Unalinganisha vipi uwepo wa demokrasia ndani ya CCM na CHADEMA. Imagine huyo mbunge angekuwa wa CDM angeitwa majina yote mabaya na kudaiwa kuwa amehongwa na adhabu yake ni kuvuliwa uanachama. Nadhani CCM imeonesha ukomavu na ustahimilivu wa kisiasa kwa kuruhusu wabunge wake kuwa na misimamo yao tofauiti na CDM ambako ni lazima ufuate msimamo wa chama hata kama unauona siyo sahihi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mkuu huwa una kimuhemuhe...
post moja haikutoshi?
Utaijua tu.UKAWA ndo nini
Huyu bwana ni kiboko aliyatamka hayo mbele ya Mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kamati yake, walimpeleka kwa waandishi wa habari ili akanushe yeye akashindilia msumari wa moto na kuwaacha hawana la kufanya ,na picha yao ipo kwenye gazeti.
Usitafute justification kwa kitu ambacho ni Reality? Sentensi zako zinaonyesha you have been adversely impacted. Issue siyo demokrasia ndani ya vyama bali ni mantiki ya aliyosema Mh. Ally Kessy!Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM
UKAWA ndo nini
Wamemtaja ni nani huyo?
Kama mnara wa baberi vile. Miccm imeshaanza kuvurugana yenyewe kwa yenyewe.
Baada ya kuona anaendelea, Profesa Mbarawa alirudi na kumshika mkono Kessy huku akisema; Mheshimiwa Kessy twende bwana, maana ukimwacha huku huyu atazungumza mambo mengi
Wakati akiondoka eneo hilo, Kessy alipaza sauti akiwaambia waandishi wa habari: Angalieni tunavyodhibitiwa, lakini msimamo ni huo wala sitayumba ngoja tukaendelee lakini mimi ndiyo mtoa habari namba moja.