Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 42
Suala la kushinda kwa JK linawauma wengi humu kwenye forum kwa sababu kimtazamo wengi wako kwenye opposition na hasa Chadema.Lakini ukweli japo unauma ni ukweli tu.
Opponents of Jk and CCM can travel up and down launching negative attacks lakini Jk has something much more powerful than anything,he has the grassroots supporters in millions!
Huo ndio ukweli na hata ukimshambulia mwandishi Magid kuwa hajafanya analysis ya kutosha juu ya suala hili,bado ushindi wa JK si kitu cha kuonekana cha ajabu.
Kwa hiyo respected members wa forum hii,msiwe na jazba kama kuna mtu anakuja na opinion ambayo mnaiona haiwakuni na mkaanza kuoa maneno yasiyofaa.Unaweza kuwa critical bila kutoa matusi na ukaeleweka vizuri.
Opponents of Jk and CCM can travel up and down launching negative attacks lakini Jk has something much more powerful than anything,he has the grassroots supporters in millions!
Huo ndio ukweli na hata ukimshambulia mwandishi Magid kuwa hajafanya analysis ya kutosha juu ya suala hili,bado ushindi wa JK si kitu cha kuonekana cha ajabu.
Kwa hiyo respected members wa forum hii,msiwe na jazba kama kuna mtu anakuja na opinion ambayo mnaiona haiwakuni na mkaanza kuoa maneno yasiyofaa.Unaweza kuwa critical bila kutoa matusi na ukaeleweka vizuri.