Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Hawa wote wakina Kessy ni wanafiki waliopo bungeni Kula posho. Dhambi hii wanayowafanyia wanyonge..., haha tote Yana mwisho. Mtu mzima unakuja mbele ya press na kulalamika kama hujaenda shule, simple...kama hukubaliani nao toka humo ndani kama jamaa wa ukawa walivyofanya, shenzi taipu, kubwa jinga.
 
Kungekuwa na ujasiri, wabunge wa ccm kutoka bara, wangechukua hatua kali ya kutetea taifa letu la asili liitwalo tanganyika. Lakini woga, maslahi binafsi vimetawala kwenye vichwa vyao. Wangekuwa kama kina kessy angalau 100 hivi ingependeza sana!
 
Kungekuwa na ujasiri, wabunge wa ccm kutoka bara, wangechukua hatua kali ya kutetea taifa letu la asili liitwalo tanganyika. Lakini woga, maslahi binafsi vimetawala kwenye vichwa vyao. Wangekuwa kama kina kessy angalau 100 hivi ingependeza sana!
Tatizo wanasiasa wa Tanzania wa CCM ni wanafiki na siku zote hawazungumzi mambo kutoka rohoni kwao bali wanayoelekezwa na chama chao ,kwa ujumla ni watumwa wa fikra na ni makowadi pia wa wananchi , isipokuwa wchache kama Bulaya, Filikunjombe, Mzee wa Kahama Lembeli , mbunge wa Mwibara Kangi Lugora n.k.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hayo ndio mambo ya wanaukawa. Sasa ccm wanaanza kugeukana wao wenyewe.
 
Kicheko cha Mwalimu (kinaoneshawazi) kutokea au kusemwa yale ambayo hayakutegemewa kusemwa kimaigizo. Walijua Ally hatasema kama walivyokuwa wakitaka/elekezwa.

Wito wangu kwa wabunge /wajumbe wa ccm waliona mtazamo wa serikali 3 wajitokeze wazi kujiunga na ukawa. Huo ndo uzalendo wa kweli, kinyume chake kama Tanzania inaingia ktk machafuko watakuwa wamechangia kwa kiasi kikubwa. Dhambi hiyo ya usaliti wa viwango hambavyo havijawai tokea ktk hali kidemokrasia itawatafuna wao na kizazi chao.

Kinachodhamiliwa na ccm ni kutumia mabavu ya dola kulinda kile wanacho amini ni sahihi. Ilo halitakuwa jambo jema kwa amani ya Tanzania.
 
ni kama ujenzi wa mnala gani ule ambao kulikuwa na lugha gongana na hiyo ilitokana na kukiuka maagizo ya Mungu. hili ndio tunaloliona sasa baada ya waoemu kukiuka maagizo ya mwananchi. tutaona mengi
 
Mimi namsifu kwackufikisha mawazo yake lakini akiwa ndani ya kikao. Na kile alichokiongopa akakubali kukifuta sasa ukawa wehu maana walitakiwa wawemo ili tuwasikie
 
ni kama ujenzi wa mnala gani ule ambao kulikuwa na lugha gongana na hiyo ilitokana na kukiuka maagizo ya Mungu. hili ndio tunaloliona sasa baada ya waoemu kukiuka maagizo ya mwananchi. tutaona mengi

mnara wa babeli
 
Wanasubiri siku ziyoyome ndo watatoka nje ya bunge.Ngoja kwanza wale posho.
 
Atoke bungeni basi

Aachie POSHO? Bunge hili kimekaa kiposho zaidi na si sababu ya UZALENDO, wangekuwa wansipenda Taifa lao hata swala ls Mahakama ya Kadhi wasingeliingiza maana mpaja sasa limeshaligawa Taifa.
 
Mimi namsifu kwackufikisha mawazo yake lakini akiwa ndani ya kikao. Na kile alichokiongopa akakubali kukifuta sasa ukawa wehu maana walitakiwa wawemo ili tuwasikie
Kweli kabisa, halafu ni mawazo yake lakini hayawezi kubadili msimamo wa chama chake, kama ambavyo kuna wsbunge wa UKAWA wenye mawazo tofauti ns misimamo ya vyama vyao
 
Back
Top Bottom