mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Hawa wote wakina Kessy ni wanafiki waliopo bungeni Kula posho. Dhambi hii wanayowafanyia wanyonge..., haha tote Yana mwisho. Mtu mzima unakuja mbele ya press na kulalamika kama hujaenda shule, simple...kama hukubaliani nao toka humo ndani kama jamaa wa ukawa walivyofanya, shenzi taipu, kubwa jinga.