Mjihadhari na maji ya kilimanjaro...mengi feki

Ni kweli kabisa Rose1982 mimi nlikutana na maji last week Kilimanjaro kubwa yana ladha ya utamu, yaani kama yametiwa sukari kwa mbali hadi nikahofia isijekuwa ni mdomo wangu but kila aliyeyaonja pale mezani alikiri yana ladha ile. Eh jamani watanzania mnaofanya hivi mtatuua wenzenu kwa uroho wa pesa jamani.

ahh wanaboa yaan jaman..nilishawai kuona jinsi watu wanavyojaza maj SITATAJA MAJI GANI NILIYOYAONA ENZI IZO
kwenye chupa yaan dahh..ucchafuuuu jaman wanayajaza kwenye chupa wanabandka lebo wanaweka silid apo juu then gud to gooo..t was long tyme ahh so nilivyoona mabadiliko kwenye kilimanjaro ndo nkajua yaleyale.....UNAJUA UCHAFUUU..MTU NA KIKWAPA CHAKE,,,MIKONO MICHAFUU..LI MTU LIMETOKA KUSHIKA NJURURU YAKE ANAKUJA KUSHIKA MAJI MANAKE MTU ANASHKA JAGI ANAINGIZA NA LIKONO LOOOTE KWENYE MAJ ...YAKIISHA ANAITA MAJIII NILETEEN MENGNE...the more ndoo unamaliza the more money u get....sasa fikiria mtu anaharakisha kumaliza ndo iyo fastaa yake ahh jaman..mwenye makamas kumdondoka ayaaa....bora maj yamejaaa
apo achana na redbull zile tunazonunua pale chalinze uwwiiiiiiiii nafwaaaaa
 
Siku hizi kila kitu feki sijui tule/tunywe nini? mie nilikuwa nakunywa uhai ikasemekana kuna uwezekano mkubwa hayo maji yanafanywa hivyo kama unavyohisi wewe, nkaacha nikaamia Kilimanjaro sasa kumbe nako majanga!!
hata mimi ilikua hivyo
 
ili kujilinda na bidhaa feki hakikisha unanunua DUKANI, ili kuweza kumkamata msambazaji kwa urahisi. Vinginevyo kaa mkao wa kimajanga.

kwani siye tunanunua wap?
u dont know the game my dear..ao wanaotengeneza fek wanashirikiana na wafanyakaz wasio waaaminifu wanaosambaza izo bdhaa so mwenye duka anajiridhisha kabsaaa..ahh asi nimenunua kwenye gar lao kabsa...nimenunua depot pale ahh kumbe siku mingiiiiiii watu washafanya yaoo
 
monile...ni hivi tangu last wiki nimekua nikiyaangalia kwa umakini maji na chupa za kilimanjaro kwa kweli zina kila dalili ya kuwa sio yale tuliyoyazoea.


ukiyaangalia kwa umakini maji yake wala hayana ung'ao ule uliokuwepo zaman..maji km yana rangi ya povu hivi kwa mbaalii
pia chupa zake kwa chini uku kwenye kitako ni km zmetunatuna na kuna kitundu ivi sjui maji yalikuwa yanaingizwa kwa kutumia bomba la sindano...
hata ladha pia siyo kabisa
huenda mtaaani kwenu stock hiyo haijaja lakin uku uswahilini kwetu naona wametuletea....

nia yangu sio kuwaharibia soko hapana its just kuwashtua bnadamu wenzangu muwe makini na vyakula,vinywaji tuvitumiavyo also kuwataka COCACOLA KWANZA ,SJUI BONITE BOTTLES watupie macho yao kwenye masoko cz kuna wadau wanaowaharibia soko

wenu ktk ujenz wa afya...byeeee

Hamia kwenye UHAI, MAISHA, PENGUIN, MAJI POA, KISIMA, NDANDA, USAMBARA, MAJI AFRICA.
 
Watanzania mazoea ndo tatizo letu.
Ukichukua maji ya Uhai na Kilimanjaro ukaingia nayo maabara kufanya analysis utagundua Uhai ni masafi kuliko Kilimanjaro.
Sema watu wamezoea akiona fulani anatumia hiki anaona ni bora.
Kilimanjaro hata Sayona ni zaidi.

Una uhakika na unachoongea?
 
Rose1980 Suala la Kugushi bidhaa haliko Dar tu hata Mikoani, Mfano Jiko la Stove Singida kutumika kuzarisha Viroba jogoo - tena vilivyo na Stika za TRA!
 
mleta mada uko mkoa gani? wewe unanunua maji ya kilimanjaro kwene foleni ya buguruni unategemea nn?
 
nashukuru kwa taarifa. ila naomba kwenye hayo maji feki nipe vipimo vifuatavyo ili niweze amini
1. chloride
2. Floride
3. Nitrate
4. Potassium
5.Sodium
6.pH
Una maana abandue ile lebo halafu ailete hapa jf au unamaana mleta mada ayapeleke TBS yakapimwe halafu atuletee majibu hapa?
 
monile...ni hivi tangu last wiki nimekua nikiyaangalia kwa umakini maji na chupa za kilimanjaro kwa kweli zina kila dalili ya kuwa sio yale tuliyoyazoea.


ukiyaangalia kwa umakini maji yake wala hayana ung'ao ule uliokuwepo zaman..maji km yana rangi ya povu hivi kwa mbaalii
pia chupa zake kwa chini uku kwenye kitako ni km zmetunatuna na kuna kitundu ivi sjui maji yalikuwa yanaingizwa kwa kutumia bomba la sindano...
hata ladha pia siyo kabisa
huenda mtaaani kwenu stock hiyo haijaja lakin uku uswahilini kwetu naona wametuletea....

nia yangu sio kuwaharibia soko hapana its just kuwashtua bnadamu wenzangu muwe makini na vyakula,vinywaji tuvitumiavyo also kuwataka COCACOLA KWANZA ,SJUI BONITE BOTTLES watupie macho yao kwenye masoko cz kuna wadau wanaowaharibia soko

wenu ktk ujenz wa afya...byeeee

Mimi nienunua hayo maji ya kilimanjaro chupa kubwa juzi duka moja hivi Mbinga huko Songea, baada ya kunywa funda moja nikahisi kitu tofauti,kiukweli niliingia woga nikatupa ile chupa na maji yake yakiwa yamejaa maana ladha ya yale maji ni tofauti kabisa na kilimanjaro niliyoizoea. Hapo kwa kuongezea tazama ujazo maana ukiona yamejaa sana shtuka pia ni kweli hata huko chini kwenye kitako ni kama wametoboa na kuziba na superglue dada Rose asante kwa kunithibithishia ile doubt niliyokuwa nayo
 
ili kujilinda na bidhaa feki hakikisha unanunua DUKANI, ili kuweza kumkamata msambazaji kwa urahisi. Vinginevyo kaa mkao wa kimajanga.

shida ni pale unapokuwa safarini ndg yangu hasa kwenye mabus, na ujuavyo mabus yetu ndo kwanza yanaruhusu wale wamachinga wanaingia kuuza haya maji kwa abiria ndani ya bus
 
Asante kwa taarifa.
Naweza kukubaliana na wewe
Niliwahi kukutana na ladha tofauti na maji ya kilimanjaro niliyoyazoea kama mara mbili hivi
hapa dar, niliuliza kwa watu waliokuwa karibu yangu wakati huo
lakini hakuna aliyeweza kunisaidia.

Tutakwisha tu sana.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom