Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
huyu kumdaka easy tu kama unadaka panzi
kupiogwa kupo tu mi nakumbuka kuna jamaa alinipga 115,000/=tshsMkuu....
Just 17 elfu, kwangu sio hasara
ni kweli mkuu... hata hivyo umewafungua wengi sanaYeah kupigwa kupo tu mkuu, lakini nivema tukifanya tahadhari kwa kupashana habari kama hivi, ili wengine wasipigwe
17k siyo ishu mshikaji wangu. Kuna vitu tunaweza kukosa kwa kutojaribu, iLa kwa ww hyo pesa its okey endelea kujaribu but kwa tahadhari. ILa usiweke mzigo mkubwa usije kuumia.Ameweka matangazo kadhaa kwamba anauza kuku/vifaranga, kumbe ni tapeli na anatumia njia ya laghai kudanganya watu humu jf kisha anapotea na pesa.
Naomba wengine waliokua na nia ya kuhitaji bidhaa kutoka kwa huyu bwana wachukue tahadhari.View attachment 655506
Hicho ni kiasi cha pesa nilio mtumia kwaajili ya kusafirishia mzigo.
View attachment 655507View attachment 655509View attachment 655510View attachment 655511View attachment 655512View attachment 655513View attachment 655514
Hizo ni conversations zangu na tapeli huyo wa jf.
Mkuu, soma uelewe.Mtoa mada, we ndio umejichanganya. Jamaa amekuambia lipia japo kuku 10 tu awe na amani. we ukageuza kibao na kuanza kumuita tapeli.
Hapo ndipo ulipoharibu Biashara.
Ok. Nimekuelewa mkuu. Hao ndio binadamu.Mkuu, soma uelewe.
Jamaa alibadilisha maongezi kwenye makubaliano baada ya kumtumia nauli kama tulivyo kubaliana, ghafla akaja na issue ya mzee wake ameomba nilipie hata kidogo.
Ukiangalia pale mwanzo aliniambia yeye ndie mwenye mzigo na ukitazama utagundua kwamba alibadilisha makubaliano baada ya kuwa nimesha mtumia nauli.
Hapo kuna wakati ilifikia akaamua kutopokea hata sim yangu na msg hakua akijibu.
Ujinga wako mwenyewe....
Binafsi sitokucheka. Vita ya kutafuta pesa INA mengi. Pole mkuu na asante kutujuzaSikatai ujinga wangu mkuu...
Lakini natoa tahadhari kwa wajinga wenzangu humu jf
Una busara sana mkuu Mungu akubarikiBasi sawa mkuu, yawezekana mimi ndie tapeli na ninamchafua jamaa
kwa hiyo kwa kumtumia hiyo elfu 17,000 ulitaka akutumie vifaranga 100?...hahahah wewe ndio ulitaka kumtapeli