Mjeshi afunguka kuhusu Arusha

SIRI ya bomu toka China imefichuka!! Aidha hata mauaji ya Zanzibar mwaka 2000 ni wanajeshi toka Morogoro, Kizuka tena MAKOMANDOO!! That's CCM!!
 
unaofanya ni upotoshaji mkubwa..., ni kweli ilishawahi tokea wanajeshi kuvishwa nguo za polisi na kupelekwa pemba, ila hili la arusha hizo ni story za kwenye kahawa

Kama unakiri mwenyewe kuwa waliwahi kupelekwa Zanzibar wakavalishwa jezi za polisi kwa nini hawawezi kupelekwa Arusha?Yote na yote hakuna damu ya mtu itakayopotea bure,hata biblia inasema anayeua kwa upanga atakufa kwa upanga!Yote yana mwisho,hata Osama naye ameonja mauti
 

haya mi nlikuwa sjui!! Mh!
 
 
Kwa hiyo wewe unafikiri akili zako ni nyingi sana kiasi za kudanganya watu wenye akili zao kacheze mdako na wenzako.
 
Kwa nini mnahangaika sana na arusha nyie chadema? Hizo akili zenu zinavyowatuma,kazi mnayo.
 
Huyo askari uliyemtembelea alikuwa kamanda nasari au kamanda lema?
 
Siku hizi wanatumia wahuni wa green guards,wanawavalisha sare ya Polisi!
 

Wanataaluma wanasema hata Shakespear kuna wakati alikuwa akikosea kuandika 'spelling' za jina lake!
 
Dah huu unaitwa umbea,hapa hapa member wa jf wanasema polisi wanaopiga raia wanajulikana mpaka wanapoishi leo umekuja na hadithi mpya,hongera
 
unaofanya ni upotoshaji mkubwa..., ni kweli ilishawahi tokea wanajeshi kuvishwa nguo za polisi na kupelekwa pemba, ila hili la arusha hizo ni story za kwenye kahawa

Kama uliamini hiyo ya Pemba mbona hii inakuwa ngumu au kwa kuwa ni Chadema?
 
Serikali ya CCM inaogopa kuvuliwa madaraka kwani wanajuwa wapinzani wakikamata nchi basi viongozi walio kuwa madarakani enzi za utawala wao account zao zitakuwa frozen ili uchunguzi upite na wakibainika kuwa waliiba watanyongwa na kutaifishwa kila kitu.
 
hapa kazi kweli kweli haya mambo ni mazito zaidi ya hivyo
 
Habari hii inaeza kua ya kweli, maana baada ya tukio kuna mtu humu alikuja na taarifa kama hizi kutoka kwa mjeshi kwamba bomu lilitoka Uchina na risasi zilizotumika ni za SMG na bastola, na taarifa hizi baadaye kuthibitishwa kua ni za kweli.
 
Kama uliamini hiyo ya Pemba mbona hii inakuwa ngumu au kwa kuwa ni Chadema?

what i wrote is first hand info, huyo aleambiwa na mtu kuhusu arusha si kweli

The story is purposely fabricated to distort the image of the tpdf, it is intended to create hate agaisnt the force.now, you can do two things, either, take it or leave it.
 
Kuna udhahidi mwingi tu. Tunashikuru pamoja ns kutupiga serikari omebaki na polis wenye vyro vikubwa tu na jwtz wenye vyeo hawa wachini wanabuluzwa tu.
 

Kama tunakumbuka hili la juzi kulikuwa na MwanajePolisi, yaani suruali ya polisi na juu ni JWTZ, kumbe ilikuwa Made in Morogoro. Hii ni ishara kwamba kuna haja ya polisi kuunganishwa na JWTZ.
 
Mimi siamini kama kweli umeambiwa hivyo>
Ingawa mimi siyo mtaalam wa siasa lakini hujiuliza masuali ambayo majibu yake hayakubaliani na mantiki kwa mfano
1 kama kweli serikali ina mkono wake inapata faida gani??? watu wataichukia serikali na mwisho wa yote hawataichagua come 2013 lakini pia
2 Kama huu sio mkono wa serikali ni nani basi? jibu ni gumu bila evidence lakini hapo hapo nani atafaidika iwapo watu wataamini kuwa huo ni mkono wa serikali? obvisously kama ni siasa upinzani ndiyo utagain na ukiendeleza hili kwa mkoa wa arusha upinzani gani utafaidika ? jibu mnalifahamu.
Ndugu zangu mnapozungumza mambo haya msiyaangilie kijuujuu tu kwani inawezekana ikawa zaidi tunavyofikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…