Maji ya Kilimanjaro yapata tuzo ya Superbrands Afrika Mashariki

luambo makiadi

JF-Expert Member
Nov 28, 2017
10,295
8,258
Utafiti uliofanywa kwa bidhaa zisizo za vilevi pamoja na maji umeyapa maji ya Kilimanjaro tuzo ya Superbrand Afrika mashariki kutokana na ubora wake.

Maji ya Kilimanjaro huzalishwa na kampuni ya Ipp katika kiwanda chá bonite kilichopo mjini Moshi, moja ya makampuni ya Hayati Dkt Reginald Mengi.

1692093379117.jpg
 
Back
Top Bottom