Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,126
Teh tehPole mkuu kwa kulawitiwa
Teh tehPole mkuu kwa kulawitiwa
keko ipi keko mwanga tushawahi kuwakalisha mateja wale wanawazingua nyinyi watoto wa magholofani!pale lerini ukitokea karikoo walimzingua mchizi wetu alivyokuja tuambia tulitimba pale vibandani usiku sana mbona ilipatikana amaniWewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?
Nyie mnaogopa vivuli vyenu huko dar kuna kitu mnatakiwa mkijue wewe sehemu za hatari unatembeaje kizembe zembe huna ata vifaa vya kuwatuliza vibaka uchwara!Keko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.
Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.
Ile nmemkunja mmoja Koo,
Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea
Dah! Nlkua mpole ghafla.
Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ulitimba na wana, kajaribu hizo pigo leo hii! Ndio utaelewa kama kuna kina Jet li weusi! Nenda man to man!keko ipi keko mwanga tushawahi kuwakalisha mateja wale wanawazingua nyinyi watoto wa magholofani!pale lerini ukitokea karikoo walimzingua mchizi wetu alivyokuja tuambia tulitimba pale vibandani usiku sana mbona ilipatikana amani
Nkuambia hii ukitaka kunikalisha basi hakikisha kama umeshika sime unicharangecharange sio kunitishia mabapa nikikama hiyo sime ndio utajua matumizi yake keko hakuna kitu wanawwazingua nyie tuKumbe ulitimba na wana, kajaribu hizo pigo leo hii! Ndio utaelewa kama kuna kina Jet li weusi! Nenda man to man!
We unaleta utemi nyuma ya keyboard! Hata mie ni mtemi mbona ila kwenye kupambana live lazma ntachimba!Nkuambia hii ukitaka kunikalisha basi hakikisha kama umeshika sime unicharangecharange sio kunitishia mabapa nikikama hiyo sime ndio utajua matumizi yake keko hakuna kitu wanawwazingua nyie tu
Namwambia mchizi analeta ubabe wa miaka ya 90! Sasa hivi madogo tu wako vizuri yani kama hujui kurusha "maigel uke" mapema tu unatemeshwa juisi ya rossela!Keko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.
Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.
Ile nmemkunja mmoja Koo,
Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea
Dah! Nlkua mpole ghafla.
Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwetu meru wakati wa mapambano na watu usiowajua ni marufuku kutumia viungo unatakiwa utumie zana hasa sehemu korofi kama hizo uanazosema kwanza siwezi tembea kiboya ktk mitaa hatarishi night!We unaleta utemi nyuma ya keyboard! Hata mie ni mtemi mbona ila kwenye kupambana live lazma ntachimba!
Inshort hakuna mtu anatumia panga ni mikono kavu kavu na mateke ila utakaa.
Hahah kumbe we ni akina sobayi! Kama umeiva kuchezesha ile fimbo ngumu hapo sawa.Kwetu meru wakati wa mapambano na watu usiowajua ni marufuku kutumia viungo unatakiwa utumie zana hasa sehemu korofi kama hizo uanazosema kwanza siwezi tembea kiboya ktk mitaa hatarishi night!
Duh,pole mkuu!!!Huyo jamaa aliwahi kunipiga roba mbao nikashindwa kuhema alaf akaniambia hapa sijakaza nikaze?
Hapana ubishi juu ya hiliJamii inawajibika kwa kuwafuga watu wa namna hii
Alikuwa anazo nguvu na uwezo kama kuliko Tembo? anaweza kupambana na Simba peke yake??, anaweza kuua Nyati kwa mikono mitupu?
Hao wanyama wote, Tembo, Simba na Nyati mbele ya risasi hawakohoi sembuse Mtu mmoja mwenye Sifa kidogo za ajabu (peculiarity) ndiye atambe mbele ya Risasi?
Kuna mnyama mmoja, nadhani ni "honey Badger", huyu ukimpiga mkuki au Panga au kitu chenye ncha kali hakitoboi ngozi yake, huyu ndiye mnyama mwenye ngozi ngumu kupenyezeka kuliko wanyama WOTE,, lakini mbele ya Risasi ngozi yake haifui dafu, Risasi inapenya kama kupenya kwenye karatasi.
Risasi ni habari nyingine, huyo Mbokoo anaweza kutodhuriwa na vitu vingine kama kisu, panga nk, lakini sio Risasi, Risasi inapenya katika mwili wa binadamu yeyote.
Yaani aliposema risasi ilikuwa haipenyi nikajua hii kamba tu, hivi risasi mnaisikia au mnaijua? Risasi moja tu inamuangusha tembo na nyati itakiwa mwili wa binadamu?
Msiwe wabishi wakuu hizi dawa zipo
Siwezi kupigana ngumu na muharifu na hiyo nafasi akitaka kutumia minguvu yake ndio atapotea ukitembea usiku unatakiwa kua full chalii angu sio unatembea night unakua kama unakwenda ukweni!mie ikishafikaga saa 2 usiku nikiwa natoka nakua niko full ikifika saa4 siruhusu mtu nisie mjua kunisogelea njiani ikifika kuanzia saa 6 na kuendelea hua napita ktk ya barabara sasa sogeza matendegu yako usawa wangu ila dar nyie waoga sana amna hazi ya kuoa meru!Hahah kumbe we ni akina sobayi! Kama umeiva kuchezesha ile fimbo ngumu hapo sawa.