Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Certainly wewe si Mwafrika wa kwanza kukutana nae ambae ni limbukeni wa identity yake. Hii ndio ujue adhabu kubwa aliotuachia mkoloni. Nchi nyingi zilizo tawaliwa muda baada ya kuachwa ziliachwa na hii long term damage ambayo tunahitaji elimu ya hali ya juu to sort this mess. Hii likuwa na mbinu yao kuweza kuongoza by creating matabaka na ku-deal na matabaka kupunguza nguvu za umoja ambazo zingewasumbua. Ndio maana mwalimu JKN ambae wewe umthamini one his first task was to unite us as a nation and not as tribesmen. Anajua alijua athari zake.
Case study 1: leo Iraq mashambulizi yameamia kuwa ya wenyewe kwa wenyewe kisa propaganda walizolishwa na mzungu kuwa kuna religious groups within na ubaya people live with the hype matokeo unayaona.
Case Study 2: Majirani zetu wakenya umeona wamefanyiana nini uchaguzi uliopita majirani ilibidi wawafiche majirani ambao wameishi nao for decades kisa jamaa washaanza na machetes juu ya matokeo ya uchaguzi. Si hitaji kukwambia Rwanda na Burundi.
The point hapo hizo ni unnecessary thoughts you can call urself what you want and guide your life as you please but you are what you are in the eyes of outsiders.
Hivi ushangai wahindi ambao ni succesful ambao hata wengine hawajai fika tanzania hila wana connection through their parent au grand parents still identify themselves has being partly tanzanians despite their citizenship status whereever they are. Hii si kwa choice bali they reminded na wale wenye asili nao sao yes you're of my race but not of my culture and country. Sasa sheik hamisi ana uarabu gani haya ndio matatizo ya akili mgahawa wenyewe hata wasomali hawafiki wateja wake wa bara na wapwani why because we identify with his cooking as homely. Inabidi mjitambue kwa vile mlivyo na si kwa jinsi mnavyo fikiri mlivyo.
Mwisho hata makabila yote tanzania ujitambulisha kwao na mikoa hipo tanzania, kwa hivyo amna anaekuzui wewe kujiita utakavyo. Hila mwisho wa siku lazima uelewe mlifikaji huko in the first place na si baraka ya kutafana tendea na kunywa kahawa tu. Uzuiwi kujiita unavyotaka hila sisi tunatambua hicho kisiwa na watu wake walitoka bara ki asilia na si mombasa wala wapi. Hivyo ni chetu na wanaoona utanzania hawaaki fair enough waende watakako lakini ardhi yetu ni yetu. You'd better recognise.
Case study 1: leo Iraq mashambulizi yameamia kuwa ya wenyewe kwa wenyewe kisa propaganda walizolishwa na mzungu kuwa kuna religious groups within na ubaya people live with the hype matokeo unayaona.
Case Study 2: Majirani zetu wakenya umeona wamefanyiana nini uchaguzi uliopita majirani ilibidi wawafiche majirani ambao wameishi nao for decades kisa jamaa washaanza na machetes juu ya matokeo ya uchaguzi. Si hitaji kukwambia Rwanda na Burundi.
The point hapo hizo ni unnecessary thoughts you can call urself what you want and guide your life as you please but you are what you are in the eyes of outsiders.
Hivi ushangai wahindi ambao ni succesful ambao hata wengine hawajai fika tanzania hila wana connection through their parent au grand parents still identify themselves has being partly tanzanians despite their citizenship status whereever they are. Hii si kwa choice bali they reminded na wale wenye asili nao sao yes you're of my race but not of my culture and country. Sasa sheik hamisi ana uarabu gani haya ndio matatizo ya akili mgahawa wenyewe hata wasomali hawafiki wateja wake wa bara na wapwani why because we identify with his cooking as homely. Inabidi mjitambue kwa vile mlivyo na si kwa jinsi mnavyo fikiri mlivyo.
Mwisho hata makabila yote tanzania ujitambulisha kwao na mikoa hipo tanzania, kwa hivyo amna anaekuzui wewe kujiita utakavyo. Hila mwisho wa siku lazima uelewe mlifikaji huko in the first place na si baraka ya kutafana tendea na kunywa kahawa tu. Uzuiwi kujiita unavyotaka hila sisi tunatambua hicho kisiwa na watu wake walitoka bara ki asilia na si mombasa wala wapi. Hivyo ni chetu na wanaoona utanzania hawaaki fair enough waende watakako lakini ardhi yetu ni yetu. You'd better recognise.