Mkakati wa Kumuhujumu JK na Lowassa

Mkakati wa Kumuhujumu JK na Lowassa

Hizi ni fitna na majungu. Watu wanafikiria urais badala ya kufikiria kujenga nchi. Watu wanakula mlo mmoja, maisha yamepanda na kwa taarifa tu ni kwamba Rais ajaye 2015 hajaanza kampeni zozote na hatafanya kampeni kama hizi.

Mfano mjifunze kwa Dr Shein. Ila ninaamini kuwa rais ajaye hatatoka CCM, na akitoka CCM hatakuwa rais wa watanzania bali ni rais wa system, TISS na NEC (tume ya uchaguzi). Ninashauri wananyukana waache maana kuelekea 2015 CCM haina 100% ya kutawala hata kwa bunduki kama wanaipenda nchi, waache kujihakikishia kuwa ushindi wa uteuzi kwa ticket ya CCM ni assurance ya ushindi wa mezani.
 
Sijui kwa nini Membe anafikiri anafaa kuwa rais wa nchi hii? Tanzania haina mwelekeoa wala sauti kwenye ulingo wa kimataifa, haijulikani hii nchi inasimamia nini, leo anataka kupewa nchi nzima aongoze wakati wizara hii moja tu amevurunda?
 
Kwani lowasa ana nini cha maana fisadi huyo ?nyie magamba hakuna kamanda mwingine hagombee?
 
Sawa umeandika. Ila hakuna mtiririko wa kuleta mantiki ambayo uliikusudia.

So kama sio propaganda ndugu rudi chunguza zaidi, tulia, kisha uje tena.
 
...........wana jf, siku sio nyingi nimeuliza humu, wanaoteswa na kivuli cha Lowassa ni akina nani! Nilijua, nyoka wa mdimu, (Membe, accoring to Mdhihiri) ni mojawapo, anautaka urais, anatumia kete ya Richmond ili lowassa aenguke, leo nimepata majibu....ha ha ha, na yule mzee mnafiki yaani Sitta, yule wa CCJ, sijui nani anamdanganya japo kuota tu urais, akina Nape na Chiligati wala sijadili kwa sababu ubongo wao ni mdogo
 
Faiza, ahsante sana kwa kunipigia simu na kunitaka nitoe maoni yangu katika hili. Kwa kuwa sina muda mrefu wa kuwepo jamvini ntaingia moja kwa moja kwa nnayoyaona,

Nampa hongera hapo juu aliesema "Lowassa at work". Hivi mnafikiri toka Lowassa alipowachia madaraka ya Uwaziri mkuu alikuwa kakaa tu bure, anangoja nini hatma yake? Hapana. Hajakaa bure.

Lowassa alikuwa yuko "very busy" usiku na mchana na hakuwacha niwa au hila yoyote au hata kanukta kadogo kukapitia katika kujua ni vipi atarudisha heshima yake. Haya ni matokeo ya kazi yake kubwa aliyoifanya, na anarudisha heshima yake kwa njia yoyote anayo ijua. Kaanza na kawaweka sawa waandishi, akawawweka sawa makada, akwaweka sawa mawaziri (hata Sitta kwa sasa yupo nae), usishangae ukisikia na Anna Makinda nae ni mdau.

Tishio kubwa kuliko yote katika kurudisha hadhi yake ni mtu mmoja tu, nae ni Membe, huyu Bernard Membe. Kwa kuwa Membe ana akili kupita kiasi na anafata nyayo za Kikwete, kwa kuanzia kajijenga nje ya nchi ambapo anajua kuwa humu ndani hata afanye nini, nje kama hawamtaki hatofanikiwa. Membe kwa sasa ndio kikwazo cha Lowassa, goli la Lowassa si kurudisha hadhi tu, kurudisha hadhi na kuujulisha uma kuwa yeye ni zaidi ya waziri mkuu. Na menbe gali lake ni kuwa rais wa nchi hii, na kwa kichwa na maarifa aliyokuwa nayo anaweza kuupata urais kiulaini kabisa, tatizo ni maskini na hana fedha na Lowassa anatumia fedha kuhakikisha anakubakika.

