Matapeli wapo wengi. Juzi kuna mmoja mwenye namba 0758485467 amenipigia simu akadai ni HR person kwenye kampuni moja na akaniambia tunafanya shortlisting ya watu waliyoomba kazi akataka nimtumia laki mbili ili amshawishi bosi wake anipe kazi. Nikamuuliza maswali mengi nikaona anashtuka nilipomwambia wewe ni Tapeli akanivurumishia mitusi akakata simu kujaribu kumpigia simu haipatikani mpaka leo. Mjihadhati na matapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.