Mkakati wa Kumuhujumu JK na Lowassa

Mkakati wa Kumuhujumu JK na Lowassa

John, ninao ushauri mdogo kwako, siasa hizi za kutunga hadithi zimepitwa wakati sana, sasa ukindelea nazo itabidi uingie kwa jina lako ili tukujibu kwa uongo wako, ukishindwa nitakusaidia kuweka jina na picha, then tuongee kama wanaume na si kutunga hadithi za kipuuzi kama hizi halafu unadhani umejificha kama mbuni. Nimeshangaa kama na M naye umemuinbiza kwenye hili badala ya yeye kufanya kazi za ofisi ya Makamu, ambazo kwakweli ni nyingi na zinahitaji muda...... Be carefull na uongo usiokuwa na mashiko...

MMhhh Nape inamaana MVUA GAMBA ni John,au?ebu tujuze manke ukichelea mwana kulia utalia wewe.Uhitaji kumtisha kama unauhakika ni yeye mweke wazi watu wamjue yafunguke mengi toka kwa wengine kutisha huku bila kufanya kweli ndiko kuliwaponza wakina Mwakyembe na Mwandosya.Wanaume uwa awatishani kama ni kuexpose fyatuka ukijifungia wenzio watakumaliza kisha unaanza kulalama wamekuchezea faul.Ndio madhara ya kuficha ficha hata mambo ya kipumbavu yasiyo na msingi chama chako kinayahimiza kuficha matokeo yake wenye hira wakiyanyaka wanayachezesha mpaka Ukweli unageuka uongo na uongo unageuka ukweli.

Kitabia za makabila kuna baadhi ya makabila uwa tunayaita hayana break,ukimyumbisha Mwanaume wa kikurya atakuja moja kwa moja mbele ya uso wako na marafiki zako na kukupa ukweli utake na usitake ndio kisha kwambia.Wanyiramba wanaume ni waungwana sana lakini ni jasiri na wenye msimamo usioyumba.

I hope wewe bado kijana,siasa zako hazipawi kuwa za kuficha ficha mambo tena haswa muhmimu, zama zako ni za uwazi,na siri siku hizi aiwekwi hadharani kujadiliwa, siri inafungiwa kwenye kuta nne na mwisho wake ni huko huko kwenye kuta nne,ikisha fika uku kwenye FJ sio siri tena.Ukishafika JF na mada yako jua hiyo mada sio siri tena Nape.

Its time know you need to change,utoke kwenye style ya Mababu na Baba zako ndani ya CCM,waonyeshe kuwa wewe ni kizazi kipya chenye kuitaji ukweli na sio nazi kuambiwa kuwa ni dafu.Ukiendelea na tabia ya kucopy na kupaste toka kwa mababu zako wa CCM hakika wewe na hicho chama chako wote mtakumbana na kaa la moto kwenye koo toka kwa Wananchi.

Ebu jaribu kuvaa viatu vya Watanzania vijana kuanzia miaka [15-45] angalia maisha yao vijana wa Tanzania mitaani Dar es Salaam nyumbani kwa mama yako Singida na Tanzania ulioizunguka hawajui kesho yao itakuwaje.Vijana wengi wamepoteza matumaini angalia tukio la Mbeya isingekuwa KIJANA MWENZIO SUGU,hakika hali ingekuwa tete mpaka sasa. Jitolee kweli kweli kusimamia kile unachokiamini na waonyeshe wazee hao kuwa ndio unavyoamini,zile tabia za kinafiki za wakubwa kupigiwa makofi uku wakishabikia na kueneza uongo zimekwisha kwa kizazi cha sasa. Kwa kuwa utawalaghai leo kesho keshokutwa wanataka majibu,ukiwabishia wanakuibukia.

Ukiwafuata na kukubali kila wanachokuambia kesho itakucost wewe na si wao kwa kuwa wengi wao ni mababu na hawana cha kupoteza ila wewe unaebaki na sisi vijana tutakubana kukuuliza ulikuwa na wale mababu ulishiriki kutufisha hapa tulipo sijui utawajibu nini wadogo zako na vijana wenzio wa Tanzania ambao sasa hivi wanakaribia asilia 60% ya Taifa zima.Ila ukijisimamia kama Mtu huru [Free and Independet Man] na sio Mr NDIO MZEE wote watakili kuwa na wewe ni kidume na ndipo wenye akili wanakuamini na kukusaidia.Huna sababu ya kuwa mwoga,kwa kuwa siasa kwako wewe iko kwenye damu kama Makongoro au Watoto wa Kawawa na kujiamini ni dhahili kuwa mtoto wa mwanajeshi hakufundishwa nidhamu ya woga.

