Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Hata kimtazamo tu wewe unaonekana hujashiba ndio maana unafikiri kila anayemsema vizuri LOWASSA ANAYO NJAA.POLE SAANA.

Watanzania hatuna direction aisee, miaka ile lowasa anajiuzuru kila mtu alimtukana hata kama hajui nini kimetokea ila lowasa aliitwa fisadi na almost 99% ya watanzania, leo hii watanzania hao hao waliomuita lowasa fisadi ndo wako msitari wa mbele kumtangaza aingie ikulu, hii inaashiria njaa hata km nitakukwaza samahani ila njaa inasumbua watu sana.
 
Watanzania hatuna direction aisee, miaka ile lowasa anajiuzuru kila mtu alimtukana hata kama hajui nini kimetokea ila lowasa aliitwa fisadi na almost 99% ya watanzania, leo hii watanzania hao hao waliomuita lowasa fisadi ndo wako msitari wa mbele kumtangaza aingie ikulu, hii inaashiria njaa hata km nitakukwaza samahani ila njaa inasumbua watu sana.

Wenye uelewa mfinyu juu ya sakata la RICHMOND ndio hao walijiunga na kundi la wachache ili kumtukana na kujitahidi kumchafua ENL.

Huko mie simo siishi kwa kutegemea CHADEMA (UKAWA) ama Nape,Bashe (CCM) bila ya hao bado nina uhakika wa mkono wangu kwenda kinywani.

Nilichokieleza humu ni MKAKATI WA TEAM LOWASSA wapi hujaelewa au wewe ni watu wa MEMBE nini!!
Mbona umechafukwa na roho bure.
 
Acha ukenge....did u know exactly the details of richmond...!!? Who is the main guy behind it...!!?
Shut-up if u don't know...!!! Lowassa atakuwa Rais, easily....and CCM will pick him soon, to run for our Oval Office, be keen on issues, stop hear say...!!!





Watanzania hatuna direction aisee, miaka ile lowasa anajiuzuru kila mtu alimtukana hata kama hajui nini kimetokea ila lowasa aliitwa fisadi na almost 99% ya watanzania, leo hii watanzania hao hao waliomuita lowasa fisadi ndo wako msitari wa mbele kumtangaza aingie ikulu, hii inaashiria njaa hata km nitakukwaza samahani ila njaa inasumbua watu sana.
 
  1. Nawaonea Imani watu ambao bado akili zenu zinaendelea kuwatuma kwamba fisadi LOWASA atakuwa rais maana Siku ikifika mtakufa kwa presha.
 
Siku zote ktk maisha maamuzi yoyote yanayofanyika kwa kuchochewa na mahaba, ni majuto baadae. Be careful guys.
 
  1. Nawaonea Imani watu ambao bado akili zenu zinaendelea kuwatuma kwamba fisadi LOWASA atakuwa rais maana Siku ikifika mtakufa kwa presha.

Nchi ilikofikia sasa Hatuhitaji RAIS wa kuandaliwa na familia ya Mkuu wa kaya anayemaliza muda wake.
Rais wa kuongoza Taifa kwa maelekezo ya nyumba ya pili (mtindo wa remote control) hafai hata kidogo.
 
Siku zote ktk maisha maamuzi yoyote yanayofanyika kwa kuchochewa na mahaba, ni majuto baadae. Be careful guys.

Moja ya jambo linaiangusha CCM ni kukataa chaguo la WANANCHI.

Kibali alichonacho LOWASSA kwa WANACCM na WATANZANIA wengi ni UTHIBITISHO TOSHA KUWA yeye ni CHAGUO SAHIHI KWA TAIFA.
 
Wenye uelewa mfinyu juu ya sakata la RICHMOND ndio hao walijiunga na kundi la wachache ili kumtukana na kujitahidi kumchafua ENL.

