Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Hivi pale Mondi akitoa Wasafi unazani kuna redio tena,Kumbuka David Mosha ana hela nyingi lkn redio ilimshinda kuendesha.

Pale hata Kusaga akijiondoa ni uhakika,kuna watu kibao wataweka hela Wasafi,brand ya Wasafi inajulikana hutumii nguvu kuipromoti na ndicho alicho kosa David.

Nyie zungukeni lkn Diamond hajasoma ila ni mzuri sana ktk kuwatumia wanasheria na nina uhakika kabla hajafanya haya maamuzi tayari alisha shauriwa na wataalam wa uchumi na sheria.Dogo anajua anacho kifanya,kwa age yake na ile 45% bonge la bingo na redio kila siku inakua.
Kwahiyo umekubali kwasasa sio major shareholder?

#YNWA
 
Mark ana miliki 25% na ndio high share percent
Ila mond sio majority shareholder then hana major rights.

Kuhusu brand inahitaji kuthibitishwa maana the major shareholder holds major rights of the company.

#YNWA
Hivi pale Mondi akitoa Wasafi unazani kuna redio tena,Kumbuka David Mosha ana hela nyingi lkn redio ilimshinda kuendesha.

Pale hata Kusaga akijiondoa ni uhakika,kuna watu kibao wataweka hela Wasafi,brand ya Wasafi inajulikana hutumii nguvu kuipromoti na ndicho alicho kosa David.

Nyie zungukeni lkn Diamond hajasoma ila ni mzuri sana ktk kuwatumia wanasheria na nina uhakika kabla hajafanya haya maamuzi tayari alisha shauriwa na wataalam wa uchumi na sheria.Dogo anajua anacho kifanya,kwa age yake na ile 45% bonge la bingo na redio kila siku inakua.

Ila hii JF kila mtu anajua,hamna asiyejua si shangai.........ndio JF yetu yaani huku dunia nyingine.
 
Hivi pale Mondi akitoa Wasafi unazani kuna redio tena,Kumbuka David Mosha ana hela nyingi lkn redio ilimshinda kuendesha.

Pale hata Kusaga akijiondoa ni uhakika,kuna watu kibao wataweka hela Wasafi,brand ya Wasafi inajulikana hutumii nguvu kuipromoti na ndicho alicho kosa David.

Nyie zungukeni lkn Diamond hajasoma ila ni mzuri sana ktk kuwatumia wanasheria na nina uhakika kabla hajafanya haya maamuzi tayari alisha shauriwa na wataalam wa uchumi na sheria.Dogo anajua anacho kifanya,kwa age yake na ile 45% bonge la bingo na redio kila siku inakua.

Ila hii JF kila mtu anajua,hamna asiyejua
Click to expand...
Kwahiyo umekubali kwasasa sio major shareholder?

#YNWA
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
Asante kwa kuleta ushahidi huu mezani mkuu maana vijana wa siku hizi wana ushabiki maandazi sijapata kuona. Nadhani sasa kila kitu kimekaa sawa. Ngoja wabishi na matomaso waendelee kubisha.
 
Hivi pale Mondi akitoa Wasafi unazani kuna redio tena,Kumbuka David Mosha ana hela nyingi lkn redio ilimshinda kuendesha.

Pale hata Kusaga akijiondoa ni uhakika,kuna watu kibao wataweka hela Wasafi,brand ya Wasafi inajulikana hutumii nguvu kuipromoti na ndicho alicho kosa David.

Nyie zungukeni lkn Diamond hajasoma ila ni mzuri sana ktk kuwatumia wanasheria na nina uhakika kabla hajafanya haya maamuzi tayari alisha shauriwa na wataalam wa uchumi na sheria.Dogo anajua anacho kifanya,kwa age yake na ile 45% bonge la bingo na redio kila siku inakua.
ni ujinga kujaribu mshusha daimond ama kumdharau..Dogo akili nyingi..ontop of that yeye pale ni managing director so ana influence uendeshaji wa kampuni wa kila siku,pia ameshika asilimia kubwa sana ya matangazo refer kila Tangazo la pepsi lazima awe main actor ..ile ni nje ya yeye kuashareholder na MD ..sijui kwanini dogo anashupa mishipa ya shingo.
 
Ila sio MAJOR SHARE HOLDER?

#YNWA
Sio Major ila 45% si haba,watu wanangalia kutengeneza hela na si mashindano ya nani ni major shareholder wangekuwa na akili kama zako leo,Wasafi media isingekuwepo.

Sasa wewe una brand kubwa imekaakaa tu mtu anakuja na hela zake anasema nataka kuwekeza ktk brand yako,kuhusu umiliki wewe utakuwa 45% na yy 53% ,mnaingia mikataba kisheria hivi utakataa? au ndio utang'ang'ania kuwa MAJOR SHAREHOLDER?
 
Mleta uzi acha kujificha kwenye elimu ya marketing


Kwanza lazima ujue kwenye soko la hisa 43% sio ndogo kiasi cha kusema Nasib Abdul sio mmiliki wa wasafi media


Pili: Wasafi ni brand ya Diamond Platnumz toka 2010 ko wasafi media ni jina lipo chin ya Nasib hili Kila mtu analijua hata kama hajasomea hio marketing


Tatu: Wasafi media jua kabisa inaeza kwenda kwa sababu Diamond is there ila haiwez kwenda sababu Johaina Kusaga yupo pale since hata kwa haraka haraka Kila mtu anajua kua Diamond ndio sura ya kampuni



NNE: ukishindwa kuelewa hizo hoja 3 hapo juu ntakuletea zingine na uache kuona kusoma kwako marketing bas watu hawaelew
 
Mleta uzi acha kujificha kwenye elimu ya marketing


Kwanza lazima ujue kwenye soko la hisa 43% sio ndogo kiasi cha kusema Nasib Abdul sio mmiliki wa wasafi media


Pili: Wasafi ni brand ya Diamond Platnumz toka 2010 ko wasafi media ni jina lipo chin ya Nasib hili Kila mtu analijua hata kama hajasomea hio marketing


Tatu: Wasafi media jua kabisa inaeza kwenda kwa sababu Diamond is there ila haiwez kwenda sababu Johaina Kusaga yupo pale since hata kwa haraka haraka Kila mtu anajua kua Diamond ndio sura ya kampuni



NNE: ukishindwa kuelewa hizo hoja 3 hapo juu ntakuletea zingine na uache kuona kusoma kwako marketing bas watu hawaelew
Upo sahihi mzee
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
Mkuu tunausbiri data za mmiliki mkuu wa Mkia FC je ni mropokaji anayetumia muda mwingi kuwaza jinsi ya kuropoka kesho yaani ndugu Minara au ni yule muuza juisi ,sijui kila mmoja ana asilimia ngapi,ila nimeambiwa na wadaku kuwa Minara anamiliki sauti yake tu.
 
Turudi darasani...
Ukisoma marketing vizuri inakwambia.
Company has many involvers...
1. Shareholders
2. Company management
3. Corporate board
4. Creditors
5. Debitors
6. Customers
7. Government organisations (like TCRA and TRA for WASAFI TV)
8. Employees
9. CSR
10. E.T.C

But the better and the worst thing is "customers are the one who makes company fail or succes"

Then nina king'amuzi nyumbani "automatically am there customer"
I should involved in brother.

#YNWA
Mwana Liverpool mwenzangu ka lugha kapo kushoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom