Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Kivipi tena ustuke ha ha haaaBae, moyo tayari umestuka.... naomba muongee hapa hapa mubashara....![]()
![]()
![]()
Kivipi tena ustuke ha ha haaaBae, moyo tayari umestuka.... naomba muongee hapa hapa mubashara....![]()
![]()
![]()
Mtoe khofu namuulizaje sasa kama kuna makando kando?Hahahahaha
Huyo ni Jirani yangu bae
Niliondoka ile siku mbona..Karibu habali ya wewe?
Sijakuona khofu ikanipanda
Kuna sehem aliwahi kuandika kwamba, hajui kwanini wanaume wanapenda sana wadada.... mara pah... picha hiyo.....Naogopa tu ban ila binafsi nilishtushwa na ile picha maana jamaa anajipambanua wazi katika nyuzi zake kwamba hana girlfriend na mimi nikasema nitamfanya kibenten changu..hhahaha haya maisha hayana formula mara paaaaa..picha hiyo

Nini hasa ilikunyima amani?Ohhhpppsssss.....
Hapo sawa nimepata amani
Yani nyie mnapoteaga padogo kweli dah huenda mpo 100 mmepanga foleni.Naogopa tu ban ila binafsi nilishtushwa na ile picha maana jamaa anajipambanua wazi katika nyuzi zake kwamba hana girlfriend na mimi nikasema nitamfanya kibenten changu..hhahaha haya maisha hayana formula mara paaaaa..picha hiyo
UsijaliMtoe khofu namuulizaje sasa kama kuna makando kando?
Acha na kabisa huenda dem akijipendekeza anaambiwa unabahati sana full furaha dem kumbe wamepangwa foleni.Kuna sehem aliwahi kuandika kwamba, hajui kwanini wanaume wanapenda sana wadada.... mara pah... picha hiyo.....![]()
![]()
![]()
Niliondoka ile siku mbona..
Hujambo wewe
Teh teh jamaa jamaaa poa sana yule nimesahau id yake ningeenda kumpa pongeziYaani vijana wabaya sana haki...![]()
![]()
Wanamdhalilisha kijana mubashara...
Vizuri sanaUsijali
Amani imetawala
Imani ndio iwezayo kuhamisha mlima hahahahInawezekana mkuu
Una miminia grease tuu mkuuHahaaahaaaa......
vyuma vimekaza mkuu....