Funguka utusaidie tupate kuunga A na B kujua wenye hira na Taifa hili, acha siasa za CCM za kizamani nyie vijana haswa wewe unapaswa kuwa chachu ya mabadiliko na kuanza kuonyesha mabadiliko kutoka kwenye zama za kila kila jambo kuwa siri eti lijadiliwe kwenye ngazi za chama uku,mnaongeza ufa wa matatizo kwenye Taifa.

Ni vyema kujibu maswali muhimu ya wananchi wakati sahihi.Mfano kwa sasa hatujui kama ni kweli au umetungwa uongo kuwa NAPE Katimuliwa DODOMA,na kweli baad ya muda tunamuona Katibu wa Chama ndie anaetoa taarifa za vikao na si Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya UMMA.

Umekuja JF sikuona wewe kuleta taarifa makini kuwa jamani kutokuwepo kwangu na hayo yanayosemwa dhidi yangu kwa uchachee najibu ifuatavyo moja mbili tatu.Lakin umeibuka na shutuma kama mpita njia.Ndio wewe humu JF umeingia kama NAPE NAUYE lakini pia umetumia jukwaa hili kufikishia umma wa Watanzania taarifa muhimu za chama chako cha CCM.Hivyo tunapokuona humu tunakuona kwa sura Mbili au Kofia Mbili,moja kama Nape Moses Nauye na nyingine kama Kiongozi wa CCM wa Itikadi na Mawasiliano ya umma na JF ni moja ya ya Jukwaa la Umma.

Kwa kuwa chama chako hakina ID humu JF ndani, ili kutoa ufafanuzi pale tunapoitaji kujua jambo toka kwenye chama chako basi ujio wako humu utupatia nafasi ya kujua na kukupa maswali yetu.

Hivyo funguka tujue hata kama kuna waliokusemea kuwa ulikuja kutetea masters yako Mzumbe Dar,wale si wewe wale ni wao tuliitaji kusikia toka kwako.Nilichosikia toka kwako mpaka sasa ni aina ya lawama kuwa kilichotamkwa kukuhusu wewe A,B,C ni uzushi.

Yaah tunajua uko kwenye vita,nawe unabudi kufungua silaha zako vinginevyo vita itakushinda na lawama utazibeba ukiziangatia bado kijana mdogo ambae unamiaka 35 mbele ya kutumikia Taifa lako sambamba na kina SUGU, na TINDU LISSU bila kujali unatoka chama gani.
 

Kwamba Membe ni kichwa miongoni mwa wote wanaotajwatajwa halina ubishi hata kidogo!! Jamaa ni kichwa kwelikweli. Maishani mwangu nimewahi kukutana na huyu bwana mara moja nyumbani kwake. Niliongea nae kama kwa saa moja hivi....hapo hapo nikashangaa ni kwanini kichwa kama hiki hakipo serikalini!!

Lingine, ninalompendea huyu bwana ni msimamo.....nchi isipokuwa na kiongozi mwenye msimamo ni sawa na kuwa na baba siye na maamuzi ndani ya nyumba. Ikumbukwe kwamba, huyu jamaa alisomea seminary, na inasemekana kwamba pale alipotakiwa kuapa(cna hakika kama inakuwa kuapa au nini, coz' cjui taratibu za kiseminari) ili aingie kwenye masuala ya kikanisa, jamaa hakufanya hivyo....hakutaka unafiki kv alijuwa hakuwa na wito. Aidha, inasemekana siku ya tukio hilo, Nyerere alikuwepo na hivyo alivyoona dogo hakutaka unafiki wa kutaka kulitumikia kanisa wakati hana wito ndipo Mwalimu alipoamua kumchukua jamaa! Hivyo basi, suala la kutokuwa mnafiki ni jambo lingine linalonifanya nimkubali huyu bwana!

Suala la kwamba eti arudishe fedha za Libya ni suala lisilo na msingi hata kidogo kwavile sio kwamba fedha ameiba na isitoshe wala sio kwamba anazitumia kwa matumizi yake binafsi.

Kuhusu uroho wa urais, naamini kwamba kama ni kuutamani urais basi Membe ametiwa hamu hiyo na magazeti. Nakumbuka suala la Membe na urais lilianzia kipindi cha Mkapa...ilikuwa hivi:

Membe aliibua scandal ya Hans Kitine kutumia mamilioni ya fedha za umma kwa ajili ya matibabu huko ughaibuni. Wakati huo Membe alikuwa ni mbunge tu chini ya serikali ya Mkapa. Na Watanzania wengi wakati huo walikuwa hawamfahamu Bernad Membe. Baada ya scandal ile, ambayo kama sikosei ilipelekea Dr. Kitine Kujihudhuru, Gazeti la Rai lilimfuata Membe na kufanya nae mahojiano. Moja ya maswali ya Rai kwa Membe ilikuwa kama ana mpango wa kugombea Urais 2005!!!

