1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Simba angalieni sana hili jambo, uwanja wa Bunju una majini, chamazi complex kuna jini, wachezaji wametupiwa majini, viongozi wametupiwa majini, makocha wametupiwa majini had sisi mashabiki kasoro mm tu mshirikina namba moja hawaniwezi hata wafanye nn.
Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,
Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili
Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,
Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili