mada!

Hivi ni kweli Mwigulu Nchemba ana mradi wa kuhakikisha Mabango yote barabarani nchi nzima yana andikwa yeye? Liwe bango la Twiga Cement, Coca Cola, nk hasa vituo vya dala dala!
Hii nchi kweli imefikia kubaya kiasi hiki? Mtu mmoja tu anatuchafulia vituo vya kusubiria magari!!

Make kila mkoa : Chagua Mwigulu Nchemba; Sokoine wa Pili, nk.
Afu mwandiko unashabiana kila mahala! Ina maana kuna mtu tiyari kapewa hii Zabuni? Ni mkoa baada ya Mkoa?

Mkakati wa Team Lowassa unasomba mpaka na huyo MWIGULU NCHEMBA,Achana na hayo mabango watu wanajua wanachokifanya hata WAZIRI MKUU AJAYE ANAJULIKANA NDANI YA TEAM LOWASSA.
 
Last edited by a moderator:
Mkakati wa Team Lowassa unasomba mpaka na huyo MWIGULU NCHEMBA,Achana na hayo mabango watu wanajua wanachokifanya hata WAZIRI MKUU AJAYE ANAJULIKANA NDANI YA TEAM LOWASSA.

Kumbe!! "Eti kuna siku nitakuja kuwa kiongozi mkubwa hapa nchini na kuwatumikia Tanzania wote"- (ZZK, 2015)
 
Hahahahahha...nimecheka sana hiyo section kuwa jamaa yupo tayari kuweka watu wa upinzani provided ni wachapakazi...bwahahaha anategemea kupata kura za wapinzani?
 
Sifa za Mafisadi huwa wanaonekana unstoppable mpaka siku ya uteuzi, maana wanatumia pesa na binadamu wa hulka ya kula pesa na kuona aibu kumwambia kwa macho na mdomo kuwa hatutakupa kura, subiri uone matokeo EL atadondoka. Simple understanding kama unawapa watu fedha lazima kwanza wapokee harafu wakusifie, hapo ni kwa manufaa yao sio yako

Nipo tofauti na wewe kabisa watu wanaomzuia lowaza asichukue nchi ni mafisadi wenye network kubwa sana katika hii nchi ya kufuja hela za watanzania.
Na hili linakuja ninahamini watatumia hadi mataifa ya nje yenye maslai na utoroshaji wa mali ya watanzania kumzuia lowasa asigombee urahisi

Ninahamini utasikia anaibuka kiongozi mmoja ndani ya CCM na kumzushia kuwa si mtanzania
Hadi uchaguzi yutasikia mengi sanaaa
 
Kumbe Zitto ni MTU makini tu, ila ni yeye mwenyewe ndiye aliamua kukubali mwenyewe kuwa CCM wamtumie ili wampe Upiemu ..

Cc
FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Vipi ule mpango wa watu elfu kumi kwenda monduli kumshawishi umefikia wapi?

Ni nani ambaye yupo ndani ya CCM ambaye anachembe ya ufisadi na mwadilifu ambaye anaweza kuiongoza hii nchi angalau tuu kwa miaka mitano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom