Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Mjumbe wa CCM ndani ya BMK amejiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika kukataa yanaondelea Bungeni.

Source Mwananchi.

headline imeandikwa hivi: Mjumbe CCM 'ajiunga' Ukawa, nashangaa kwa nini huelewi hizi alama '.....'
 
wewe ni kibaraka wa ccm, utake usitake wengi wanaomjua Mungu watajitenga na uhuni wa ccm wa kuondoa au kuchakachua rasimu ya katiba, ebu fikiria hata kipengele cha maadil na uwajibikaji ccm wamekiondoa je katiba hii ni ya mashetani? kama ndivyo ujue ccm ndiyo shetani mwenyewe kwani hawapendi maadili. Acha ushabiki wa siasa, UKAWA songeni mbele.

Ni ya pepo wachafu kuzimu
 
Mjumbe wa CCM ndani ya BMK Mh.Ally Kessy amejiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika swala muundo wa serikali tatu na kukataa yanaondelea Bungeni.

Source Mwananchi.
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM
 
Dunia yako imekwsiha? Ulidhani wote wataendelea kuishi kwa kiapo cha kinafiki? Wapo watu ccm wanaojitambua kuliko wewe bendera fuata upepo, akili zilishapewa likizo bila malipo kwa muda usiojulikana!. Pole sana. Akidi inazidi kupungua. Bado ambao hawajasema.

QUOTE=ifweero;10393025]Ccm akijiunga na ukauwa ndio itakuwa mwisho wa dunia
[/QUOTE]
Unalinganisha vipi uwepo wa demokrasia ndani ya CCM na CHADEMA. Imagine huyo mbunge angekuwa wa CDM angeitwa majina yote mabaya na kudaiwa kuwa amehongwa na adhabu yake ni kuvuliwa uanachama. Nadhani CCM imeonesha ukomavu na ustahimilivu wa kisiasa kwa kuruhusu wabunge wake kuwa na misimamo yao tofauiti na CDM ambako ni lazima ufuate msimamo wa chama hata kama unauona siyo sahihi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM

huna lolote .
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli daima. Kujaribu kutetea mambo yanayong'ang'aniwa na ccm hii na ukaeleweka ni kazi ngumu mno!
 
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM

Acha unafiki Dogo, subiri uone kampeni chafu watakayompigia huyo Ally Kessy, na hapo bungeni hatakanyaga tena baada ya uchaguzi mkuu ujao. Yuko wapi Shibuda alietangaza kugombea urais 2010 kupitia CCM I'll kushindana na JK? Yao mengi ya kueleza, lakini tuache unafiki wakati CCM ndio chama kichafu zaidi Tz
 

Attachments

  • 1408687174204.jpg
    1408687174204.jpg
    118.3 KB · Views: 244
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM

Ukomavu wa kumlazimisha aseme kile mi-ccm inachokitaka? Mbona basi hawakumuachia aendelee kuongea na waandishi kwa habari?

By the way; kusaliti udhalimu ni jambo jema.
 
Anaunga mfumo wa serikali tatu kama walivyo ukawa lakini hajajiunga ukawa.Akigangania msimamo wake atajikuta Milembe Hospital
 
Kilichonishangaza ni jinsi wabunge waliochaguliwa na wananchi wanavyodhibitiwa kama watoto wa shule. Wale wanaosema hakuna demokrasia CDM waone wenyewe jinsi CCM inavyowafanya wabunge wake mateka. Yaani hadi Kessy anashikwa mkono kama mtoto mdogo ili asitoe siri lol. Nimechoka
 
huyu tunamvua uanachama na ubunge wake unakoma akaishi na maukawa
 
Back
Top Bottom