Hata hivyo, 2005 Membe hakugombea. Na baada ya kuchaguliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, hisia za urais kwa Membe zikazidi kujengwa; hivi sasa si tu na magazeti, bali hata na wananchi kwa ile dhana iliyozoeleka hapa nchini kwamba ukiwa waziri wa mambo ya nchi za nje, kinachofuata na urais.....!!! Hii ilitokana sana na kuangalia background ya Mkapa na JK. Nakumbuka hata Membe mwenyewe aliwahi kulizungumzia hili kwamba, yeye ni waziri wa mambo ya nje wa 13 ktk historia ya nchi hii, lakini ni wawili tu ambao wamepata kuwa marais!! Hata hivyo, sina shaka yoyote kwamba hivi sasa Membe anautaka Urais, lakini hamu hii imejengwa kwake na magazeti....ni kwamba alijengwa kisaikolojia kwamba kumbe anaweza!!!

Tukija kwenye uadilifu, Membe is far from Lowassa; ni kama mbingu na ardhi! Na hadi kufikia kumbomoa bosi wa zamani wa Usalama wa Taifa (Hans Kitine) ni kwamba alijiamini hana scandals otherwise asingethubutu!

Kuna jambo lingine kuhusu Membe. Huyu jamaa bado Useminari haujamtoka kabisa. Hali hii inamfanya awe msikivu sana na asiye na makuu. Hata hivyo, ni mtu mwenye msimamo ambae am sure, kama yeye anakuwa ndie final decission maker, usishangae ukakuta anawatia hata wana-CCM wenzake ndani! Anayebisha, tukae tusubiri!

Nimesikiliza kiasi fulani, nimeelewa kiasi fulani, lakini nina masuali kiasi fulani...
  1. Kama Membe ni kichwa kwa maana ya uwezo wa akili, je hiyo ndiyo sifa ya kuwa kiongozi wa Tz?
  2. Je uwezo wake ki-akili unazidi ule wa Prof Mwandosya, Dr Mwakyembe, Dr Magufuri, Dr Slaa kwa kiasi gani?
  3. Je, kuna mfano wowote usiotia shaka kwa utendaji kazi kama ule tunaoufahamu kuwa nao Prof Tibaijuka, Mh Lowasa, Dr Magufuri, Mh Sitta, Mh Lyatonga,...?
  4. Je, Membe ni msafi kiasi chote hicho mnachotueleza hapa? Je, mpo tayari kuacha kumpigia debe kama madudu yake mazito yakiwekwa wazi leo?
Mimi sioni kitu chochote peculiar kutoka kwa huyo ndugu yangu mh Membe. Kilichopo hapa sasa ni nafasi au uwazi unaotokana na ukosefu wa demokrasia ya kweli na formula mahsusi ya kupata viongozi walio bora ktk nchi yetu.
 
Ama kweli!!! UONGO MWINGINE UNAHITAJI UJASRI WA KIFISADI KAMA WAKO KKUTUNGA NA KUTKATA WATU WAUAMINI! NINAMASHAKA NA UJAZO WA UBONGO WAKO, TUKIUPIMA NA WAKUKU, WAKUKU UNAWEZA KUWA MKUBWA. POLE SANA, MTAHANGAIKA SANA!

Nape unachekesha kweli, yaani kuwa na ubongo mkubwa ndiyo kuwa na busara au akili kuliko mwenziyo!!.....mmmh hivi hata sayansi ya misingi saba nayo ilikuacha husidandie...damn. I hope mwanano atachukuwa genetical make up za mama yake; no offense intended.
 
Ama kweli!!! UONGO MWINGINE UNAHITAJI UJASRI WA KIFISADI KAMA WAKO KKUTUNGA NA KUTKATA WATU WAUAMINI! NINAMASHAKA NA UJAZO WA UBONGO WAKO, TUKIUPIMA NA WAKUKU, WAKUKU UNAWEZA KUWA MKUBWA. POLE SANA, MTAHANGAIKA SANA!

Nape mdogo wangu.
Nakushauri ujaribu kutafuta alternatives kwa upande wa ajira. Hii ajira ya siasa naamini inaweza kuwa na unfavorable impact kwa familia yako na wewe mwenyewe in one way or another. Hivi ulisomea nini vile....? Seriously, you need to look for professional job ambayo aihitaji managerial responsiblities.
 
Lowassa alijihujumu mwenyewe siku ile pale dodoma alipoambiwa "apime" yeye badala ya "kupima" akachagua kujiuzulu lile lilikua kosa kubwa sana ambalo ndilo linamgharimu mpaka leo kutumia mapesa kibao arudi kwenye system,jazba mbaya na hatuhitaji kiongozi mwenye jazba kuja kutuongoza,hataweza kuhimili maoni huru kama haya hapa jamvini,atatushughulikia!!!
 
