Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Prezdaaa alisema, awamu hii hadi vivunjike...
Nimetokea kwenye post moja huko nikiwa ktk mizunguko yangu ya kila siku jf ..,

Nimekutana na taarifa ya mwanajukwaa kuwa huo msemo umeshakatazwa tayari, sitaki matatizo mimi
 
Devote muda wako kutengeneza pesa. Safiri ukaone mzigo, ikibidi safiri na gari ya mzigo wako ili ujionee mazingira halisi ya biashara, hasa hasa unapoanza kufanya biashara.

Vifaranga ukisema usafirishe kwa bus inamana lazima upakie kwenye buti. Na buti linafungwa. Hao vifaranga wa kiki 2 Moro mpaka Dar wanafika hali kwel?

Unaogopa kupigwa ndo maana unataka upate mzigo kwanza, ni kweli. Lakin je, ulifkiria hilo na kwa mtoa mzigo; kwamba ye hahofii hilo kwamba utapokea mzigo halafu uingie mitini?

Asante kwa kutitahadhalisha but next time pls put in place enough controls to avaoid such mistakes.
 
Yani nyie mnapoteaga padogo kweli dah huenda mpo 100 mmepanga foleni.

Hapo ningekuja mimi yangekutoka machafu mpaka nikajihurumia hayeni tu.
mkuu read between the lines.huyo jamaa sio kabisa ninamfatilia kitambo.trust me naogopa tu ban ila nilijua ipo siku tu watakuja kupigana humu ndani just like fx
 
Wewe ndio tapeli

Sioni kosa la mshikaji hapo
yuani huyu unaemtetea anatumiwa nauli ya mzigo ili mzigo ukifika anayeleta alipwe halafu hataki .. kikubwa anaambiwa arudishe hiyo pesa ya nauli biashara basi hataki

wewe ni mjinga mkubwa na unaweza kuwa unashirikiana na huyu tapeli dr. Ndele
 
Back
Top Bottom