Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Pole kwa kutapeliwa ila siku nyingine usirudie kutuma fedha kwa mtu usiyemuamini (siyo usiyemjua kwa sababu hata unayemjua anaweza kukutapeli). Na umefnya vizuri kutoa tahadhari. Achana na hawa wanaogeuzia kibao nina uhakika ni hao hao matapeli/tapeli kwani matapeli wana ID hata kumi tofauti na kila moja ina kazi yake. Achana nao kabisa na wala usijieleze zaidi.
Asante kwa ushauri wako mkuu
 
Hadi unafikia hatua ya kurusha hela kwa mtu ambae hujawahi kumwona tangu umezaliwa nakushangaa sana umejuaje kusoma na kuandika.
Ndiomaana nimekuja kutoa tahadhari kwa wasiojua kusoma na kuandika kama mimi mkuu
 
Hadi unafikia hatua ya kurusha hela kwa mtu ambae hujawahi kumwona tangu umezaliwa nakushangaa sana umejuaje kusoma na kuandika.
Ndiomaana nimekuja kutoa tahadhari kwa wasiojua kusoma na kuandika kama mimi mkuu
 
Ukiongea na mtu ukaona kila mda anakusumbua na msg au nipigie huyo ni tapeli
Mfanyabiashara hahangaiki ukiona hivyo unakimbiaa
 
Ha ha haaa usiamini sana haya mambo hufanywa kwa siri sana.

Jamaa kanifaa sana ujue japo anaweza kula ban mii nampongeza sikumbuki id yake

Mkuu utakula ban kwa kumtaja mtoto wa mfalme......
 
Hivi mtu akikuita shoga na haushiriki vitendo vya ushoga itakuumaje? same to you mimi nakupuuza tu, kunifananisha na matapeli mimi kwangu siyo shida kwa sababu hunijui, na wanaonijuwa wananijuwa mimi mtu wa kariba gani.

kwahiyo kwangu siyo tabu hata kidogo kusimama katika kile ninachoamini eti kitu kuna mtu ananihisi vingine, no way, kwanza mimi siyo wa mikoani na mtu anayeweza kunitapeli mimi ni mtu anayenijuwa tu na atanitapeli kwa njia ya kunikopa na asinilipe basi na si vinginevyo.
Mkuu unamaanisha jamaa katapeliwa sababu niwamkoani??
 
mkuu nimeishia kucheka..... mbona umetapeliwa kirahisi sana ? hizi akili tunazitoa wapi ? kweli unamtumia mtu usiyemfahamu pesa ? hivi ulidai ungedhani angerudisha ?.....
 
mkuu nimeishia kucheka..... mbona umetapeliwa kirahisi sana ? hizi akili tunazitoa wapi ? kweli unamtumia mtu usiyemfahamu pesa ? hivi ulidai ungedhani angerudisha ?.....
Kudai ile pesa, nilitaka kujiridhisha tu mkuu.
 
Back
Top Bottom