Nape mm si John pia unadai huu ni uongo na upotoshaji kuna mpotoshaji zaidi yako?nikumbushe umesahau ulivoandaa paper ya uongo kuwa JK ataondolewa madatakani na kina lowers?umesahau jinsi ulivowapotosha wana Magamba wenzio Igunga kuwa CDM wameleta mungiki ikabidi vijana wenu wakavamie msafara wa mawakala wa cdm shinyanga ukidai cdm vijana wao wana mapanga
 
Umepotosha mengi saaaana na ww ni muasisi wa siasa za uongo CCM vijana wenzio walikufukuza ndani ya Uvccm,Unakumbuka uliandaa paper ya uongo kupeleka kwa JK kuwa kuna watu wemekaa Moro kumuondoa JK? Usishangae Leo
 
Ni kweli inawezekana kabisa,lakini haiwezekani asiwe mkatoliki au muislam!hao ndio watawala wa hii nchi,habari ndio hiyo,hatuwezi kuwapa nchi watu tusiowajua waje kujaribu kisa eti safari hii "zamu yao" no way!

wewe na aliyesema sasa ni zamu ya kaskazini mkatubu! Zamani tulikuwa na utaratibu wa kuwachoma midomo kuku wanaokula mayai tena kwa kutumia mayai hayo hayo ili waogope kabisa! Kauli zenu zinapaswa kukemewa na kukaripiwa, Mwl alituonya sana juu ya ubaguzi wa kidini na kikabila! Unafikiri alikuwa kichaa? Tazameni nchi za wenzetu mkishatafakari yanayowakuta mrudi jf kuomba radhi kwa kutuhubiria ukabila. PERIOD...!
 
Ndugu wakigombana.................................................

Naenda kulima. Nakumbuka wakati nipo darasa la nne wakati huo nilisoma kitabu cha kiswahili kikaniambia kama mnataka mali mtayapata shambani!! Hakika ndugu ndani ya CCM wanagombana huku wenzao wakitayarisha mashamba na kuanza kulima na kujiandaa kwa mavuno. Wakimaliza ugomvi wao watu wako shambani wanavuna magunia ya mpunga na mahindi!!! CCM itaishia kugombana na kuvutana hamad 2015 hiyo hapo; hakuna cha kutekeleza ahadi wala ilani, wanaenda shambani hakuna mavuno mwisho wanakufa kwa njaa. Ili hali wapinzani wao wana mavuno tele! CCM kumbukeni vyama marafiki vya TANU wakati huo na kujiuliza viko wapi: UNIP, KANU, UPC, MPC, n.k
 
Nimesikiliza kiasi fulani, nimeelewa kiasi fulani, lakini nina masuali kiasi fulani...
  1. Kama Membe ni kichwa kwa maana ya uwezo wa akili, je hiyo ndiyo sifa ya kuwa kiongozi wa Tz?
  2. Je uwezo wake ki-akili unazidi ule wa Prof Mwandosya, Dr Mwakyembe, Dr Magufuri, Dr Slaa kwa kiasi gani?
  3. Je, kuna mfano wowote usiotia shaka kwa utendaji kazi kama ule tunaoufahamu kuwa nao Prof Tibaijuka, Mh Lowasa, Dr Magufuri, Mh Sitta, Mh Lyatonga,...?
  4. Je, Membe ni msafi kiasi chote hicho mnachotueleza hapa? Je, mpo tayari kuacha kumpigia debe kama madudu yake mazito yakiwekwa wazi leo?
Mimi sioni kitu chochote peculiar kutoka kwa huyo ndugu yangu mh Membe. Kilichopo hapa sasa ni nafasi au uwazi unaotokana na ukosefu wa demokrasia ya kweli na formula mahsusi ya kupata viongozi walio bora ktk nchi yetu.
Maswali mengine mkuu wangu hata sielewi unataka kujua kitu gani..

Swala ni nani mbora kati ya hawa ktk Uongozi.. sasa inategemea wewe umesimama wapi. Kama mtumwa Lowassa ni Mnyapala mzuri mfano wa kina Saadam Hussein yaani anaweza kutishia watu, kuweka sheria kali za utawala bora wakati yeye mwenyewe akijirundikia mali.
2. Lowassa ni kama mtu ambaye hakwenda shule, anajifanyia mambo kwa kufuata mila na desturi zaidi. Ni mtu anayeamini sana Uchawi, uganga na siasa za kisasi kwa kutumia nguvu ya fedha...ndio maana nikasema kama tunampima uwezo wake wa kulaghai na kujilimbikiza fedha basi labda tumpime yeye na Papa Msoffe..

3. Membe kama kuna makosa aloyafanya ni makosa ya fikra zetu lakini sii protocal inavyomtaka afanye. Yeye ni Waziri wa mambo ya nje na nadhani ndio wadhifa mkubwa alowahi kuushika, sasa tazama mahusiano yetu na nchi za nje. Membe hawezi kufanya ya waziri mkuu wala ya waziri wa wizara nyingine isipokuwa unapima mafanikio ya wizara alokuwepo.

