Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
- Thread starter
- #241
Mkuu hivi viumbe ni majini wao huishi dunia hii hii tuliopo isipokuwa wao hawaonekani na ukitaka kuwaona kuna njia za kuwatazama pia baadhi ya wazungu huwatumia hawa katika sayansi ya maendeleo lakini wengine pia huwatumia katika sayansi za uchawi wana maarifa kulingana na vile walivyokadiriwa na pia hawa sio aliens wao hao ni viumbe tofauti na hawa mkuu.Mkuu rakims hivi viumbe ni imaginary tuu au ndio hawa 2naosimuliwa na wanasayansi aliens, dunia yao hawa viumbe ni hapahapa duniani au 2kiwaita ndio wanatoka huko kwnye sayari yao kuja duniani! Je hawa ndio wazungu wanawa2mia kufanikisha technology zao na mambo yao mengi
Rakims