Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Siasa chafu ndio hizi. Tusisubiri kuona na kusikia mengine. Sasa pengine kila mtu anafikiria kummaliza mwenzake. Lakini in real fact URAIS ni kama cheo chochote cha kidini ambapo mtu anatakiwa kuwa loyal kwa Mungu na wanadamu wenzake. God bless Kikwete.