4. hao mawaziri ulowataja sioni hata mbora kati yao kuweza kuwa rais. Hata Magufuli pamoja na uwezoi wake mkubwa sana ktk utendaji anapungukiwa Busara ktk maamuzi. Yes, anaweza kuwa mbora kati ya wote hawa ukizingatia hali tulokuwepo ya kwamba tunahitaji rais Mzalendo na mburuzaji kama Kagame, Magufuli is the right choice hapo. Magufuli nadhani anatufaa sana kama katiba itabakia hivi ilivyo na angekuwa na mtandao aidha wa jeshi au Wanausalama.. (system) tofauti na Lowassa ambaye katiba hii iliyopo itamfanya awe mfalme na kuunda himaya yake..Hao wengine waliobakia hawawezi kuiongoza Tanzania tulokuwa nayo leo wote ni dhaifu pamoja na kwamba wana msimamo mzuri lakini hawana mtandao wa kutosha - CCM inamomonyoka.

5. Membe pia kuwa rais wa Tanzania hatufai kwa sababu ya mazingira tulokuwepo. Ni kichwa kweli na anaweza sana kufananishwa na Dr.Shein lakini sidhani kama ana ari na uwezo wa kukabiliana na Mafisadi. Ana udhaifu sawa na hao wote ulowataja hapo juu, unless katiba tuitakayo sisi ndio iundwe na kama itaundwa then Shein ni mbora zaidi..Tanzania inataka rais MZALENDO mwenye uchungu na nchi yake, sii Limbukeni, mkata Issue na Lowassa ktk haya amepungukiwa sifa kubwa kuliko zote nayo ni UZALENDO..
 
Nimeisoma hoja hii na kufuatilia kwa ukaribu sana michango mbali mbali inayotolewa na watu mbali mbali. Kwngu naona bado hoja haijitoshelezi, na kama hatutawa makini tutajikuta tunatumbua ktk shimo tusililolijua. Ninamshauri au kumtaka mtoa hoja atuambie kikao cha Nape, Capt. Chiligati, Lusinde Makongoro, Mzee Sitta na Mukama kilichofanyika Dodoma kama anavyodai ktk hoja yake, kilifanyika lini na saa ngapi? Katika hoja yako unadai kuwa, marafiki wa karibu wa JK wamekasirika kuona kuwa JK amewasaliti, ni usaliti gani alioufanya JK? Hivi ktk akili zako unaamini kuwa maamuzi yaliyafikiwa ktk kikao cha NEC ya tarehe 23.11.11 ni mazuri kwa Lowassa na washirika wake? Unaamini kabisa kuwa JK ana mali nje ya au hata ndani ya nchi? Jitahidi kuwa mwangalifu unapotunga uongo wako kuihusisha Idara ya Usalama kwani itakapojibu usilalamike. Unasema Nape alimfuata Mwigulu na kumuomba asimuangushe, hivi Mwigulu ana nguvu gani za kuombwa na Nape? Ni vizuri ukatuambia tarehe na saa ambayo Rage alikutana na Mh. Zedi na kuzungumza maneno hayo, badala ya kuishia kusema "juzi" tu. Siku moja kabla ya mkutano wa NEC kuanza Dodoma tulihabalishwa kuwa Membe alikutana na Makongoro na mtu mwingine ambaye hakutajwa jina pale Protea Hotel, akampa Tshs 20 Milioni ili akatukane ktk NEC. Tulipofuatilia tuligundua kuwa mtu huyo wa tatu ambaye hakutajwa jina alikuwa Harry Kitilya, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hapa alifichwa kwa sababu maalumambazo tunazijua, na tutazisema muda muafaka utakapofika. Leo tunaambiwa kuwa kulikuwa na kikao hapo Protea kati ya Membe, Balozi wa Heshima wa Comoro na Jack Gotham. Mtoa hoja hajasema kikao hiki kilifanyika lini na saa ngapi, lakini amesema tu kuwa kilikuwa cha kupanga mikakati yenye mwelekeo wa kumuumbua JK. Tulipoongea na Jack Gotham juu ya habari hizi alisema kuwa anawajua watu waliotunga uongo huo. Alituambia kuwa yeye amechaguliwa ktk kamati ya kufanya Harambee ktk Kanisa Katoliki Magomeni. Jana alikutana na vijana wawili anaofahamiana nao sana, na aliwaambia kuwa anaenda ktk kikao cha kamati ya Harambee, wakamuuliza kama kamati imeishampata mgeni rasmi, akawajibu kuwa, hapana bado, wakatoa proposal ya jina la Lowasa kuwa mgeni rasmi, akawajibu kuwa atawakilisha proposal hiyo ktk kamati. Ameshangazwa na jinsi ukweli huu ulivyobadilishwa na kuwekwa ktk ujinga huu.
 
