Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Giza linakukutia Masaki kaka?Uzoefu wa story tu mkuu ila katu siwezi ruhusu giza likanikuta nikiwa mitaa hio.
Giza linakukutia Masaki kaka?Uzoefu wa story tu mkuu ila katu siwezi ruhusu giza likanikuta nikiwa mitaa hio.
Kimara tu dadaGiza linakukutia Masaki kaka?
Watu wanamfananisha Mbokoo na hisia za Kinjekitile Ngwale ambaye pia falsafa zake zilifeli mbele ya njugu. Aliwaaminisha misukule wake kwamba mkwasa usingewadhuru wakiita maji...majii matokeo yake walidondoka kama Nzige waliopikwa dawa ya Rungu!Alikuwa anazo nguvu na uwezo kama kuliko Tembo? anaweza kupambana na Simba peke yake??, anaweza kuua Nyati kwa mikono mitupu?
Hao wanyama wote, Tembo, Simba na Nyati mbele ya risasi hawakohoi sembuse Mtu mmoja mwenye Sifa kidogo za ajabu (peculiarity) ndiye atambe mbele ya Risasi?
Kuna mnyama mmoja, nadhani ni "honey Badger", huyu ukimpiga mkuki au Panga au kitu chenye ncha kali hakitoboi ngozi yake, huyu ndiye mnyama mwenye ngozi ngumu kupenyezeka kuliko wanyama WOTE,, lakini mbele ya Risasi ngozi yake haifui dafu, Risasi inapenya kama kupenya kwenye karatasi.
Risasi ni habari nyingine, huyo Mbokoo anaweza kutodhuriwa na vitu vingine kama kisu, panga nk, lakini sio Risasi, Risasi inapenya katika mwili wa binadamu yeyote.
Wewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?nyie watu wa Dar siwaelewagi kama mlikua mnawakimbia komandoo yoso watoto wadogo.ndio maana ata wasanii wenu walivyowazingua wasanii wa chuga wakaamua kuja dar hukohuko kuja kuwatuliza!
Dar hakuna kitu hakuna wababe ni story tu tena huko kigamboni kinondoni magomeni nk.naweza tembea mwenyewe vijana wamekua walaini sana
Keko hakufai kabisa,Wewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?
😂😂😂 Kumbeeee!!Kumbe huyu ndo aliwalawiti wanafunzi wa IFM?
Ukiwa unaishi kigamboni na unasoma pale, utataniwa sana kuwa utabakwa/ utalawitiwa.
kweli kabisaHuyo jamaa atakuwa alichanjiwa muku
Jeshi gani?Kuna watu wa jeshi lazima walikuwa wanamsaidia
Wamapana, Abdul govi, n.kRock City kulwa sakala alitesa Sana enzi hizo.
Nashangaaga sana nikumuona Anthony Joshua na Mywether. hawajui keko wanakabwa na wanapigwa vidole.Watoto wote wa keko wanapiga ngumi balaa
Zile donyen anazoigiza ngumi cherehani kule ni live kabisakaza wewe acha hizo!.. mtoto mdogo unamtia masingi mfululizo
Ila hao wanaoneaga warembo waje wafanye utukutu Apo Airwings wapite tu pikipiki karibu na ukuta wakutane na vyumaKuna jamaa mitaa ya mbeya simike huko alikua anaitwa jairo na mwenzie chanda,alafu umkute na semeni hao sasa huyo jamaa wa kigamboni mngekuta kavalishwa kanga na piko kachorwa kabisa.hata waliishia wapi sijui.
Singida huko kuliku na Tembo Senge mtoto wa mtemi Senge na Mdogo wako akaibuka badai Selemani Senge hao watu nyie sikieni tu sijui Nao sijui wako wapi.
Keko, Tabata kimanga hayo maeneo ni hatari sanaWewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?
Unapigwa uku una chabwaWewe kama ni mhalifu usijaribu kutia maguu yako Zanzibar, nakuhakikishia hautatoka labda ukiingia unyooshe mikono kuwa unabadilika. Cheza michezo yako bara na sio hiki kisiwa.Muulizeni Makame atawaambia sababu...
Mkuu mbokoo alikuwepo. Mimi story zake nilizisikia na kushuhudia vurugu miaka ya 2013. Ila sio zote Kama za mtoa madaNyingine fix hizi, nimeishi kigamboni miaka dahari wa dahari, kilometa 7 hivi kutoka kigamboni(kivukoni). sijawahi kumsikia angekuwa na balaa hilo nisingekosa hata kumsikia.
Mkuu mbokoo alikuwepo. Mimi story zake nilizisikia na kushuhudia vurugu miaka ya 2013. Ila sio zote Kama za mtoa mada
Hujaelewa mkuu iko hivi huko Zanzibar kuna kibaka alienda kuiba kisha akaishia kulala ndani ya gariHa ha ha.....awamu pekee inayopingana na maelekezo ya WHO.