Mjumbe wa CCM ndani ya BMK amejiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika kukataa yanaondelea Bungeni.
Source Mwananchi.
wewe ni kibaraka wa ccm, utake usitake wengi wanaomjua Mungu watajitenga na uhuni wa ccm wa kuondoa au kuchakachua rasimu ya katiba, ebu fikiria hata kipengele cha maadil na uwajibikaji ccm wamekiondoa je katiba hii ni ya mashetani? kama ndivyo ujue ccm ndiyo shetani mwenyewe kwani hawapendi maadili. Acha ushabiki wa siasa, UKAWA songeni mbele.
huyu atakua na wenzake nyuma yake.
Gazeti la leo tutalisoma kesho huku tuliko, tuambie ni mjumbe gani huyo? Inawezekana wanaanza kuokoka!
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCMMjumbe wa CCM ndani ya BMK Mh.Ally Kessy amejiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika swala muundo wa serikali tatu na kukataa yanaondelea Bungeni.
Source Mwananchi.
[/QUOTE]Dunia yako imekwsiha? Ulidhani wote wataendelea kuishi kwa kiapo cha kinafiki? Wapo watu ccm wanaojitambua kuliko wewe bendera fuata upepo, akili zilishapewa likizo bila malipo kwa muda usiojulikana!. Pole sana. Akidi inazidi kupungua. Bado ambao hawajasema.
QUOTE=ifweero;10393025]Ccm akijiunga na ukauwa ndio itakuwa mwisho wa dunia
Acha maswali ya kijinga we mama kada gani hujui kinachoendelea chamani?
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM
weka picha tuone alivyojiunga
Angekuwa CHADEMA angeitwa msaliti kwa kweda kinyume na msimamo wa chama, angeandaliwa waraka ukionesha alivyolipwa hela ili kisliti cham na kushughurikiwa ikiwemo kufukuzwa uanachama, nadhani bunge hili limesaidia kuonesha ukomavu wa demokrasia kati ya CDM na CCM