Nimesoma kila post inayoelezea hujuma hii na naishia kuamini kuwa huu ni mkakati wa Lowassa na team yake kuwachafua wale aonao ni vikwazo kwenye kufanikisha nia yake ya kugombea
urais 2015.

Lowassa anajua fika kwamba kizingizi kilicho mbele yake ni Mh Benard Membe pekee.

Hivyo Jitihada nyingi zaelekezwa kummaliza kisiasa ili kufanikisha nia yake na ndio maana sishangai wanavyojaribu kumgombanisha na JK jambo ambalo kwao litakuwa ni faraja japo naona ni gumu kidogo kutokea.

Simlaumu Lowassa kwa kufanya hivi kwani akili zake ndivyo zinavyomtuma japo wanaomfahamu Membe wanajua kuwa ubongo wake hauna matundu kama wa lowassa hivyo kujua nini anafanya.

CCM imejaa mapoyoyo wengi sana na lowassa ni mmoja wao.
Kama ni kutoa Rais basi naamini kabisa afaae ni Membe vinginevyo ni bora tukawapa upinzani na wao wakajaribu kuongoza nchi
OTIS

Wote hawafai. Hakuna hata mtu mmoja anayefaa CCM. Wote wameoza. Kama bongo zako zinachemka jaribu kutafakari hiki. Hivi akitokea mtu mwenye sifa na haiba kama za mwalimu JKN au anayemzidi mwalimu kwa uwezo na ushupavu wa kudai maslahi ya taifa CCM watamkubali kuwa mgombea wao au kiongozi wa juu wa chama hicho? Kama jibu lako ni hapana ujue hakuna kiongozi yoyote mzuri atakaetokea CCM hii iliyopoteza hadhi ya kupigania wanyonge. Manake ni kuwa wengi wanaojitokeza na kuonekana kuwa wanafaa ni wababaishaji tu wanaoweza kulinda dhana ya chukua chako mapema ndio maana wakapewa nafasi ya kusomeka CCM vinginevo wangekuwa kifungo cha kutopewa nafasi. Hivo aje Six, aje Membe, aje Lowasa, aje Maghufuli, aje Sumaje, aje Shein, aje Mwandosya ujue wote ni walewale wa kulinda Chukua chako mapema. Vita kati yao haina maana kwamba wanamtafuta mzuri ila nani wa kumzidi mwenzake kete. Hawa hata wakinyukana huko wakatoka wengine watanzania tusidhani ni wazuri ila ni mafisi waliozidiwa ujanja na wenzao.
Tusitegemee Tanzania itafanywa nchi ya maana na kiongozi yeyote kutoka ccm tena.
The only alternative ni kuwapa wapinzani nchi wala ccm wasitutishe eti wapinzani hawajajiandaa. Wapinzani ni watanzania na tukisema hawajajiandaa manake tunasema watanzania hatujajiandaa kuongoza nchi yetu tunahitaji kukodi uongozi toka kwa nchi zingine.
 
Wote hawafai. Hakuna hata mtu mmoja anayefaa CCM. Wote wameoza. Kama bongo zako zinachemka jaribu kutafakari hiki. Hivi akitokea mtu mwenye sifa na haiba kama za mwalimu JKN au anayemzidi mwalimu kwa uwezo na ushupavu wa kudai maslahi ya taifa CCM watamkubali kuwa mgombea wao au kiongozi wa juu wa chama hicho? Kama jibu lako ni hapana ujue hakuna kiongozi yoyote mzuri atakaetokea CCM hii iliyopoteza hadhi ya kupigania wanyonge. Manake ni kuwa wengi wanaojitokeza na kuonekana kuwa wanafaa ni wababaishaji tu wanaoweza kulinda dhana ya chukua chako mapema ndio maana wakapewa nafasi ya kusomeka CCM vinginevo wangekuwa kifungo cha kutopewa nafasi. Hivo aje Six, aje Membe, aje Lowasa, aje Maghufuli, aje Sumaje, aje Shein, aje Mwandosya ujue wote ni walewale wa kulinda Chukua chako mapema. Vita kati yao haina maana kwamba wanamtafuta mzuri ila nani wa kumzidi mwenzake kete. Hawa hata wakinyukana huko wakatoka wengine watanzania tusidhani ni wazuri ila ni mafisi waliozidiwa ujanja na wenzao.
Tusitegemee Tanzania itafanywa nchi ya maana na kiongozi yeyote kutoka ccm tena.
The only alternative ni kuwapa wapinzani nchi wala ccm wasitutishe eti wapinzani hawajajiandaa. Wapinzani ni watanzania na tukisema hawajajiandaa manake tunasema watanzania hatujajiandaa kuongoza nchi yetu tunahitaji kukodi uongozi toka kwa nchi zingine.