Hayo ni maoni kwa yangu kwa ufupi. Samahani jamani, huku nilipo inabidi nialale mapema niamke mapema tunatumia Generator la umeme na imebaki dakika tano kuzimwa na mimi sijamaliza mengi na dakika dakika zina yoyoma. Maasalaam.

Faiza, inshalla naja mjini week end inayo kuja, nakuja kula chakula cha mchana kwako, Ijumaa baada ya salaa, naomba el forno.
 
Nilijuwa huto niangusha.

Hey, Al forno pizza au Pasta? anyway, ntakufanyia zote. Cheese ghali uilipie, nletee kuku basi japo wawili hivi, itakuwa nil nil.
 
Membe is not fit to b a president neither is lowassa but if I have to choose between the two, then lowassa is far far better than membe, its like comparing night and day!
 
"no longer at ease" au "hamkani si shwari tena"

Sidhani kama Kikwete anaweza kuungana na Lowasa tena, hata kama hawakukutana barabarani. Sidhani kama swala la mali ni muhumu sana sasa hivi. Tunajua zipo na it is just a matter of time zitarudi.

Muhumu ni wazidi kutifuana kusudi iwe rahisi kuwaondoa, watu wenye uchungu na nchi yao watwae madaraka. Lakini kama wakiungana tena kina Membe and Co. wana uwezo wa kupambana na Lowasa?

Kama hivyo ndivyo ilivyo Lowasa anaweza kuwa Rais 2015? Kuna mtu anafahamu procedure za kutafuta uraia wa Botswana?
 
Nakubaliana na "system at work" mbio za Rais 2015 ni Membe na Lowassa. Zitto upo hapo ulipo? jitayarishe.
 
Membe is not fit to b a president neither is lowassa but if I have to choose between the two, then lowassa is far far better than membe, its like comparing night and day!
No, if i were to choose between the two I would take Membe. A thief will continue stealing. It is in his blood. Lakini nimeshtushwa na mstari huu kutoka kwa Zomba: kwa kuanzia kajijenga nje ya nchi ambapo anajua kuwa humu ndani hata afanye nini, nje kama hawamtaki hatofanikiwa. Ina maana kwamba urais wetu siku hizi unaamuliwa nje ya Tanzania?
 
Mkuu kama ni hadithi basi jamaa anajua kutunga manake wahusika wote wanauvaa uhusika hasa kuanzia uwanja wa ndege Tabora hadi Dodoma!! Kwangu mimi sishangai kwa hali ilivyo ndani ya CCM kwa sasa. Nadhani mpasuko ni dhahiri ila sasa watakaopasuka ndio bado hawajajulikana. Ila kwa hadithi hii nimeanza kuona mwanga.
Mkuu hii taarifa in a match kabisa na taarifa kamili ..usibeze...

Myatake: Kuna mengi yatafumuka.....na hata mkutano wa Jk na Chadema Leo ..... Ni moja ya njia ya Jk kufanya PR management .......huu mkutano wa Leo umesaidia kupunguza focus kidogo ya Jk kubebeshwa zigo la Richmond ......Chadema utagundua walikaa kimya ili wasivuruge mkutano wa katiba.....
Membe anautaka urais kwa kufa na kupona ....though kwa maoni yangu naona hatafaa kwani naye Ana siasa za ujanja ujanja Kama Jk.......

Na katika siku za karibuni amejitahidi kujisogeza karibu na rais Hadi kumfunika Pinda.......karibuni KIkwete alipokewa airport na makamu,Pinda na Membe......lakini kwenye mpangilio kiitifaki Membe alionekana muda mrefu kuwa upande wa kulia wa rais huku Pinda akiwa nyuma.....kwenye protocol haikubaliki....na it is amounting to misconduct of membe to PM and VP.
Hata kikao cha Leo ....hakuwa na role pale wall hakuwa na muda wa kuhudhuria lakini ili kujijenga kwa Chadema alijitahidi Angalau afanye appearance ......na hapo hapo ...aende kuwazika mapadri.....
Zitto yupo Sahihi kuwasema mawaziri dizaini ya Membe wasiofanya kazi zaidi ya kuuza sura.
 
Sasa kama habari yenyewe imeshapostiwa humu jf itakuwa siri tena? Umerusha ndege mkuu!
 
Back
Top Bottom