Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Kuna mikoa hata ukisikia mwenyekiti wa CDM kahamia CCM wala haushtuki kwa kuwa watu wake bado hawajajitambua. Mfano Singida ndio mkoa ambao unaongoza kwa shida ya maji Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru. Nasikia wanaopata ajira ya ualimi vijijini mkoani Singida huwa wanashauriwa akipata mshahara wa kwanza anunue either Punda au Baiskeli ya kuchotea maji then anunue godoro na vitu vingine. Kwao hawaoni kama hilo ni tatizo na hawahitaji ukombozi. CCM inapendwa sana na wasioelimika, Maskini na mbumbumbu pamoja na wajinga wachache wanaojipendekeza ili wapate fedha au madaraka au upendeleo wa ajira kama Mwita25. Hongereni watu wa Singida kwa kukumbatia Shida, na kukumbatia CCM