Huko mie simo siishi kwa kutegemea CHADEMA (UKAWA) ama Nape,Bashe (CCM) bila ya hao bado nina uhakika wa mkono wangu kwenda kinywani.

Nilichokieleza humu ni MKAKATI WA TEAM LOWASSA wapi hujaelewa au wewe ni watu wa MEMBE nini!!
Mbona umechafukwa na roho bure.

Cha kwanza mimi sina chama, wala siishi kwa siasa za kimasikini za hapa Tanzania, watu wanafanya siasa kwa njaa, mwisho wa siku siasa zinakua za kinafiki na visasi.
Hakuna siku ntajiunga na siasa wala kumshabikia mtu maana hamna mpya zaidi ya kusema uongo.
 
Cha kwanza mimi sina chama, wala siishi kwa siasa za kimasikini za hapa Tanzania, watu wanafanya siasa kwa njaa, mwisho wa siku siasa zinakua za kinafiki na visasi.
Hakuna siku ntajiunga na siasa wala kumshabikia mtu maana hamna mpya zaidi ya kusema uongo.

kutokuwa na chama HAKUONDOI utashi wa mtu kupenda ama kukataa chama au mtu fulani ndani ya awaye yote.

Uongo sio furushi langu wewe unayeogopa kabla ndio huenda uongo unakutesa na kukulemea.
 
kutokuwa na chama HAKUONDOI utashi wa mtu kupenda ama kukataa chama au mtu fulani ndani ya awaye yote.

Uongo sio furushi langu wewe unayeogopa kabla ndio huenda uongo unakutesa na kukulemea.

Njaa zinakusumbua mkuu nimekwambia tangu mwanzo, hakuna siku utaona nampigia mtu kampeni hapa jf, wala hakuna siku utaona namuunga mkono mwanasiasa maana wote waongo na wezi tu.

Watu mnakosa kufanya kazi za uzalishaji mali mnakaa kila siku lowasa sijui Membe, Ngeleja sijui Makamba, Slaa, Zitto yaan ni upuuzi tu.
 
lowasa ni mwizi na hawezi ongoza nchi hii kwa sababu keshawahi kuwa waziri katika wizara NNE tofauti hakuna jipya wala improvement au mabadiliko yeyote aliyoyaleta zaidi ya kuprove failure ........Watanzania amkeni na muwe makini na nchi yenu .......lowasa hafai kuwa Rais kama kupendwa na watu hata Diamond anapendwa lakini hawezi kuwa Rais jiulizeni hizo pesa anazotumia kurubuni watu atazirudishaje.......kwa mbali namfikiria Mwandosya na siyo hao wanaotaka kufanya taasisi ya Rais bongo record
 
Lowasa atakatwa tu na mbele ya sheria ya makosa ya mtandao hatakuwa na ujanja wa kufurukuta
 
Acha ukenge....did u know exactly the details of richmond...!!? Who is the main guy behind it...!!?
Shut-up if u don't know...!!! Lowassa atakuwa Rais, easily....and CCM will pick him soon, to run for our Oval Office, be keen on issues, stop hear say...!!!

Alafu wewe u pretend to know each and everything while you're a shit of garbage.Ignorance and stupidity at its best level,hopeless.
 
Huu ni mtazamo wako na mawazo yako lakini sisi raisi ajaye tutamjua muda ukifika lakini hilo wazi raisi ajaye lazima atoke nje ya ccm mjiandae kisaikolojia kuwa wapinzani.
 
Ninaombea Usiku Na Mchana Ccm Wampitishe Lowasa, Maana Tutachukua Nchi Mchana Kweupee, Maana Kuna Sela Iliyoshika Vichwa Vya Watu, Inasema Kula Ccm, Kura Chadema, Au Kula Ccm, Kulala Chadema, Kwahiyo Tutachukua Nchi Huku Tumeshiba.
 
Tusubiri tuone matokeo ya CCM watatoa yupi na kwa faidi ipi ya chama au ya Taifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom