Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Wanasiasa bwana,wakikamatwa pabaya wanajifanya kujichekesha.
 
niliambiwa kuna bendera ya tanganyika ila watanzania hatuijui ??!

Kwanini serikali tatu na kwanini serikali mbili apo ndo nataka kuelewa ??!

Kuna baadhi ya watu hata somo la hesabu lilikuwa baba mkwe au mama mkwe huko mashureni walipokuwa wanasoma maana mtu anasema unapounganisha namba mbili unapata moja hivi kwa kawaida kitu kimoja na ukiunganisha na kimoja natumaini unapata viwili. Na ndiyo jawabu
 
Ally Kessy amesema ya moyoni japo anakula CCM hawezi kutoka tu kama UKAWA
 
Ivi unadhan hao wliogoma kurudi bungeni ni wote wamependa? Mbowe anawaburuza kama misukule...!
unadhani wote walio bungeni wamekwenda kwa sala la katiba...Njaa mbaya, wengi wana saka tonge...ukiingia ndani ya mawazo yao wanapiga total bunge likiisha watakuwa wame make kiasi gani
 
Je ingelikuwa wewe wille gamba ungekataa kuchukua posho kwa maslahi yako au ungemsikiliza Dj mbowe
 
Back
Top Bottom