Mjuaji Vs Mtaalam

Mjuaji Vs Mtaalam

Hawakosekanagi kwenye jamii
Hiyo tafsiri yako ya mjuaji, mtaani haitumiki hivyo, ila kwenye mfano wako imeelekea hivyo
Mjuaji(machino)-much know.
Huyu huenda akawa anajua, ila ni watu kwenye jambo fulani hujitoa kimbelembele sana, hata kama anaefanya hiyo kazi anapatia, yeye lazima aongee, anaweza hata kutoa kasoro, kwake hakuna anaejua zaidi yake.
Huyu anaweza akawa ana taaluma kweli au hajui kitu lakini anajitia kujua.

Kuna wataalamu pia wanajitia ujuaji... Unaweza luongea ama kufanya jambo sahihi ila ili aonekane anajua atatafuta namna ya kukukosoa, ili mradi tu aonekane.
Mjuaji kwa lugha iliyoko kitaa kwa sasa huyu ni CHAWA.
 
Bwana wee!! 😹😹
Waharibifu wa biashara za watu kinoma..!!
Usiombee, akawa ni demu sasa..
Kuna siku hiyo nafanya biashara ya eneo..
Mwanangu akapata mteja akamleta, jamaa akatizama eneo akalipenda, ikawa uchawi malipo tu, mengine kubadili hati ni juu yake atafanya mwenyewe.
Mara akasema ngoja kuna dada yake yupo njiani, anaishi karibu na maeneo ya hapo, ngoja aje kuona eneo, mie nikaona sawa, haina tabu.

Kufika yule demu, kauli zake mbili za kwnaza tu, nikamnong'oneza dalali, hapa biashara hakuna, akaniuliza kwanini, nikamfunya na kumpa biashara atulie.
Kweli yule dada akaanza kuropoka maeneo yale,sijui kimeenda kimerudi.. bei yetu juu kidogo, wakati bei niliyokuwa nauza ni takriban nusu ya bei yenyewe kwa dhiki zangu.
Ikabidi nimuulize unaishi maeneo haya kweli, akaanza kumung'unya maneno, ooh, sijui nilikuwa naishi hapa, nimehamia wapi sijui, lakini nafanya kazi ardhi.

Nikamgeukia jamaa, nikamwambia ukiwa tayari karibu, kama shida yangu, itakuwa haijaisha nitakuuzia kama imeisha basi bei yake sio hii tena.
Nikafunga safari...
Baada kama ya miezi mi3 jamaa anakuja anataka tufanye biashara, nikamtaji bei yake mpya, mara 2.5 ya ike, akashindwa bei. Tukamwagiana hapo.
 
Usiombee, akawa ni demu sasa..
Kuna siku hiyo nafanya biashara ya eneo..
Mwanangu akapata mteja akamleta, jamaa akatizama eneo akalipenda, ikawa uchawi malipo tu, mengine kubadili hati ni juu yake atafanya mwenyewe.
Mara akasema ngoja kuna dada yake yupo njiani, anaishi karibu na maeneo ya hapo, ngoja aje kuona eneo, mie nikaona sawa, haina tabu.

Kufika yule demu, kauli zake mbili za kwnaza tu, nikamnong'oneza dalali, hapa biashara hakuna, akaniuliza kwanini, nikamfunya na kumpa biashara atulie.
Kweli yule dada akaanza kuropoka maeneo yale,sijui kimeenda kimerudi.. bei yetu juu kidogo, wakati bei niliyokuwa nauza ni takriban nusu ya bei yenyewe kwa dhiki zangu.

Ikabidi nimuulize unaishi maeneo haya kweli, akaanza kumung'unya maneno, ooh, sijui nilikuwa naishi hapa, nimehamia wapi sijui, lakini nafanya kazi ardhi.
Aibu
Nikamgeukia jamaa, nikamwambia ukiwa tayari karibu, kama shida yangu, itakuwa haijaisha nitakuuzia kama imeisha basi bei yake sio hii tena.
Nikafunga safari...
kuliko kupoteze muda
Baada kama ya miezi mi3 jamaa anakuja anataka tufanye biashara, nikamtaji bei yake mpya, mara 2.5 ya ike, akashindwa bei. Tukamwagiana hapo.
 
Usiombee, akawa ni demu sasa..
Kuna siku hiyo nafanya biashara ya eneo..
Mwanangu akapata mteja akamleta, jamaa akatizama eneo akalipenda, ikawa uchawi malipo tu, mengine kubadili hati ni juu yake atafanya mwenyewe.
Mara akasema ngoja kuna dada yake yupo njiani, anaishi karibu na maeneo ya hapo, ngoja aje kuona eneo, mie nikaona sawa, haina tabu.

Kufika yule demu, kauli zake mbili za kwnaza tu, nikamnong'oneza dalali, hapa biashara hakuna, akaniuliza kwanini, nikamfunya na kumpa biashara atulie.
Kweli yule dada akaanza kuropoka maeneo yale,sijui kimeenda kimerudi.. bei yetu juu kidogo, wakati bei niliyokuwa nauza ni takriban nusu ya bei yenyewe kwa dhiki zangu.
Ikabidi nimuulize unaishi maeneo haya kweli, akaanza kumung'unya maneno, ooh, sijui nilikuwa naishi hapa, nimehamia wapi sijui, lakini nafanya kazi ardhi.

Nikamgeukia jamaa, nikamwambia ukiwa tayari karibu, kama shida yangu, itakuwa haijaisha nitakuuzia kama imeisha basi bei yake sio hii tena.
Nikafunga safari...
Baada kama ya miezi mi3 jamaa anakuja anataka tufanye biashara, nikamtaji bei yake mpya, mara 2.5 ya ike, akashindwa bei. Tukamwagiana hapo.
Wana kiede mswede sana 😹😹
Ungemuomba namba huyo dada umpige mitishamba hana adabu..!!
 
Kwanza UNAJUA maana ya kujua?mtaalamu atatumia utaalamu kutatua tatizo mjuaji atatumia uzoefu na kutumia ujjuzi wake kutatua tatizo Hilo hilo
 
Back
Top Bottom