Nimekuambia kwamba kwa mtazamo wangu CCM ya leo imejaa watu wasio na sifa za uongozi wengi sana.
Membe pekee ndio namuona kama Mwana CCm pekee awezae kuongoza chama na serikali
Uzuri ni kwamba hata vichwa maji kama don king wanamjua alie tishio kwao ndio maana thread kama hizi zitamiminika sana ili kumchafua kwa Rais na watanzania kwa ujumla.
OTIS

OTIS
 
Wana JF,

Baada ya kikao cha NEC dodoma Mh MEMBE alimwaaita wajumbe wa NEC wafuatao na Kufanya NAO kikao Nyumbani kwake wajumbe hao ni

NAPE NNAUYE
Capt CHILIGATI
LUSINDE maarufu kwa Jina kibajaji
Makongoro Nyerere
Mzee Samweli sita ambae alifatwa nyumbani kwake akiwa amejipumzisha
Ndg Wilson Mukama

Wajumbe hawa walikutana nyumbani kwa MEMBE baada ya kikao cha nec mzee sita aliwahi kutoka kwenda kupumzika baada ya SUMAYE kuongea.

Katika kikao hicho ukaandaliwa mpango madhubuti wa kupambana na kikwete kwakua hawa jamaa wanaamini Kikwete amewatosa na kuamua kujiunga na Lowasam

Makubaliano.

(1) Kutoa siri za kikwete na hapa hasa mali alizonazo Nje ya Nchi na hapa atakae fanya hii kazi ni Bwana Membe.

(2) Kutumia urafiki uliopo kati ya Membe na baadhi ya watu ndani ya idara ya usalama kufanikisha Mpango huu.

(3) Mzee Samweli Sitta aanzishe mazungumzo na CHADEMA ama CUF ili kuandaa mpango wa kujiunga na chama kimojawapo kati ya hivo viwili kwakuwa Sitta ameona kuwa hakuna njia ya kumzuia Lowassa kushinda ndani ya CCM.

(4) Kutokana IMANI na matumaini ambayo NAPE aliyokuwa nayo baada ya mkutano wa JK na wabunge wa CCM Dodoma, NAPE alimfata Bwana Mwigulu akiwa na Chiligati, Nape amedaiwa kumwambia Mwigulu "Bwana MKUBWA (JK) ameishaingia line ameelekea KIBLA tusaidie kesho tummalize huyu Lowassa, mzee anataka sisi katika kamati kuu tuanzishe, kaka usituangushe"

Baada ya hili kutotokea NAPE amedai atahakikisha analipiza kisasi kwa kuanika SMS walizo-chat na JK, kuonyesha JK alikuwa anamtuma.

Mpango wao unalenga kwanza kuonyesha JK haaminiki, Pia wanadai kwakuwa amewasaliti watamuanika.

PIA Mbunge Ismail Aden RAGE akiwa uwanja wa Ndege wa Tabora Juzi katika VIP akiwa amefatana na Mbunge wa Bukene Selemani Zedi alinukuliwa akisema, "Nimeongea na Mzee Sitta amesema njia pekee ya kupambana na Lowassa na Kikwete ni Nje ya CCM, mimi najiandaa kuondoka" haya ni maneno ya sita ambayo Rage aliyanukuu kwa Selemeni Zedi na Rage akasema Nadhani mzee Sitta yupo Sahihi acha aende JK na Lowassa wote ni Mafisadi.

Wana JF, chanzo cha habari hizi ni mtu aliyekuwa katika vikao hivo vya Dodoma na Membe na Nape walikutana Protea wakiwa na Jack Gotham na Balozi wa heshima wa Comoro. Walikutana kuendelea kupanga mikakati, kumekuwa na Vikao vingi sana ambavyo vimeanza kufanyika, na Membe sasa na yeye anjipanga kuanza kutumia makanisa; hivi karibuni na yeye atakua na Harambee ktk kanisa Katoliki Magomeni.

Kwahiyo mnyukano CCM ndo umeanza sasa waliokuwa watu wa Kikwete sasa wanaanza mipango ya kumhujumu na kuanza kutoa siri za mali zake zilizopo Uarabuni.

Nawasilisha

I realy agree that cheating is nowdays a hot & very potential profession especially in politics.
 
Maswali mengine mkuu wangu hata sielewi unataka kujua kitu gani..

