JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Mr.Froasty said:Hizo report na data nilizotoa hapo juu ni za january 2010.Ukitupia macho vizuri utaona kuwa company imesuspend activity kutokana na SMZ/BLW kuweka mguu.
Hivyo kero za muungano zimekuwa kizingiti za kupatikana nishati hiyo, na hilo ni jukumu la JK alituahidi kuzitatua...hadi sasa haijaondolewa hata kero moja!
Mr.Froasty,
..nadhani ripoti ya yule Mshauri Mwelekezi itakuwa na majibu ya maswali tunayojaribu kuyapatia ufumbuzi hapa. sijui kama unakumbuka ile thread ambayo tulianza kudadisi masuala ya sheria za bahari. naamini thread ile ilikuwa inakwenda vizuri sana.
..Baraza la Mapinduzi tayari limeishapitisha uamuzi wa kuondoa mafuta ktk masuala ya Muungano. kutokana na uamuzi huo Zenj sasa hivi wako ktk process ya kuanzisha ZPDC, shirika lao la mafuta. kwa msingi huo shughuli zote za exploration zinasubiri kuanzishwa kwa shirika hilo Zenj.
..kuhusu JK kilishughulikia suala hilo ilipaswa upelekwe mswada wa marekebisho ya katiba kwenye bunge la Jamhuri Dodoma. lakini kama JK hajafanya hivyo bado wabunge toka Zenj walikuwa na nafasi ya kupeleka hoja binafsi kwamba mafuta yaondolewe kwenye muungano. sasa unaweza kudai JK is dragging his feet kwasababu hana nia njema na Zenj, lakini what about wabunge wazawa wa Zenj ndani ya bunge la Jamhuri? ni kitu gani kinawazuia kuwasilisha hoja binafsi?