Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
- Thread starter
- #21
Ni kweli kabisa Rose1982 mimi nlikutana na maji last week Kilimanjaro kubwa yana ladha ya utamu, yaani kama yametiwa sukari kwa mbali hadi nikahofia isijekuwa ni mdomo wangu but kila aliyeyaonja pale mezani alikiri yana ladha ile. Eh jamani watanzania mnaofanya hivi mtatuua wenzenu kwa uroho wa pesa jamani.
ahh wanaboa yaan jaman..nilishawai kuona jinsi watu wanavyojaza maj SITATAJA MAJI GANI NILIYOYAONA ENZI IZO
kwenye chupa yaan dahh..ucchafuuuu jaman wanayajaza kwenye chupa wanabandka lebo wanaweka silid apo juu then gud to gooo..t was long tyme ahh so nilivyoona mabadiliko kwenye kilimanjaro ndo nkajua yaleyale.....UNAJUA UCHAFUUU..MTU NA KIKWAPA CHAKE,,,MIKONO MICHAFUU..LI MTU LIMETOKA KUSHIKA NJURURU YAKE ANAKUJA KUSHIKA MAJI MANAKE MTU ANASHKA JAGI ANAINGIZA NA LIKONO LOOOTE KWENYE MAJ ...YAKIISHA ANAITA MAJIII NILETEEN MENGNE...the more ndoo unamaliza the more money u get....sasa fikiria mtu anaharakisha kumaliza ndo iyo fastaa yake ahh jaman..mwenye makamas kumdondoka ayaaa....bora maj yamejaaa
apo achana na redbull zile tunazonunua pale chalinze uwwiiiiiiiii nafwaaaaa