Swala ni nani mbora kati ya hawa ktk Uongozi.. sasa inategemea wewe umesimama wapi. Kama mtumwa Lowassa ni Mnyapala mzuri mfano wa kina Saadam Hussein yaani anaweza kutishia watu, kuweka sheria kali za utawala bora wakati yeye mwenyewe akijirundikia mali.
2. Lowassa ni kama mtu ambaye hakwenda shule, anajifanyia mambo kwa kufuata mila na desturi zaidi. Ni mtu anayeamini sana Uchawi, uganga na siasa za kisasi kwa kutumia nguvu ya fedha...ndio maana nikasema kama tunampima uwezo wake wa kulaghai na kujilimbikiza fedha basi labda tumpime yeye na Papa Msoffe..

3. Membe kama kuna makosa aloyafanya ni makosa ya fikra zetu lakini sii protocal inavyomtaka afanye. Yeye ni Waziri wa mambo ya nje na nadhani ndio wadhifa mkubwa alowahi kuushika, sasa tazama mahusiano yetu na nchi za nje. Membe hawezi kufanya ya waziri mkuu wala ya waziri wa wizara nyingine isipokuwa unapima mafanikio ya wizara alokuwepo.

4. hao mawaziri ulowataja sioni hata mbora kati yao kuweza kuwa rais. Hata Magufuli pamoja na uwezoi wake mkubwa sana ktk utendaji anapungukiwa Busara ktk maamuzi. Yes, anaweza kuwa mbora kati ya wote hawa ukizingatia hali tulokuwepo ya kwamba tunahitaji rais Mzalendo na mburuzaji kama Kagame, Magufuli is the right choice hapo. Magufuli nadhani anatufaa sana kama katiba itabakia hivi ilivyo na angekuwa na mtandao aidha wa jeshi au Wanausalama.. (system) tofauti na Lowassa ambaye katiba hii iliyopo itamfanya awe mfalme na kuunda himaya yake..Hao wengine waliobakia hawawezi kuiongoza Tanzania tulokuwa nayo leo wote ni dhaifu pamoja na kwamba wana msimamo mzuri lakini hawana mtandao wa kutosha - CCM inamomonyoka.

5. Membe pia kuwa rais wa Tanzania hatufai kwa sababu ya mazingira tulokuwepo. Ni kichwa kweli na anaweza sana kufananishwa na Dr.Shein lakini sidhani kama ana ari na uwezo wa kukabiliana na Mafisadi. Ana udhaifu sawa na hao wote ulowataja hapo juu, unless katiba tuitakayo sisi ndio iundwe na kama itaundwa then Shein ni mbora zaidi..Tanzania inataka rais MZALENDO mwenye uchungu na nchi yake, sii Limbukeni, mkata Issue na Lowassa ktk haya amepungukiwa sifa kubwa kuliko zote nayo ni UZALENDO..

Mkandara ndugu yangu, nina wasiwasi kuwa umeshaanza ku-yield au ni tayari kabisa! Masuali yangu yajieleza wazi hata mkulima wa Buramba au mvuvi wa Bwiru huko Ukerewe ameyaelewa.

Naona sasa unaingia katika mtego wa kuangalia mtu badala ya mfumo mzuri wa kupata kiongozi. Kwa kifupi ukiangalia mtu utaona mazuri yake kidogo na mabaya yake mengi. Kila mtu anatembea na sifa mbili za ubora na ubovu wake. Sisi hatutaki kulinganisha ukubwa au udogo wa ubora dhidi ya ubovu wa mtu. Tunataka:
  1. mtu mwenye moyo wa kutumikia watu,
  2. mtu asiyejilimbikizia mali, mwadilifu, na anayeunganisha watu wote, dini zote na makabila yote kama alivyofanya kiongozi wa kwanza wa Tanganyika huru na Tanzania ya muungano,
  3. mtu mbaye sio fisadi na akianza kuwa fisadi tuwe na uwezo wa kumwondosha Ikulu.
  4. mtu atakayelinda uhuru wetu, uchumi wetu, ardhi yetu na kuzuia uvamizi kutoka mataifa yaliyozaana na kuishiwa na opportunities ktk nchi zao...
  5. Tunataka formula inayotenganisha influence ya pesa na kuruhusu demokrasia kumpata kiongozi wetu.
  6. Tunataka demokrasi inayotupa fursa ya kuangalia viongozi kutoka sehemu tatu, yaani (1) Chama tawala (2) vyama upinzani (3) mgombea huru.
Tuache kumjadili, kumpigia debe au kumpinga Membe, Magufuri, Lowasa, Tibaijuka nk... Mimi siangalii hivyo...
 
Umepotosha mengi saaaana na ww ni muasisi wa siasa za uongo CCM vijana wenzio walikufukuza ndani ya Uvccm,Unakumbuka uliandaa paper ya uongo kupeleka kwa JK kuwa kuna watu wemekaa Moro kumuondoa JK? Usishangae Leo

kuhusu hili la kukaa moro hata mimi nalijua toka kwa huyu nape na ile doc ya uongo aliandaa.....
 
Back
Top Bottom