Ni kweli kabisa Rose1982 mimi nlikutana na maji last week Kilimanjaro kubwa yana ladha ya utamu, yaani kama yametiwa sukari kwa mbali hadi nikahofia isijekuwa ni mdomo wangu but kila aliyeyaonja pale mezani alikiri yana ladha ile. Eh jamani watanzania mnaofanya hivi mtatuua wenzenu kwa uroho wa pesa jamani.
hata mimi ilikua hivyoSiku hizi kila kitu feki sijui tule/tunywe nini? mie nilikuwa nakunywa uhai ikasemekana kuna uwezekano mkubwa hayo maji yanafanywa hivyo kama unavyohisi wewe, nkaacha nikaamia Kilimanjaro sasa kumbe nako majanga!!
ili kujilinda na bidhaa feki hakikisha unanunua DUKANI, ili kuweza kumkamata msambazaji kwa urahisi. Vinginevyo kaa mkao wa kimajanga.
monile...ni hivi tangu last wiki nimekua nikiyaangalia kwa umakini maji na chupa za kilimanjaro kwa kweli zina kila dalili ya kuwa sio yale tuliyoyazoea.
ukiyaangalia kwa umakini maji yake wala hayana ung'ao ule uliokuwepo zaman..maji km yana rangi ya povu hivi kwa mbaalii
pia chupa zake kwa chini uku kwenye kitako ni km zmetunatuna na kuna kitundu ivi sjui maji yalikuwa yanaingizwa kwa kutumia bomba la sindano...
hata ladha pia siyo kabisa
huenda mtaaani kwenu stock hiyo haijaja lakin uku uswahilini kwetu naona wametuletea....
nia yangu sio kuwaharibia soko hapana its just kuwashtua bnadamu wenzangu muwe makini na vyakula,vinywaji tuvitumiavyo also kuwataka COCACOLA KWANZA ,SJUI BONITE BOTTLES watupie macho yao kwenye masoko cz kuna wadau wanaowaharibia soko
wenu ktk ujenz wa afya...byeeee
Watanzania mazoea ndo tatizo letu.
Ukichukua maji ya Uhai na Kilimanjaro ukaingia nayo maabara kufanya analysis utagundua Uhai ni masafi kuliko Kilimanjaro.
Sema watu wamezoea akiona fulani anatumia hiki anaona ni bora.
Kilimanjaro hata Sayona ni zaidi.
karibuuuuu
aibu ya nin..ntakuchambisha na kilimanjaro ebooo:embarrassed1:
karibuuuuu
Una maana abandue ile lebo halafu ailete hapa jf au unamaana mleta mada ayapeleke TBS yakapimwe halafu atuletee majibu hapa?nashukuru kwa taarifa. ila naomba kwenye hayo maji feki nipe vipimo vifuatavyo ili niweze amini
1. chloride
2. Floride
3. Nitrate
4. Potassium
5.Sodium
6.pH
monile...ni hivi tangu last wiki nimekua nikiyaangalia kwa umakini maji na chupa za kilimanjaro kwa kweli zina kila dalili ya kuwa sio yale tuliyoyazoea.
ukiyaangalia kwa umakini maji yake wala hayana ung'ao ule uliokuwepo zaman..maji km yana rangi ya povu hivi kwa mbaalii
pia chupa zake kwa chini uku kwenye kitako ni km zmetunatuna na kuna kitundu ivi sjui maji yalikuwa yanaingizwa kwa kutumia bomba la sindano...
hata ladha pia siyo kabisa
huenda mtaaani kwenu stock hiyo haijaja lakin uku uswahilini kwetu naona wametuletea....
nia yangu sio kuwaharibia soko hapana its just kuwashtua bnadamu wenzangu muwe makini na vyakula,vinywaji tuvitumiavyo also kuwataka COCACOLA KWANZA ,SJUI BONITE BOTTLES watupie macho yao kwenye masoko cz kuna wadau wanaowaharibia soko
wenu ktk ujenz wa afya...byeeee
umesahau moja CoolBlueHamia kwenye UHAI, MAISHA, PENGUIN, MAJI POA, KISIMA, NDANDA, USAMBARA, MAJI AFRICA.
Una uhakika na unachoongea?
ili kujilinda na bidhaa feki hakikisha unanunua DUKANI, ili kuweza kumkamata msambazaji kwa urahisi. Vinginevyo kaa mkao wa kimajanga.
umesahau moja CoolBlue